< Zaburi 12 >

1 Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
För sångmästaren, till Seminít; en psalm av David. Fräls, HERRE; ty de fromma äro borta, de trogna äro försvunna ifrån människors barn.
2 Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
De tala lögn, den ene med den andre; med hala läppar tala de, och med dubbelt hjärta.
3 Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.
HERREN utrote alla hala läppar, den tunga som talar stora ord,
4 Hawa ni wale ambao wamesema, “Kwa ndimi zetu tutashinda. Wakati midomo yetu itakapo ongea, ni nani atakaye kuwa mtawala juu yetu?”
dem som säga: "Genom vår tunga äro vi starka, våra läppar stå oss bi; vem är herre över oss?"
5 “Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
"Eftersom de arma lida övervåld och de fattiga klaga, vill jag nu stå upp", säger HERREN; "jag vill skaffa frälsning åt den som längtar därefter."
6 Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.
HERRENS tal är ett rent tal, likt silver som rinner ned mot jorden, luttrat i degeln, renat sju gånger.
7 Wewe ni Yahwe! Unaye watunza. Una wahifadhi wacha Mungu kutoka katika hiki kizazi cha waovu na hata milele.
Du, HERRE, skall bevara dem, du skall beskydda dem för detta släkte evinnerligen.
8 Waovu hutembea kila pande pale uovu unapoinuliwa kati ya wanadamu.
Ty runt omkring dem vandra de ogudaktiga, då nu uselheten är rådande bland människors barn.

< Zaburi 12 >