< Zaburi 12 >

1 Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
[Aka mawt ham David kah Sheminith Tingtoeng] BOEIPA, hlangcim om pawt tih hlang kah capa rhoek khuikah oltak rhoek khaw a milh coeng dongah n'khang dae.
2 Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
A hui taengah a poeyoek la rhip cal uh tih, a hmui khaw hnal. A lungbuei neh a lungbuei ah voek uh thae.
3 Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.
Duelhduelh aka cal tih a hmui a lai aka hnal boeih te BOEIPA loh rhet pa saeh.
4 Hawa ni wale ambao wamesema, “Kwa ndimi zetu tutashinda. Wakati midomo yetu itakapo ongea, ni nani atakaye kuwa mtawala juu yetu?”
Mah kah hmui lai neh n'na bitni. Unim mamih kah boei?” a ti uh.
5 “Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
Mangdaeng kah rhoelrhanah kongah, khodaeng rhoek a kiinah kongah ka thoo pawn ni. BOEIPA loh, “A taengah a sat hlang te, khangnah khuila ka khueh ni,” a ti.
6 Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.
BOEIPA kah olthui tah aka caih olthui ni. Diklai hmaihueng khuiah voei rhih a ciil tangtae cak te a picai ni.
7 Wewe ni Yahwe! Unaye watunza. Una wahifadhi wacha Mungu kutoka katika hiki kizazi cha waovu na hata milele.
BOEIPA nang loh, tebang thawnpuei taeng lamloh nan dawn nan dah vetih, kumhal duela nan kueinah ni.
8 Waovu hutembea kila pande pale uovu unapoinuliwa kati ya wanadamu.
Halang loh kaepvai a tluek vaengah, hlang capa rhoek loh hlangyoe a pomsang ni.

< Zaburi 12 >