< Zaburi 117 >

1 Msifuni Yahwe, enyi mataifa yote; enyi watu mhimidini yeye.
Namtom boeih, BOEIPA thangthen uh. Namtu boeih loh amah taengah domyok ti uh.
2 Kwa kuwa uaminifu wa agano lake ni mkuu kwetu, na uaminifu wa Yahwe wadumu milele. Msifuni Yahwe.
A sitlohnah he mamih soah len tih BOEIPA kah uepomnah khaw kumhal duela cak. BOEIPA tah thangthen uh.

< Zaburi 117 >