< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
No a nosotros, oh Yavé, No a nosotros, Sino a tu Nombre da gloria, Por tu misericordia y por tu verdad.
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
¿Por qué deben decir los gentiles: Dónde está su ʼElohim?
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
Nuestro ʼElohim está en el cielo. Hizo todo lo que quiso.
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Los ídolos de ellos son de plata y oro, Obra de manos de hombres.
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Tienen bocas, pero no hablan. Tienen ojos, pero no ven.
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
Tienen orejas, pero no oyen. Tienen fosas nasales, pero no perciben olor.
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
Tienen manos, pero no palpan. Tienen pies, pero no andan. No hablan con su garganta.
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
Los que los hacen Y todos los que confían en ellos Son semejantes a ellos.
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
¡Oh Israel, confía en Yavé! Él es tu Ayuda y Escudo.
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
¡Oh casa de Aarón, confía en Yavé! Él es tu Ayuda y tu Escudo.
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
Los que temen a Yavé, Confíen en Yavé. Él es su Ayuda y su Escudo.
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
Yavé se acordó de nosotros, Él nos bendecirá. Bendecirá a la casa de Israel, Bendecirá a la casa de Aarón.
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
Bendecirá a los que temen a Yavé, A los pequeños y a los grandes.
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
Yavé aumentará bendición Sobre ustedes y sobre sus hijos.
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
Benditos sean ustedes por Yavé, Quien hizo el cielo y la tierra.
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
El cielo es el cielo de Yavé, Pero Él dio la tierra a los hijos de [los] hombres.
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
No alaban los muertos a YA, Ni cualquiera que baja al silencio.
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
Pero nosotros bendecimos a YA desde ahora y para siempre. ¡Aleluya!

< Zaburi 115 >