< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
Ne nam, Gospod, ne nam; temuč imenu svojemu daj čast, zavoljo milosti svoje, zavoljo zvestobe svoje.
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Zakaj bi govorili narodi: Kje je sedaj njih Bog?
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
Saj Bog naš je v samih nebesih, storí, karkoli mu je po volji.
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Maliki njih sreberni in zlati, delo rok človeških,
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Usta imajo, pa ne govoré; oči, pa ne vidijo;
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
Ušesa imajo, pa ne slišijo; nos imajo, pa ne duhajo;
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
Roke, pa ne tipajo; noge, pa ne hodijo; z grlom svojim ne črhnejo.
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
Podobni so njim, ki jih delajo, kdorkoli jim zaupa.
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Izrael, zaupaj Gospodu; pomoč je tém in ščit je tém.
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Vi iz družine Aronove, zaupajte Gospodu, pomoč je tém in ščit je tém.
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
Boječi se Gospoda zaupajte Gospodu, pomoč je tém in ščit je tém.
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
Gospod spomnivši se nas bode blagoslavljal; blagoslavljal družino Izraelovo, blagoslavljal družino Aronovo.
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
Blagoslavljal boječe se Gospoda, male in velike vred.
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
Množil vas bode Gospod, vas in otroke vaše.
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
Blagoslovljeni bodete Gospodu, kateri je narodil nebo in zemljo.
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
Sama nebesa, nebesa so Gospodova; in zemlja, katero je dal sinom človeškim.
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
Ne kateri so umrli, hvalijo Gospoda; ne katerikoli gredó dol v kraj molčanja,
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
Ampak mi bodemo blagoslavljali Gospoda; od sedaj do vekomaj. Aleluja!

< Zaburi 115 >