< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Bere a Israelfo fii Misraim, na Yakobfifo fii ananafo asase so no,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Yuda bɛyɛɛ Awurade kronkronbea na Israel bɛyɛɛ nʼaheman.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Po no hwɛe, na eguanee, Yordan san nʼakyi;
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Mmepɔw huruhuruwii sɛ adwennini, nkoko nso huruhuruwii sɛ nguantenmma.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Dɛn na ɛbae, ɛpo, na wuguanee? Yordan, adɛn, na wosan wʼakyi?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
Mmepɔw, adɛn, na muhuruhuruw sɛ adwennini, na mo nkoko, muhuruhuruw sɛ nguantenmma yi?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Asase, ma wo ho mpopo wɔ Awurade anim, wɔ Yakob Nyankopɔn anim,
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
ɔno na ɔmaa ɔbotan no dan asubura, na ɔbotan dennen dan nsuwa aniwa no.

< Zaburi 114 >