< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
وقتی که اسرائیل از مصر بیرون آمدند، و خاندان یعقوب از قوم اجنبی زبان،۱
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
یهودا مقدس او بود و اسرائیل محل سلطنت وی.۲
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
دریا این را بدید و گریخت واردن به عقب برگشت.۳
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
کوهها مثل قوچها به جستن درآمدند و تلها مثل بره های گله.۴
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
‌ای دریاتو را چه شد که گریختی؟ و‌ای اردن که به عقب برگشتی؟۵
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
‌ای کوهها که مثل قوچها به جستن درآمدید و‌ای تلها که مثل بره های گله.۶
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
‌ای زمین از حضور خداوند متزلزل شو و از حضور خدای یعقوب.۷
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
که صخره را دریاچه آب گردانید وسنگ خارا را چشمه آب.۸

< Zaburi 114 >