< Zaburi 113 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
ख़ुदावन्द की हम्द करो! ऐ ख़ुदावन्द के बन्दों, हम्द करो! ख़ुदावन्द के नाम की हम्द करो!
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
अब से हमेशा तक, ख़ुदावन्द का नाम मुबारक हो!
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
आफ़ताब के निकलने' से डूबने तक, ख़ुदावन्द के नाम की हम्द हो!
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
ख़ुदावन्द सब क़ौमों पर बुलन्द — ओ — बाला है; उसका जलाल आसमान से बरतर है।
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
ख़ुदावन्द हमारे ख़ुदा की तरह कौन है? जो 'आलम — ए — बाला पर तख़्तनशीन है,
6 atazamaye chini angani na duniani?
जो फ़रोतनी से, आसमान — ओ — ज़मीन पर नज़र करता है।
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
वह ग़रीब को खाक से, और मोहताज को मज़बले पर से उठा लेता है,
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
ताकि उसे उमरा के साथ, या'नी अपनी कौम के उमरा के साथ बिठाए।
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
वह बाँझ का घर बसाता है, और उसे बच्चों वाली बनाकर दिलखुश करता है। ख़ुदावन्द की हम्द करो!

< Zaburi 113 >