< Zaburi 110 >

1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
Dāvida dziesma. Tas Kungs sacījis uz manu Kungu: “Sēdies pa Manu labo roku, tiekams Es Tavus ienaidniekus lieku par pameslu Tavām kājām.”
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
Tas Kungs sūtīs Tava stipruma scepteri no Ciānas; valdi Savu ienaidnieku vidū.
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
Tavā kara dienā Tavi ļaudis labprātīgi parādās svētā glītumā; Tavi jaunekļi Tev nāk kā rasa no ausekļa.
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
Tas Kungs ir zvērējis un Tam nebūs žēl: “Tu esi priesteris mūžīgi pēc Melhizedeka kārtas.”
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
Tas Kungs pie Tavas labās rokas satrieks ķēniņus Savas dusmības dienā.
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
Viņš turēs tiesu pagānu starpā; Viņš piepildīs zemi ar miroņiem. Viņš satrieks to, kas ir galva pār lielu zemi.
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
Viņš dzers no upes uz ceļa, tādēļ Viņš pacels galvu.

< Zaburi 110 >