< Zaburi 110 >

1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
to/for David melody utterance LORD to/for lord my to dwell to/for right my till to set: make enemy your footstool to/for foot your
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
tribe: rod strength your to send: depart LORD from Zion to rule in/on/with entrails: among enemy your
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
people your voluntariness in/on/with day strength your in/on/with glory holiness from womb dawn to/for you dew youth your
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
to swear LORD and not to be sorry: relent you(m. s.) priest to/for forever: enduring upon cause Melchizedek Melchizedek
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
Lord upon right your to wound in/on/with day face: anger his king
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
to judge in/on/with nation to fill body to wound head: leader upon land: country/planet many
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
from torrent: river in/on/with way: journey to drink upon so to exalt head

< Zaburi 110 >