< Zaburi 101 >

1 Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa.
Cantarei a misericórdia e o juízo: a ti, Senhor, cantarei.
2 Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu.
Portar-me-ei com inteligência no caminho reto. Quando virás a mim? Andarei em minha casa com um coração sincero.
3 Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami.
Não porei coisa má diante dos meus olhos: aborreço a obra daqueles que se desviam; não se me pegará a mim.
4 Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
Um coração perverso se apartará de mim: não conhecerei o homem mau
5 Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi.
Aquele que murmura do seu próximo às escondidas, eu o destruirei: aquele que tem olhar altivo, e coração soberbo, não sofrerei.
6 Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia.
Os meus olhos estarão sobre os fieis da terra, para que se assentem comigo: o que anda num caminho reto esse me servirá.
7 Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu.
O que usa de engano não ficará dentro da minha casa: o que fala mentiras não está firme perante os meus olhos.
8 Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.
Pela manhã destruirei todos os ímpios da terra, para desarreigar da cidade do Senhor todos os que obram a iniquidade.

< Zaburi 101 >