< Zaburi 10 >

1 Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
Zakaj bivaš v daljavi, Gospod! zakaj se skrivaš v časih, ko smo v stiski?
2 Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
Prevzetnost krivičnega hudo straši siromaka ubozega; zgrabijo se naj v naklepih, katere izmišljajo.
3 Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
Ker krivični hvali dušo svojo v njenem hrepenenji, in njega, ki išče dobička, blagoslavlja, draži Gospoda.
4 Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
Krivični v napuhu svojega obraza: On ne kaznuje, ni Boga, té so vse misli njegove.
5 Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
Varna so pota njegova v vsakem času; previsoko so pogledu njegovemu sodbe tvoje: kateri koli so sovražniki njegovi, vanje piha žarjavico.
6 Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
V srci svojem govori: Ne umaknem se, v nobeni dobi ne bodem v nesreči.
7 Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
Preklinjanja polna so usta njegova in zvijač in goljufije; pod jezikom njegovim je nadlega in ničemurnost.
8 Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
Poseda v votlini vašî, v zatišji, da bi ubil nedolžnega; oči njegove se skrivajo zoper onemoglega.
9 Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
V zatišji preži, kakor lev v svojem brlogu; preži, da zgrabi siromaka ubozega; zgrabil bi rad siromaka ubozega, potegnil ga v mrežo svojo.
10 Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
Sklujči se, potuhne se; in s krepkimi udi svojimi se zgrudi, kakor da so onemogli.
11 Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
V srci svojem govori: Pozabil je Bog mogočni; obličje svoje skriva, ne ozré se nikoli.
12 Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
Vstani, Gospod, Bog mogočni, dvigni roko svojo; ne pozabi siromakov ubozih.
13 Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
Zakaj draži krivični Boga? v srci svojem govori, da ne bodeš térjal?
14 Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
Zazdelo se je tebi, ko gledaš nadlego in gorjé, vzeti jih v roko svojo; brambi tvoji se izroča onemogli; siroti si tí pomočnik.
15 vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
Zdrôbi roko krivičnemu in hudobnemu; preiskuj krivico njegovo, dokler je ne najdeš več.
16 Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
Gospod je kralj večni; poginili so narodi sè zemlje njegove.
17 Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
Hrepenenje krotkih si uslišal, Gospod; potolaži tem srce, nagni svoje uho,
18 Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.
Maščujoč siroto in siromaka, da ga ne bode dalje izganjal človek silovito iz dežele.

< Zaburi 10 >