< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
Die Weisheit bauete ihr Haus und hieb sieben Säulen,
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
schlachtete ihr Vieh und trug ihren Wein auf und bereitete ihren Tisch
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
und sandte ihre Dirnen aus, zu laden oben auf die Paläste der Stadt:
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Wer albern ist, der mache sich hieher! Und zum Narren sprach sie:
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Kommt, zehret von meinem Brot und trinket des Weins, den ich schenke!
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Verlasset das alberne Wesen, so werdet ihr leben; und gehet auf dem Wege des Verstandes.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
Wer den Spötter züchtiget, der muß Schande auf sich nehmen; und wer den Gottlosen straft, der muß gehöhnet werden.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Strafe den Spötter nicht, er hasset dich; strafe den Weisen, der wird dich lieben.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Gib dem Weisen, so wird er noch weiser werden; lehre den Gerechten, so wird er in der Lehre zunehmen.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
Der Weisheit Anfang ist des HERRN Furcht; und der Verstand lehret, was heilig ist.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
Denn durch mich wird deiner Tage viel werden, und werden dir der Jahre des Lebens mehr werden.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Bist du weise, so bist du dir weise; bist du ein Spötter, so wirst du es allein tragen.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
Es ist aber ein töricht, wild Weib, voll Schwätzens und weiß nichts;
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
die sitzt in der Tür ihres Hauses auf dem Stuhl, oben in der Stadt,
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
zu laden alle, die vorübergehen und richtig auf ihrem Wege wandeln.
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Wer ist albern, der mache sich hieher! Und zum Narren spricht sie:
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
Die verstohlenen Wasser sind süß und das verborgene Brot ist niedlich.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
Er weiß aber nicht, daß daselbst Tote sind und ihre Gäste in der tiefen Hölle. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >