< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
Cueihnah loh a im a sak tih a tung parhih a vueh.
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
A maeh te a ngawn tih misurtui neh a thoek tih a caboei te a tawn.
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
Amah kah hula rhoek te a tueih tih, vangpuei hmuensang dangdoe lamkah a khue.
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Te phoeiah, “Unim hlangyoe, anih te lungbuei a talh khaw pahoi nong tak saeh.
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Halo, ka buh he ang uh lamtah misur ka thoek he o uh.
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Hlangyoe te hnoo lamtah hing uh, yakmingnah longpuei te uem uh.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
Hmuiyoi aka toel tah amah loh yah a poh tih, halang aka tluung tah amah loh nganboh a yook.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Hmuiyoi te tluung boeh namah m'hmuhuet ve. Aka cueih tah na tluung cakhaw nang n'lungnah ni.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Aka cueih te pae lah taoe cueih ni, aka dueng te na tukkil atah rhingtuknah a thap ni.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
BOEIPA hinyahnah tah cueihnah lamhma la om tih aka cim mingnah he yakmingnah la om.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
Kai rhangneh na khohnin te puh vetih nang hamla hingnah kum khaw a thap ni.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Na cueih la na cueih mak atah namah ham ngawn ni. Hmui na yoih atah nang namah long ni na phueih eh.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
Angvawk nu loh a hlangpaw la kawk tih bang khaw ming pawh.
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
Tedae a im thohka neh vangpuei hmuensang kah ngolkhoel dongah ngol.
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
Te vaengah a caehlong a dueng la longpuei ah aka pongpa rhoek te a khue.
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
“Hlangyoe neh lungbuei aka talh tah pahoi ha pah saeh.
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
A tui huen aka tui sak tih yinhnuk buh neh aka hmae,” a ti.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
Tedae saelkhui laedil ah sairhai pahoi a khue pah te ming pawh. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >