< Mithali 26 >

1 Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
Como a neve no verão, e como a chuva na sega, assim não convém ao louco a honra.
2 Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
Como ao pássaro o vaguear, como à andorinha o voar, assim a maldição sem causa não virá.
3 Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
O açoite para o cavalo, o freio para o jumento, e a vara para as costas dos tolos.
4 Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
Não respondas ao tolo segundo a sua estultícia; para que também te não faças semelhante a ele.
5 Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
Responde ao tolo segundo a sua estultícia; para que não seja sábio aos seus olhos.
6 Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
Os pés corta, e o dano bebe, quem manda mensagens pela mão dum tolo.
7 Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Como as pernas do coxo, que pendem frouxas, assim é o provérbio na boca dos tolos.
8 Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
Como o que ata a pedra preciosa na funda, assim é aquele que dá honra ao tolo.
9 Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Como o espinho que entra na mão do bêbado, assim é o provérbio na boca dos tolos.
10 Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
Os grandes molestam a todos, e alugam os tolos e transgressores.
11 Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
Como o cão que torna ao seu vômito, assim é o tolo que reitera a sua estultícia.
12 Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
Tens visto a um homem que é sábio a seus próprios olhos? maior esperança há do tolo do que dele.
13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
Diz o preguiçoso: Um leão está no caminho; um leão está nas ruas
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
Como a porta se revolve nos seus gonzos, assim o preguiçoso na sua cama.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
O preguiçoso esconde a sua mão no seio: enfada-se de torna-la à sua boca.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Mais sábio é o preguiçoso a seus olhos do que sete homens que bem respondem.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
O que, passando, se entremete em pleito alheio é como aquele que toma um cão pelas orelhas.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
Como o louco que lança de si faiscas, flechas, e mortandades,
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
Assim é o homem que engana o seu próximo, e diz: Não o fiz eu por brincar?
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
Sem lenha, o fogo se apagará; e, não havendo murmurador, cessará a contenda.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
Como o carvão é para as brazas, e a lenha para o fogo, assim é o homem contencioso para acender rixas.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
As palavras do murmurador são como as palavras do espancado, e elas descem ao intimo do ventre.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
Como o caco coberto de escórias de prata, assim são os lábios ardentes com o coração maligno.
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
Aquele que aborrece se contrafaz pelos seus beiços, mas no seu interior encobre o engano.
25 Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
Quando te suplicar com a sua voz, não te fies nele, porque sete abominações há no seu coração.
26 Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
Cujo ódio se encobre com engano; a sua malícia se descobrirá na congregação.
27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
O que cava uma cova nela cairá; e o que revolve a pedra esta sobre ele tornará.
28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
A língua falsa aborrece aos que ela aflige, e a boca lubrica obra a ruína.

< Mithali 26 >