< Mithali 23 >

1 Unapoketi kula pamoja na mtawala, angalia kwa uangalifu kilichopo mbele yako,
Naar du sidder til Bords hos en Stormand, mærk dig da nøje, hvem du har for dig,
2 na kama ni mtu unayependa kula chakula sana weka kisu kooni.
og sæt dig en Kniv paa Struben, i Fald du er alt for sulten.
3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
Attraa ikke hans lækre Retter, thi det er svigefuld Kost.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
Slid dig ikke op for at vinde dig Rigdom, brug ej din Forstand dertil!
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
Skal dit Blik flyve efter den uden at finde den? Visselig gør den sig Vinger som Ørnen, der flyver mod Himlen.
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
Spis ej den misundeliges Brød, attraa ikke hans lækre Retter;
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
thi han sidder med karrige Tanker; han siger til dig: »Spis og drik!« men hans Hjerte er ikke med dig.
8 Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
Den Bid, du har spist, maa du udspy, du spilder dine fagre Ord.
9 Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
Tal ikke for Taabens Ører, thi din kloge Tale agter han ringe.
10 Usihamishe jiwe la mpaka wa kale au kunyang'anya mashamba ya yatima,
Flyt ej ældgamle Skel, kom ikke paa faderløses Mark;
11 maana Mkombozi wao ni imara na atatetea kesi yao dhidi yako.
thi deres Løser er stærk, han fører deres Sag imod dig.
12 Elekeza moyo wako katika mafundisho na masikio yako kwenye maneno ya maarifa.
Vend dit Hjerte til Tugt, dit Øre til Kundskabs Ord.
13 Usizuie kuadilisha mtoto, maana ukimchapa kwa fimbo, hatakufa.
Spar ej Drengen for Tugt; naar du slaar ham med Riset, undgaar han Døden;
14 Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol h7585)
du slaar ham vel med Riset, men redder hans Liv fra Dødsriget. (Sheol h7585)
15 Mwanangu, kama moyo wako una busara, basi moyo wangu utafurahi pia;
Min Søn, er dit Hjerte viist, saa glæder mit Hjerte sig ogsaa,
16 sehemu zangu ndani kabisa zitafurahi sana midomo yako inaponena haki.
og mine Nyrer jubler, naar dine Læber taler, hvad ret er!
17 Usiruhusu moyo wako kuwahusudu wenye dhambi, lakini endelea kumcha Yehova siku zote.
Dit Hjerte være ikke skinsygt paa Syndere, men stadig ivrigt i HERRENS Frygt;
18 Hakika tumaini lako halitaondolewa na siku zako za hapo baadaye.
en Fremtid har du visselig da, dit Haab bliver ikke til intet.
19 Sikia- wewe! - mwanangu, na uwe mwenye busara na uelekeze moyo wako katika njia.
Hør, min Søn, og bliv viis, lad dit Hjerte gaa den lige Vej.
20 Usishirikiane pamoja na walevi, au pamoja na walaji wa nyama walafi,
Hør ikke til dem, der svælger i Vin, eller dem, der fraadser i Kød;
21 maana mlevi na mlafi wanakuwa masikini na usingizi utawavika kwa matambara.
thi Dranker og Fraadser forarmes, Søvn giver lasede Klæder.
22 Msikilize baba yako ambaye alikuzaa na usimdharau mama yako wakati akiwa mzee.
Hør din Fader, som avlede dig, ringeagt ikke din gamle Moder!
23 Inunue kweli, lakini usiiuze; nunua hekima, nidhamu, na ufahamu.
Køb Sandhed og sælg den ikke, Visdom, Tugt og Forstand.
24 Baba yake mwenye haki atafurahia sana, na yule amzaaye mtoto mwenye busara atamfurahia.
Den retfærdiges Fader jubler; har man avlet en Vismand, glædes man ved ham;
25 Mfurahishe baba yako na mama yako na yule aliyekuzaa afurahie.
din Fader og Moder glæde sig, hun, der fødte dig, juble!
26 Mwanangu, nipe moyo wako na macho yako yachunguze njia zangu.
Giv mig dit Hjerte, min Søn, og lad dine Øjne synes om mine Veje!
27 Maana malaya ni shimo refu, na mke wa mume mwingine ni kisima chembamba.
Thi en bundløs Grav er Skøgen, den fremmede Kvinde, en snæver Brønd;
28 Anavizia kama mnyang'anyi na huongeza idadi ya wadanganyifu miongoni mwa wanadamu.
ja, som en Stimand ligger hun paa Lur og øger de troløses Tal blandt Mennesker.
29 Nani mwenye taabu? Nani mwenye huzuni? Nani mwenye mapigano? Nani mwenye malalamiko? Nani mwenye majeraha bila sababu? Nani mwenye macho mekundu?
Hvem har Ak, og hvem har Ve, hvem har Kiv, og hvem har Klage? Hvem har Saar uden Grund, hvem har sløve Øjne?
30 Ni wale ambao huzengea kwenye mvinyo, wale wanaojaribu kuchanganya mvinyo.
De, som sidder sent over Vinen, som kommer for at smage den stærke Drik.
31 Usiutazame mvinyo ukiwa mwekundu, wakati unametameta kwenye kikombe na kutelemka kwa uraini.
Se ikke til Vinen, hvor rød den er, hvorledes den perler i Bægeret; den glider saa glat,
32 Mwisho wake unauma kama nyoka na sumu yake kama kifutu.
men bider til sidst som en Slange og spyr sin Gift som en Øgle;
33 Macho yako yataona vitu vigeni na moyo wako utatamka vitu vya ukaidi.
dine Øjne skuer de sælsomste Ting, og bagvendt taler dit Hjerte;
34 Utakuwa kama anayelala kwenye bahari au anayelala juu ya mlingoti. “
du har det, som laa du midt i Havet, som laa du oppe paa en Mastetop.
35 Wamenipiga,” utasema, “lakini sikuumia. Wamenichapa, lakini sikuwa na hisia. Nitaamka lini? Nitatafuta kinywaji kingine.”
»De slog mig, jeg følte ej Smerte, gav mig Hug, jeg mærked det ikke; naar engang jeg vaagner igen, saa søger jeg atter til Vinen!«

< Mithali 23 >