< Mithali 2 >

1 Mwanangu, kama ukiyapokea maneno yangu na kuzitunza amri zangu,
Fili mi, si susceperis sermones meos, et mandata mea absconderis penes te,
2 usikilize hekima na utaelekeza moyo wako katika ufahamu.
ut audiat sapientiam auris tua: inclina cor tuum ad cognoscendam prudentiam.
3 kama utalilia ufahamu na kupaza sauti yako kwa ajili ya ufahamu,
Si enim sapientiam invocaveris, et inclinaveris cor tuum prudentiæ:
4 kama utautafuta kama fedha na kupekua ufahamu kama unatafuta hazina iliyojificha,
si quæsieris eam quasi pecuniam, et sicut thesauros effoderis illam:
5 ndipo utakapofahamu hofu ya Yehova na utapata maarifa ya Mungu.
tunc intelliges timorem Domini, et scientiam Dei invenies:
6 Kwa kuwa Yohova hutoa hekima, katika kinywa chake hutoka maarifa na ufahamu.
quia Dominus dat sapientiam: et ex ore eius prudentia, et scientia.
7 Yeye huhifadhi sauti ya hekima kwa wale wampendezao, yeye ni ngao kwa wale waendao katika uadilifu,
Custodiet rectorum salutem, et proteget gradientes simpliciter,
8 huongoza katika njia za haki na atalinda njia ya waaminifu kwake.
servans semitas iustitiæ, et vias sanctorum custodiens.
9 Ndipo utakapoelewa wema, haki, usawa na kila njia njema.
Tunc intelliges iustitiam, et iudicium, et æquitatem, et omnem semitam bonam.
10 Maana hekima itaingia moyoni mwako na maarifa yataipendeza nafsi yako.
Si intraverit sapientia cor tuum, et scientia animæ tuæ placuerit:
11 Busara itakulinda, ufahamu utakuongoza.
consilium custodiet te, et prudentia servabit te,
12 Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu, kutoka kwa wale waongeao mambo potovu.
ut eruaris a via mala, et ab homine, qui perversa loquitur:
13 Ambao huziacha njia za wema na kutembea katika njia za giza.
qui relinquunt iter rectum, et ambulant per vias tenebrosas:
14 Hufurahia wanapotenda maovu na hupendezwa katika upotovu.
qui lætantur cum malefecerint, et exultant in rebus pessimis:
15 Hufuata njia za udanganyifu na kwa kutumia ghilba huficha mapito yao.
quorum viæ perversæ sunt, et infames gressus eorum.
16 Busara na hekima zitakuokoa kutoka kwa mwanamke malaya, kutoka kwa mwanamke anayetafuta visa na mwenye maneno ya kubembeleza.
Ut eruaris a muliere aliena, et ab extranea, quæ mollit sermones suos,
17 Yeye humwacha mwenzi wa ujana wake na kusahau agano la Mungu wake.
et relinquit Ducem pubertatis suæ,
18 Maana nyumba yake huinama na kufa na mapito yake yatakupeleka kwa wale walioko kaburini.
et pacti Dei sui oblita est. Inclinata est enim ad mortem domus eius, et ad inferos semitæ ipsius. (questioned)
19 Wote waiendeao njia yake hawatarudi tena na wala hawataziona njia za uzima.
Omnes, qui ingrediuntur ad eam, non revertentur, nec apprehendent semitas vitæ.
20 kwa hiyo utatembea katika njia ya watu wema na kufuata njia za wale watendao mema.
Ut ambules in via bona: et calles iustorum custodias.
21 Kwa wale watendao mema watafanya makazi yao katika nchi, na wale wenye uadilifu watadumu katika nchi.
Qui enim recti sunt, habitabunt in terra, et simplices permanebunt in ea.
22 Lakini waovu wataondolewa katika nchi na wale wasioamini wataondolewa katika nchi.
Impii vero de terra perdentur: et qui inique agunt, auferentur ex ea.

< Mithali 2 >