< Mithali 14 >

1 Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake, bali mwanamke mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
Genom visa kvinnor varder huset uppbyggt, men oförnuft river ned det med egna händer.
2 Yeye aendaye kwa uaminifu humcha Yehova, bali mkaidi humdharau katika njia zake.
Den som fruktar HERREN, han vandrar i redlighet, men den som föraktar honom, han går krokiga vägar.
3 Katika kinywa cha mpumbavu hutoka chipukizi la kiburi chake, bali midomo ya wenye busara itawalinda.
I den oförnuftiges mun är ett gissel för hans högmod, men de visa bevaras genom sina läppar.
4 Pale pasipo na mifugo hori la kulishia ni safi, bali mazao mengi huweza kupatikana kwa nguvu za maksai.
Där inga dragare finnas, där förbliver krubban tom, men riklig vinning får man genom oxars kraft.
5 Shahidi mwaminifu hasemi uongo, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.
Ett sannfärdigt vittne ljuger icke, men ett falskt vittne främjar lögn.
6 Mwenye dharau hutafuta hekima na hakuna hata, bali maarifa huja kwa urahisi kwa mwenye ufahamu.
Bespottaren söker vishet och finner ingen, men för den förståndige är kunskap lätt.
7 Nenda mbali kutoka kwa mtu mpumbavu, maana hutapata maarifa kwenye midomo yake.
Gå bort ifrån den man som är dåraktig; aldrig fann du på hans läppar något förstånd.
8 Hekima ya mtu mwenye busara ni kuifahamu njia yake mwenyewe, bali upuuzi wa wapumbavu ni udanganyifu.
Det är den klokes vishet, att han aktar på sin väg, men det är dårars oförnuft, att de öva svek.
9 Wapumbavu hudharau wakati sadaka ya hatia inapotolewa, bali miongoni mwao waaminifu hushiriki fadhila.
De oförnuftiga bespottas av sitt eget skuldoffer, men bland de redliga råder gott behag.
10 Moyo unayajua machungu yake mwenyewe na hakuna mgeni anayeshiriki furaha yake.
Hjärtat känner självt bäst sin egen sorg, ej heller kan en främmande intränga i dess glädje.
11 Nyumba ya waovu itaangamizwa, bali hema ya watu waaminifu itasitawi.
De ogudaktigas hus förödes, men de rättsinnigas hydda blomstrar.
12 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, lakini mwisho wake huelekea mauti tu.
Mången håller sin väg för den i rätta, men på sistone leder den dock till döden.
13 Moyo unaweza kucheka lakini bado ukawa katika maumivu na furaha inaweza kukoma ikawa huzuni.
Mitt under löjet kan hjärtat sörja, och slutet på glädjen bliver bedrövelse.
14 Yule asiyemwaminifu atapata anachostahili kwa njia zake, bali mtu mwema atapata kilicho chake.
Av sina gärningars frukt varder den avfällige mättad, och den gode bliver upphöjd över honom.
15 Yeye ambaye hakufundishwa huamini kila kitu, bali mtu mwenye hekima huzifikiria hatua zake.
Den fåkunnige tror vart ord, men den kloke aktar på sina steg.
16 Mtu mwenye hekima huogopa na kutoka kwenye ubaya, bali mpumbavu huliacha onyo kwa ujasiri.
Den vise tager sig till vara och flyr det onda, men dåren är övermodig och sorglös.
17 Yeye ambaye anakuwa na hasira kwa haraka hufanya mambo ya kipumbavu, na mtu anayefanya hila mbaya huchukiwa.
Den som är snar till vrede gör vad oförnuftigt är, och en ränkfull man bliver hatad.
18 Wajinga hurithi upumbavu, lakini watu wenye hekima wamezingirwa kwa maarifa.
De fåkunniga hava fått oförnuft till sin arvedel, men de kloka bliva krönta med kunskap.
19 Hao ambao ni waovu watainama mbele yao walio wema na wale wenye uovu watasujudu kwenye malango ya wenye haki.
De onda måste falla ned inför de goda, och de ogudaktiga vid den rättfärdiges portar.
20 Mtu masikini huchukiwa hata na marafiki zake, bali watu matajiri wanamarafiki wengi.
Jämväl av sina närmaste är den fattige hatad, men den rike har många vänner.
21 Yeye ambaye huonyesha dharau kwa jirani yake anafanya dhambi, bali yule ambaye huonyesha fadhila kwa masikini anafuraha.
Den som visar förakt för sin nästa, han begår synd, men säll är den som förbarmar sig över de betryckta.
22 Je wale wanaofanya njama mbaya hawapotei? Bali wale wenye mpango wa kutenda mema watapokea agano la uaminifu na udhamini
De som bringa ont å bane skola förvisso fara vilse, men barmhärtighet och trofasthet röna de som bringa gott å bane.
23 Katika kazi zote ngumu huja faida, bali palipo na maongezi tu, huelekea kwenye umasikini.
Av all möda kommer någon vinning, men tomt tal är ren förlust.
24 Taji ya watu wenye busara ni utajiri wao, bali upuuzi wa wapumbavu huwaletea upuu zaidi.
De visas rikedom är för dem en krona men dårarnas oförnuft förbliver oförnuft.
25 Shahidi mkweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.
Ett sannfärdigt vittne räddar liv, men den som främjar lögn, han är full av svek.
26 Mtu anapokuwa na hofu ya Yehova, pia anakuwa na matumaini zaidi ndani yake; vitu hivi vitakuwa kama sehemu imara ya ulinzi kwa watoto wa mtu huyu.
Den som fruktar HERREN har ett tryggt fäste, och hans barn få där en tillflykt.
27 Kumcha Yehova ni chemchemi ya uzima, ili kwamba mtu aweze kujiepusha kutoka katika mitego ya mauti.
I HERRENS fruktan är en livets källa genom dem undviker man dödens snaror
28 Utukufu wa mfalme upo katika idadi kubwa ya watu wake, bali pasipo watu mfalme huangamia.
Att hava många undersåtar är en konungs härlighet, men brist på folk är en furstes olycka.
29 Mtu mvumilivu anaufahamu mkubwa, bali mtu mwepesi wa kuhamaki hukuza upuuzi.
Den som är tålmodig visar gott förstånd, men den som är snar till vrede går långt i oförnuft.
30 Moyo wenye raha ni uzima wa mwili, bali husuda huozesha mifupa.
Ett saktmodigt hjärta är kroppens liv, men bittert sinne är röta i benen.
31 Anayemkandamiza masikini humlaani Muumba wake, bali anayeonyesha fadhila kwa wahitaji humtukuza yeye.
Den som förtrycker den arme smädar hans skapare, men den som förbarmar sig över de fattiga, han ärar honom.
32 Mtu mwovu huangushwa chini kwa matendo yake mabaya, bali mtu mwenye haki anakimbilio hata katika kifo.
Genom sin ondska kommer de ogudaktige på fall, men den rättfärdige är frimodig in i döden.
33 Hekima hukaa katika moyo wa ufahamu, bali hata miongoni mwa wapumbavu hujiachilia mwenyewe kwa kujulikana
I den förståndiges hjärta bor visheten, och i dårarnas krets gör hon sig kunnig.
34 Kutenda haki huliinua taifa, bali dhambi ni chukizo kwa watu wowote.
Rättfärdighet upphöjer ett folk men synd är folkens vanära.
35 Fadhila ya mfalme ni kwa mtumishi mwenye kutenda kwa hekima, bali hasira yake ni kwa yule atendaye kwa kuaibisha.
En förståndig tjänare behaga konungen väl, men över en vanartig skall han vrede komma.

< Mithali 14 >