< Obadia 1 >

1 Maono ya Obadia. Bwana MUNGU asema hivi juu ya Edomu Tumesikia habari kutoka kwa Bwana, na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, akisema, Inukeni! Tuinuke dhidi yake kwa vita!”
Obadiah kah mangthui he ka Boeipa Yahovah loh Edom ham a thui. BOEIPA taeng lamloh olthang ka yaak uh coeng. Te dongah namtom taengah laipai a tueih coeng. Thoo uh lamtah caemtloek la a taengah thoo uh.
2 Tazama, nitawafanya wadogo kati ya mataifa, mutadharauliwa sana.
Nang te namtom rhoek lakli ah canoi la kang khueh vetih nang te rhep n'hnaep pawn ni he.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya wewe, wewe ambaye unishi katika makaburi ya miamba, katika nyumba yako ya juu; asemaye moyoni mwako, 'Ni nani atakayenishusha mimi chini?'
Na lungbuei kah althanah loh nang n'rhaithi coeng. A hmuen sang kah thaelpang thaelrhaep ah kho a sak tih a lungbuei ah, “Ulong kai he diklai la n'hlak eh,” a ti.
4 Ingawa unasimama juu kama tai na ingawa kiota chako huwekwa kati ya nyota, nitakushusha chini kutoka huko, asema Yahweh.
Thahum bangla na sang sitoe cakhaw, aisi laklo ah na bu na khueh sitoe cakhaw, te lamloh nang te kan hlak ni.
5 Kama wezi walikuja kwako, ikiwa wanyang'anyi wangekujilia usiku (jinsi ungekatilwa mbali!), Wasingeweza kuiba vya kuwatosha? Ikiwa wakusanya zabibu wangekujilia, wasingeacha mavuno?
Hlanghuen rhoek loh nang te m'paan uh mai tih khoyin ah n'rhoelrhak koinih metlam na hmata eh? Amamih rhoeh hil huen uh mapawt nim? Aka bit rhoek te na taengla ha pawk uh koinih a yoep te hlun uh mahpawt nim?
6 Jinsi Esau amekwisha kupigwa, na hazina zake zilizofichwa zimewekwa nje!
Esau te metlam a phuelhthaih uh vetih a hnothuh te a yam uh eh?
7 Watu wote wa ushirikiano wako watakupeleka katika njiani ya hadi mpakani. Watu waliokuwa na amani pamoja nawe wamekudanganya, na kukushinda. Wale wanaokula mkate wako wameweka mtego chini yako. Hakuna uelewa ndani yake.
Na huitai hlang boeih loh khorhi duela nang n'tueih uh ni. Na ngaimongnah hlang rhoek loh nang te rhaithi nah vetih nang m'vueinan thil ni. Na buh dongah nang hamla doi a khueh vetih a taengah na lungcuei mahpawh.
8 Je! Sikuweza siku hiyo, asema Bwana, kuwaangamiza watu wenye hekima kutoka Edomu na kuelewa kutoka mlima wa Esau?
BOEIPA kah olphong he te khohnin kah moenih a? Edom lamloh aka cueih tih Esau tlang lamkah lungcuei khaw ka milh sak ni?
9 Mashujaa wako watafadhaika, Temani, ili kila mtu akatiliwe mbali kutoka mlima wa Esau kwa kuuawa.
Teman nang kah hlangrhalh rhoek te rhihyawp uh tih, Esau tlang kah ngawnnah loh hlang a khoe ni.
10 Kwa sababu ya ukatili uliofanywa kwa ndugu yako Yakobo, utafunikwa na aibu, nawe utakatiliwa mbali milele.
Na mana Jakob kah kuthlahnah kongah yah loh nang n'khuk vetih kumhal duela n'khoe ni.
11 Siku ile ulikuwa umesimama, siku wageni walichukua mali zake, na waliokuwa wageni katika malango yake, na kupiga kura kwa Yerusalemu, wewe ulikuwa kama mmoja wao.
A hmai ah na pai khohnin ah, kholong loh a thadueng a khuen khohnin ah khaw kholong rhoek te amah vongka, vongka ah kun ni. Jerusalem ham hmulung a naan uh coeng tih nang khaw amih kah hlang pakhat la na om.
12 Lakini usifurahi siku ya ndugu yako, siku ya msiba wake, wala usifurahi juu ya watu wa Yuda siku ya uharibifu wao; msijisifu siku ya dhiki yao.
A yoethaenah hnin ah tah na manuca kah khohnin te so boeh. A milh uh khohnin ah Judah ca rhoek soah kokhahnah boeh. Citcai khohnin ah na ol vikvawk boeh.
13 Usiingie mlango wa watu wangu siku ya msiba wao; usifurahi juu ya taabu yao siku ya msiba wao, wala msipotee utajiri wao siku ya uharibifu wao.
Amih kah rhainah hnin ah ka pilnam kah vongka ah mop uh boeh. A rhainah hnin ah anih kah yoethaenah te nang loh so van boeh. A rhainah hnin ah tah anih ham tatthai te na tueih pah hae mahpawh.
14 Usisimama kwenye njia panda, ili kuwakatilia mbali wakimbizi wake na usiwatoe waathirika wake katika siku ya dhiki.
A hlangyong rhoek te saii hamla longrhak ah pai boeh. Citcai khohnin kah a rhaengnaeng rhoek te khoh boeh.
15 Kwa maana siku ya Bwana iko karibu na mataifa yote. Kama ulivyofanya, itafanyika kwako; matendo yako yatarudi juu ya kichwa chako mwenyewe.
BOEIPA kah khohnin he namtom cungkuem hamla yoei coeng. Na saii bangla namah taengah a saii ni. Na thaphu te namah lu dongla mael ni.
16 Kwa vile mlivyokunywa katika mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote yatakavyo kunywa daima. Watakunywa na kumeza na itakuwa kana kwamba hawakuwepo kabisa.
Ka hmuencim tlang ah na ok uh bangla namtom boeih loh a ok uh yoeyah ni. A ok uh tih a dolh uh akhaw aka om pawt bangla om uh ni.
17 Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwa na wale waliookoka na watakuwa watakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki miliki zao.
Tedae Zion tlang ah loeihnah om vetih hmuencim la om ni. Te vaengah Jakob imkhui loh amamih kah a hut te a pang uh ni.
18 Nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu ni mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaunguza, na kuwateketeza. Hakutakuwa na waathirika kwa nyumba ya Esau, kwa kuwa Bwana amesema.
Te vaengah Jakob im te hmai la, Joseph im te hmaisai la, Esau im te divawt la poeh ni. Amih te a toih uh vetih tlum uh ni. BOEIPA loh a thui coeng dongah Esau im lamkah rhaengnaeng om mahpawh.
19 Wote kutoka Negebu watamiliki mlima wa Esau na wale wa Shepela watamiliki nchi ya Wafilisti. Wao wataimiliki nchi ya Efraimu na nchi ya Samaria; na Benyamini atamiliki Gileadi.
Tuithim loh Esau tlang neh Philisti kolrhawk te a pang ni. Ephraim khohmuen neh Samaria khohmuen khaw, Benjamin, Gilead khaw a pang uh ni.
20 Wahamiaji wa jeshi hili la watu wa Israeli watamiliki ardhi ya Kanaani mpaka Sarepta. Wahamiaji wa Yerusalemu, waliopo Sefaradi, wataimiliki miji ya Negebu.
Israel ca rhoek he Kanaan neh Zarepthah hil rhalmahvong kah hlangsol la om. Sepharad kah Jerusalem hlangsol rhoek loh tuithim khopuei rhoek te a pang uh ni.
21 Waokoaji watakwenda hadi juu ya Mlima Sayuni kutawala nchi ya vilima ya Esau, na ufalme utakuwa wa Bwana.
A khang rhoek tah Esau tlang te laitloek hamla Zion tlang la luei uh vetih mangpa la BOEIPA hut la om ni.

< Obadia 1 >