< Hesabu 9 >

1 BWANA akanena na Musa katika katika jangwa la Sinai, mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya kutoka katika nci ya Misri. Akasema,
And he spoke Yahweh to Moses in [the] wilderness of Sinai in the year second of going out their from [the] land of Egypt in the month first saying.
2 “Wana wa Israeli wataikumbuka Pasaka katika wakati wake kila mwaka.
Let them observe [the] people of Israel the passover at appointed time its.
3 Siku ya kumi na nne ya mwezi huu, muda wa jioni, utaikumbuka Pasaka kila mwaka kwa muda uliopanggwa. Lazima uikumbuke, fuata taratibu zake zote na utii sheria zake zote zinazohusiana na tukio hilo.
On [the] four-teen day in the month this between the evenings you will observe it at appointed time its according to all statutes its and according to all judgments its you will observe it.
4 Kwa hiyo, Musa akawaambia wana wa Isareli kuwa wataishika sikukuu ya Pasaka.
And he spoke Moses to [the] people of Israel to observe the passover.
5 Kwa hiyo wakaishika sikuu ya Pasaka katika mwezi wa kwanza, wakati wa jioni wa siku ya kumi na nne ya mwezi katika jangwa la Sinai. Wana wa Israeli walitii kila kitu ambacho BWANA alimwamuru Musa kukifanya.
And they observed the passover in the first [month] on [the] four-teen day of the month between the evenings in [the] wilderness of Sinai according to all that he had commanded Yahweh Moses so they did [the] people of Israel.
6 Kulikuwa na watu fulani walionajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Hawakuweza kuishika Pasaka siku hiyo. Kwa hiyo walikwenda kwa Musa na Haruni siku hiyohiyo.
And it was people who they were unclean to a corpse of a person and not they were able to observe the passover on the day that and they drew near before Moses and before Aaron on the day that.
7 Wakamwambia Musa, “Sisi tumenajisika kwa sababu ya maiti ya mtu. Kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka kwa BWANA kwa wakati wa mwaka uliopangwa kwa wana wa Israeli?”
And they said the people those to him we [are] unclean to a corpse of a person why? are we restrained to not to bring near [the] offering of Yahweh at appointed time its in among [the] people of Israel.
8 Naye Musa akawaambia, “Subirini nimsikilize BWANA ataniambia nini juu Yenu.”
And he said to them Moses stand so let me hear what? will he command Yahweh of you.
9 BWANA akanena na Musa, akamwambia,
And he spoke Yahweh to Moses saying.
10 “Nena na wana wa Israeli, uwaambie, 'kama mmoja wenu au mwana wa uzao wenu amenajisika kwa sababu ya maiti, au ana safari ndefu, bado anaweza kuishika Pasaka ya BWANA.
Speak to [the] people of Israel saying a man a man if he will be unclean - to a corpse or on a journey distant to you or to generations your and he will observe a passover to Yahweh.
11 Wataishika Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili wakati wa jioni. Wataila kwa mikate isyotiwa chahcu na mboga chungu.
In the month second on [the] four-teen day between the evenings they will observe it with unleavened bread and bitter herbs they will eat it.
12 Wasiiache mpaka jioni, au kuvunja mifupa yake. Watafuata taratibu zote za Pasaka.
Not they will leave over any of it until morning and a bone not they will break in it according to every statute of the passover they will observe it.
13 Lakini mtu yeyote asiye najisi na hayuko safarini, na akashindwa kuishika Pasaka, huyo mtu lazima aondolewe kati ya watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ambayo BWANA huitaka kwa wakati wa mwaka uliopangwa. Huyo mtu lazima aibebe dhambi yake.
And the person who he [was] pure and on a journey not he was and he failed to observe the passover and it will be cut off the person that from kinspeople its for - [the] offering of Yahweh not he brought near at appointed time its sin his he will bear the person that.
14 Kama mtu mgeni anayeishi kati yenu na akaishika, Pasaka kwa heshima ya BWANA, ataishika na kufanya amri zote, na kutii taratibu zake. Utakuwa na sheria hizohizo kwa wageni na kwa wote waliaozaliwa katika nchi.
And if he will sojourn with you a sojourner and he will observe a passover to Yahweh according to [the] statute of the passover and according to judgment its so he will do a statute one it will belong to you and to the sojourner and to [the] native-born of the land.
15 Na siku hiyo ambayo masikani iliposimamishwa, wingu lilifunika masikani, ile hema ya amari ya agano. Ilipokuwa jioni wingu lilkuwa juu ya masikani. Lilionekana kama moto mpaka asubuhi.
And on [the] day set up the tabernacle it covered the cloud the tabernacle of [the] tent of the testimony and in the evening it was over the tabernacle like [the] appearance of fire until morning.
16 Liliendelea hivyohivyo. Lile wingu lilifunika masikani na kuonekana kama moto wakati wa usiku.
Thus it was continually the cloud it covered it and [the] appearance of fire night.
17 Na kila wingu lilipochukuliwa kutoka kwenye hema, wana wa Isareli waliendelea na safari yao. Na kila wingu liliposimama, watu waliweka kambi.
And to [the] mouth of [the] taking up of the cloud from over the tent and after thus they set out [the] people of Israel and in [the] place where it settled down there the cloud there they encamped [the] people of Israel.
18 Wana wa Israrli walisafiri kwa amri ya BWANA, na kwa amri yake waliweka kambi. Wakati wingu liliposimama juu ya masikani, nao walikaa kwenye kambi zao.
On [the] mouth of Yahweh they set out [the] people of Israel and on [the] mouth of Yahweh they encamped all [the] days which it settled down the cloud over the tabernacle they encamped.
19 Na wingu lilipobaki kwenye masikani kwa siku nyingi, wana wa Israeli walitakiwa kutii maelekezo ya BWANA na kusitisha safari yao.
And when made long the cloud over the tabernacle days many and they kept [the] people of Israel [the] duty of Yahweh and not they set out.
20 Wakati mwingine wingu lilibaki kwa siku chache tu kwenye masikani. Kwa mazingira kama hayo walilazimika kutii amri ya BWANA - waliweka kambi na kisha kuendelea na safari tena kwa amri yake.
And there [was] when it was the cloud days number over the tabernacle on [the] mouth of Yahweh they encamped and on [the] mouth of Yahweh they set out.
21 Wakati mwingine wingu lilikuwepo kambini kuanzia jioni mpaka asubuhi. Na wingu liliponyanyuliwa asubuhi, walisafiri. Kama liliendelea kwa mchana wote na kwa usiku wote, ni pale tu wingu liliponyanyuliwa ndipo walipoendelea na safari.
And there [was] when it was the cloud from evening until morning and it was taken up the cloud in the morning and they set out or by day and night and it was taken up the cloud and they set out.
22 Hata kama wingu lilibaki kwenye masikini kwa siku mbili, kwa mwezi mmoja, au kwa mwaka mmoja, ili mradi tu limebaki pale, wana wa Israeli walibaki kwenye kambi zao na kusitisha safari. Lakini pale wingu liliponyanyuliwa, walianza safari yao.
Or two days or a month or days when made long the cloud over the tabernacle to dwell over it they encamped [the] people of Israel and not they set out and when was taken up it they set out.
23 Walifanya kambi kwa amri ya BWANA, na walisafiri kwa amri yake. Walitii amri ya BWANA iliyotolewa kupitia kwa Musa
On [the] mouth of Yahweh they encamped and on [the] mouth of Yahweh they set out [the] duty of Yahweh they kept on [the] mouth of Yahweh by [the] hand of Moses.

< Hesabu 9 >