< Hesabu 7 >

1 Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
On the day that Moses completed the tabernacle, he anointed it and set it apart to Yahweh, together with all of its furnishings. He did the same for the altar and all its utensils. He anointed them and set them apart to Yahweh.
2 Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
On that day, the leaders of Israel, the heads of their ancestor's families, offered sacrifices. These men were leading the tribes. They had overseen the counting of the men in the census.
3 Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
They brought their offerings before Yahweh. They brought six covered carts and twelve oxen. They brought one cart for every two leaders, and each leader brought one ox. They presented these things in front of the tabernacle.
4 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Then Yahweh spoke to Moses. He said,
5 “Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
“Accept the offerings from them and use the offerings for the work in the tent of meeting. Give the offerings to the Levites, to each one as his work needs them.”
6 Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
Moses took the carts and the oxen, and he gave them to the Levites.
7 Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
He gave two carts and four oxen to the descendants of Gershon, because of what their work needed.
8 Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
He gave four carts and eight oxen to the descendants of Merari, in the care of Ithamar son of Aaron the priest. He did this because of what their work required.
9 Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
But he gave none of those things to the descendants of Kohath, because theirs would be the work related to the things that belong to Yahweh that they would carry on their own shoulders.
10 Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
The leaders offered their goods for the dedication of the altar on the day that Moses anointed the altar. The leaders offered their sacrifices in front of the altar.
11 BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
Yahweh said to Moses, “Each leader must offer on his own day his sacrifice for the dedication of the altar.”
12 Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
On the first day, Nahshon son of Amminadab, of the tribe of Judah, offered his sacrifice.
13 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
14 Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
He gave one gold dish that weighed ten shekels and was full of incense.
15 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
16 Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
He gave one male goat as a sin offering.
17 Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Nahshon son of Amminadab.
18 Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
On the second day, Nethanel son of Zuar, leader of Issachar, offered his sacrifice.
19 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
He offered as his sacrifice one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
20 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
21 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
22 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
23 Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Nethanel son of Zuar.
24 Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
On the third day, Eliab son of Helon, leader of the descendants of Zebulun, offered his sacrifice.
25 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels, and one silver bowl weighing seventy shekels by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
26 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
27 Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
28 Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
29 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Eliab son of Helon.
30 Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
On the fourth day, Elizur son of Shedeur, leader of the descendants of Reuben, offered his sacrifice.
31 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
32 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
33 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
34 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
35 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Elizur son of Shedeur.
36 Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
On the fifth day, Shelumiel son of Zurishaddai, leader of the descendants of Simeon, offered his sacrifice.
37 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
38 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
39 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
40 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
41 Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Shelumiel son of Zurishaddai.
42 Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
On the sixth day, Eliasaph son of Deuel, leader of the descendants of Gad, offered his sacrifice.
43 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
44 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
45 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
46 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
47 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Eliasaph son of Deuel.
48 Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
On the seventh day, Elishama son of Ammihud, leader of the descendants of Ephraim, offered his sacrifice.
49 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
50 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
51 Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
52 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
53 Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Elishama son of Ammihud.
54 Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
On the eighth day, Gamaliel son of Pedahzur, leader of the descendants of Manasseh, offered his sacrifice.
55 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
56 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
57 Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
58 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
59 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Gamaliel son of Pedahzur.
60 Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
On the ninth day, Abidan son of Gideoni, leader of the descendants of Benjamin, offered his sacrifice.
61 Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mingled with oil for a grain offering.
62 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
63 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
64 Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
65 Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Abidan son of Gideoni.
66 Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
On the tenth day, Ahiezer son of Ammishaddai, leader of the descendants of Dan, offered his sacrifice.
67 Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
68 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
69 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
70 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
71 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Ahiezer son of Ammishaddai.
72 Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
On the eleventh day, Pagiel son of Okran, leader of the descendants of Asher, offered his sacrifice.
73 Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mingled with oil for a grain offering.
74 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
75 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
76 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
77 Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Pagiel son of Okran.
78 Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
On the twelfth day, Ahira son of Enan, leader of the descendants of Naphtali, offered his sacrifice.
79 Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
His sacrifice was one silver platter weighing 130 shekels and one silver bowl weighing seventy shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel. Both of these objects were full of fine flour mixed with oil for a grain offering.
80 Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
He also gave one gold dish weighing ten shekels, full of incense.
81 Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
He gave as a burnt offering one young bull, one ram, and a one-year-old male lamb.
82 Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
He gave one male goat as a sin offering.
83 Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
He gave two oxen, five rams, five male goats, and five male lambs that were a year old, as the sacrifice for a fellowship offering. This was the sacrifice of Ahira son of Enan.
84 Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
The leaders of Israel set all these apart on the day that Moses anointed the altar. They set apart the twelve silver platters, twelve silver bowls, and twelve gold dishes.
85 Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
Each silver platter weighed 130 shekels and each bowl weighed seventy shekels. All the silver vessels weighed 2,400 shekels, by the standard weight of the sanctuary shekel.
86 Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
Each of the twelve gold dishes, full of incense, weighed ten shekels by the standard weight of the sanctuary shekel. All the gold dishes weighed 120 shekels.
87 Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
They set apart all the animals for the burnt offerings, twelve bulls, twelve rams, and twelve year-old male lambs. They gave their grain offering. They gave twelve male goats as a sin offering.
88 Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
From all their cattle, they gave twenty-four bulls, sixty rams, sixty male goats, and sixty male lambs a year old, as the sacrifice for the fellowship offering. This was for the dedication of the altar after it was anointed.
89 Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.
When Moses went into the tent of meeting to speak with Yahweh, he heard his voice speaking to him. Yahweh spoke to him from above the atonement lid on the ark of the testimony, from between the two cherubim. He spoke to him.

< Hesabu 7 >