< Hesabu 35 >

1 BWANA akanena na Musa kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
Господ говори още на Моисея в моавските полета при Иордан срещу Ерихон, казвайки:
2 “Waamuru watu wa Israeli kutoa sehemu ya urithi wa ardhi yao kwa Walawi. Watawapa miji ya kuishi ndani yake na eneo la malisho kuzunguka miji hiyo.
Заповядай на израилтяните да дадат на левитите от наследственото си притежание градове, в които да се зеселят; дайте на левитите и пасбища около градовете им.
3 Walawi watakuwa na miji hiyo ya kuishi. Eneo la malisho litakuwa kwa ajili ya ng'ombe zao, kondoo zao, na wanyama wao wote.
Градовете да им служат за живеене, а пасбищата да им служат за говедата им, за имота им и за всичките им животни.
4 Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande.
Пасбищата около градовете, които ще дадете на левитите, да се простират хиляда лакътя навън от градската стена наоколо.
5 Utapima dhiraa elfu mbili kutoka nje ya mji kuelekea mashariki, na dhiraa elfu mbili kuelekea kusini, na dhiraa elfu mbili kuelekea upande wa magharibi, na dhiraa elfu mbilii kuelekea upandewa kaskazini. Haya yatakuwa maeneo ya malisho yao. Miji itakuwa katikati.
Да измерите извън града, на източната страна, две хиляди лакътя, на южната страна две хиляди лакътя, на западната страна две хиляди лакътя, северната страна две хиляди лакътя, а градът да бъде в средата. Такива да бъдат пасбищата около градовете им.
6 Katika hiyo miji sita mtakayowapatia Walawi itatumika kama miji ya ukimbizi. Mtatoa maeneo haya ili kama mtu ameua mtu apate mahali pa kukimbilia. Pia mtatoa miji mingine arobaini na mbli.
И градовете, които ще дадете на левитите, да бъдат шест града за прибягване, които да определите, за да може да прибягва там убиецът; и на тях да притурите още четиридесет и два града.
7 Jumla ya miji ambyo mtawapa Walawi itakuwa arobaini na nane. Mtawapa hiyo miji pamoja na maeneo yao ya malisho.
Всичките градове, които ще дадете на левитите, да бъдат четиридесет и осем града; дайте ги заедно с пасбищата им.
8 Zile kabila kubwa za watu wa Israeli, kabila ambalo lina ardhi zaidi, watatoa ardhi zaidi. Makabila madogo madogo watatoa miji michache. Kila kabila lazima watoe kwa ajili ya Walawi kwa kufuata mgawo waliopata.”
И когато дадете градовете от притежанието на израилтяните, от многото градове дайте много, а от малкото - дайте малко; всяко племе да даде на левитите от градовете си според наследството, което е наследило.
9 Kisha BWANA akanena na Musa akamwambia,
Господ говори още на Моисея казвайки:
10 “Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapovuka Yorodani kuingia Kanaani,
Говори на израилтяните, казвайки им: Когато минете през Иордан в Ханаанската земя,
11 Kisha mchague miji itakayotumika kama miji ya ukimbizi kwa, ajili yenu, mahali ambapo mtu aliyeua mtu pasipo kukusudia anaweza kukimbilia.
тогава да си определите градове, които да ви бъдат градове за прибежище, за да може да прибягва там убиецът, който убие човек по погрешка.
12 Hii miji itakuwa kwenu miji ya ukimbizi kwa mtu anayetaka kulipa kisasi. ili kwamba mtuhumiwa asije akauawa bila kwanza kusikilizwa na jamii.
Те да ви бъдат градове за избягване от сродника - мъздовъздател, за да се не убие убиецът преди да се представи на съд пред обществото.
13 Mtachagua miji sita kuwa miji ya ukimbizi.
От градовете, които ще дадете, шест да ви бъдат градове за прибягване.
14 Mtatoa miji mitatu kule ng'ambo ya Yorodani na miji mitatu huko Kanaani. Itakuwa miji ya ukimbizi.
Три града да дадете оттатък Иордан, и три града да дадете в Ханаанската земя, да бъдат градове за прибягване.
15 Kwa ajili ya watu wa Israeli, wageni, kwa, yeyote anayeishi kati yenu, hii miji sita itatumika kama miji ya ukimbizi kwa mtu yeyote atakayeua mtu bila kukusudia anaweza kukimbila.
Тия шест града да бъдат прибежище за израилтяните и за чужденеца, и за онзи, който е пришелец помежду им, за да може да прибягват там всеки, който би убил човек по погрешка.
16 Lakini kama mtuhumiwa amempiga mtu na chombo cha chuma, na huyo mtu akafa, basi kwa hakika yule mtuhumiwa ni muuaji. Kwa hiyo anatakiwa kuuawa.
Ако някой удари някого с желязно оръдие, та умре, убиец е; убиецът непременно да се умъртви.
17 Kama yule mtuhumiwa amempiga mtu kwa jiwe mkonono mwake ambalo linaweza kumwua mtu, na kama yule mtu atakufa, basi hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. Kwa hakika anatakiwa kuuawa.
Ако го е ударил с камък из ръката си, от който може да умре, та умре, убиец е; убиецът непременно да се умъртви.
18 Kama mtuhumiwa amempiga mtu kwa silaha ya mti ambayo inaweza kuua mtu na kama huyo mtu atakufa, basi kwa hakika huyo mtuhumiwa ni mwuaji. kwa hakika huyo anataikwa kuuawa.
Или ако го е ударил с дървено оръжие в ръката си, от което може да умре, та умре, убиец е; убиецът непременно да се умъртви.
19 Mwenye kulipa kisasi cha damu ndiye atakayemwua mwuaji. atkapokutana naye, anaweza kumwua.
Мъздовъздателят за кръвта сам да умъртви убиеца; когато го срещне, да го умъртви.
20 Lakini kama yule mtuhumiwa atamshinda mtu yeyote yule anayemchukia au kama atamtupia kitu, wakati akimvizia, kiasi kwamba huyo mtu akafa,
И ако го тласне от омраза, или из засада хвърли нещо върху него, та умре,
21 au kama atampiga ngumi kwa chuki na mtu huyo akafa, ndipo yule mtuhumiwa aliyempiga hakika atauawa. Yeye ni mwuaji. Yule mlipa kisasi cha damu anaweza kumwua muuaji pale atakapokutana naye.
или от омраза го удари с ръката си, та умре, тоя, който го е ударил, непременно да се умъртви убиец е; мъздовъздателят за кръвта да умъртви убиеца, когато го срещне.
22 Lakini kama mtuhumiwa atampiga mtu ghafla bila kuwa na chuki hapo awali, au kama atamtupia kitu ambacho kitampiga mtu bila kumvizia
Но ако го тласне внезапно, без да го е намразил, или хвърли нещо върху него без да го е причаквал,
23 au kama atatupa jiwe amabalo linaweza kumwua mtu bila kumwona, basi huyo mtu hakua adui yake, hakukusudia kumwumiza huyo mtu. Basi hiki ndicho kitachofanywa kama mtu huyo atakufa.
или ако, без да види, направи да падне на него някакъв камък, от който може да умре, та умре, без да му е бил неприятел, или да е искал да му стори зло,
24 Kwa tatizo la jinsi hiyo, Watu wataamua kati ya mlipa kisasi na mtuhumiwa kwa kufuata taratibu zifuatazo.
тогава обществото да отсъди между убиеца и мъздовъздателя за кръвта според тия съдби;
25 Watu watamwokoa mtuhumiwa kutoka kwenye nguvu za mlipa kisasi cha damu. Watu watamrudisha mtuhumiwa katika mji wa ukimbizi ambao hapo awali alikimbilia. Ataishi pale mpaka yule kuhani anayetumikia atakapokufa, ambaye alipakwa mafuta matakatifu.
и обществото да избави убиеца от ръката на мъздовъздателя за кръвта, и обществото да го върне в града, гдето бе прибягнал за прибежище; и той да живее в него до смъртта на първосвещеника, който е помазан със светото миро.
26 Lakini kama yule mtuhumiwa muda fulani ataenda nje ya mipaka ya mji a ukimbizi ambao alikimbilia,
Но ако убиецът излезе кога да е вън от пределите на прибежищния град, в който бе прибягнал,
27 na kama yule mlipa kisasi cha damu atamwona nje ya mipaka ya mji wake wa ukimbizi, kama atamwua huyo mtuhumiwa, mlipa kisasi cha damu hatakuwa na hatia ya mauaji hayo.
и мъздовъздателят за кръвта го намери вън от пределите на прибежищния град, и мъздовъздателят за кръвта умъртви убиеца, тоя няма да бъде виновен за кръвопролитие;
28 Hii ni kwa sababu yule mtuhumiwa alitakiwa kubaki katika mji wake wa ukimbizi mpaka kuhani mkuu atakapokufa. Baada ya kifo cha kuhani mkuu, yule mtuhumiwa atarejea kwenye nchi yake ambako kuna mali yake.
защото убиецът трябваше да стои в прибежищния си град до смъртта на първосвещеника. А след смъртта на първосвещеника нека се върне убиецът в земята, която му е притежание.
29 Hizi amri zitakuwa maagizo kwenu kwa kizazi chote mahali kote mnakoishi.
Това да ви бъде съдебен закон във всичките ви поколения по всичките ви заселища.
30 Yeyote amwuaye mtu, mwuaji atauawa, kama neno la ushahidi litakavyotolewa. Lakini ushahidi wa mtu mmoja unaweza usitoshe kusababisha mtu kuuawa.
Който убие някого, тоя убиец да се умъртви при думите на свидетели: обаче не бива само един свидетел да свидетелствува против някого, за да се умъртви.
31 Pia, msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji ambaye ana hatia ya mauti. Kwa hakika lazima auawe.
Нито да взимате някакъв откуп за живота на убиеца, който като виновен заслужава смърт; но непременно той да се умъртви.
32 Na msipokee fidia ya mtu aliyekimbilia kwenye miji ya ukimbizi. Msimruhusu kwa namna yeyote kurudi kwenye mali zake mpaka pale kuhani mkuu atakapokufa.
Да не взимате откуп и за онзи, който е прибягнал в прибежищен град, за да се върне да живее на мястото си преди смъртта на свещеника.
33 Msiiharibu nchi mnayokaa kwa namna hii, kwa kuwa damu ya mwuaji huharibu nchi. Hakuna sadaka ya upatanisho inayoweza kufanywa kwa nchi pale damu inapomwagika juu yake, isipokuwa kwa damu ya mtu aliyeimwaga.
Така няма да оскверните земята, в която се намирате; защото кръвта, тя е, която осквернява земята; и земята не може да се очисти от кръвта, която се е проляла на нея, освен с кръвта на онзи, който я е пролял.
34 Kwa hiyo msiinajisi nchi mnayoishi kwa sababu Mimi ninaishi ndani yake. Mimi BWANA huishi kati ya watu wa Israeli.”'
Нито един от вас да не осквернява земята, в която живеете, всред която Аз обитавам; защото Аз Иеова обитавам всред израилтяните.

< Hesabu 35 >