< Hesabu 34 >

1 BWANA akanena na Musa akasema,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
2 “Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
“Israel ca rhoek te uen lamtah amih te thui pah. Nangmih Kanaan khohmuen la aka kun rhoek aw, khohmuen he tah nangmih ham Kanaan khohmuen kah rho la a rhibawn neh ha yalh bitni.
3 Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
Tuithim baengki ah Zin khosoek lamloh Edom ngong phai Edom te nangmih ham om bitni. Tuithim khorhi tah lungkaeh li a bawt lamloh khothoeng hil nangmih ham om bitni.
4 Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
Nangmih ham khorhi tah tuithim kah Akrabbim kham ah a hil vetih Zin a poeng duela om ni. Te phoeiah Kadeshbarnea tuithim lamloh a hmoi ah pawk vetih Hazaraddar a pha phoeiah Azmon la pawk ni.
5 Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
Azmon lamkah soklong khorhi te Egypt la a hil vetih a bawtnah tuipuei ah om ni.
6 Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
Khotlak kah khorhi te khaw tuipuei len hil te nangmih ham om vetih khotlak khorhi te nangmih ham khorhi la om ni.
7 Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
Tlangpuei khorhi te tuipuei len lamloh nangmih ham om vetih Hor tlang te namamih ham thuun thil uh.
8 kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
Hor tlang lamloh Lebokhamath te thuun uh lamtah khorhi hmoi te Zedad la pawk saeh.
9 Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
Te phoeiah khorhi te Ziphron la pawk vetih Hazarenan ah a bawt om ni. He tah nangmih ham tlangpuei kah khorhi la om ni.
10 Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
Khothoeng kah khorhi te Hazarenan lamloh Shepham duela nangmih ham thuun sak.
11 Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
Riblah Shepham lamkah khorhi te Ayin khothoeng ah suntla saeh lamtah khorhi aka suntla te khothoeng kah Kinnereth tuipuei kah hlaep la khoe saeh.
12 Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
Khorhi te Jordan la suntla bal saeh lamtah a bawtnah te lungkaeh li ah om saeh. He tah khohmuen kaepvai ah nangmih ham rhilung la om ni,” a ti nah.
13 Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
Te phoeiah Moses loh Israel ca rhoek te a uen tih, “BOEIPA loh koca pako neh koca rhakthuem taengah paek ham a uen vanbangla khohmuen he hmulung neh tael uh.
14 Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
A napa rhoek kah imsawn tarhing ah Reuben ca rhoek kah koca neh a napa rhoek imsawn tarhing ah Gad ca rhoek koca loh a yo uh. Amih kah rho te Manasseh koca rhakthuem a loh.
15 Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
Koca panit neh koca rhakthuem loh a rho te khothoeng ah khocuk kah Jerikho Jordan kah rhalvangan ah a doe uh coeng,” a ti nah.
16 BWANA akanena na Musa akasema,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
17 “Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
“He kah ming aka om hlang rhoi, khosoih Eleazar neh Nun capa Joshua loh nangmih ham khohmuen han tael bitni.
18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
Khoboei khaw koca pakhat lamloh khoboei pakhat tah khohmuen aka tael la lo.
19 Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
He hlang rhoek a ming tah, Judah koca lamloh Jephunneh capa Kaleb,
20 Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
Simeon ca rhoek kah koca lamloh Ammihud capa Samuel,
21 Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
Benjamin koca lamloh Khislon capa Elidad,
22 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
Dan ca rhoek koca kah khoboei Jogli capa Bukki,
23 Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
Joseph capa Manasseh ca rhoek kah koca lamloh Ephod capa khoboei Hanniel,
24 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
Ephraim ca rhoek kah koca lamloh Shiphtan capa khoboei Kemuel,
25 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
Zebulun ca rhoek kah koca lamloh Parnach capa khoboei Elizaphan,
26 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
Issakhar ca rhoek kah koca lamloh Azzan capa khoboei Azzan,
27 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
Asher ca rhoek kah koca lamloh Shelomi capa khoboei Ahihud,
28 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
Naphtali ca rhoek kah koca lamloh Ammihud capa khoboei Pedahel saeh,” a ti nah.
29 BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.
Te rhoek te Kanaan khohmuen ah Israel ca rhoek phaeng sak ham BOEIPA loh a uen.

< Hesabu 34 >