< Hesabu 33 >

1 Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
Hæ sunt mansiones filiorum Israel, qui egressi sunt de Ægypto per turmas suas in manu Moysi et Aaron,
2 Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
quas descripsit Moyses iuxta castrorum loca, quæ Domini iussione mutabant.
3 Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
Profecti igitur de Ramesse mense primo, quintadecima die mensis primi, altera die Phase filii Israel in manu excelsa videntibus cunctis Ægyptiis,
4 Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
et sepelientibus primogenitos, quos percusserat Dominus (nam et in diis eorum exercuerat ultionem)
5 Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
castrametati sunt in Soccoth.
6 Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
Et de Soccoth venerunt in Etham, quæ est in extremis finibus solitudinis.
7 Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
Inde egressi venerunt contra Phihahiroth, quæ respicit Beelsephon, et castrametati sunt ante Magdalum.
8 Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
Profectique de Phihahiroth, transierunt per medium Mare in solitudinem: et ambulantes tribus diebus per desertum Etham, castrametati sunt in Mara.
9 Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
Profectique de Mara venerunt in Elim, ubi erant duodecim fontes aquarum, et palmæ septuaginta: ibique castrametati sunt.
10 Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
Sed et inde egressi, fixerunt tentoria super Mare Rubrum. Profectique de Mari Rubro,
11 Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
castrametati sunt in deserto Sin.
12 Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
Unde egressi, venerunt in Daphca.
13 Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
Profectique de Daphca, castrametati sunt in Alus.
14 Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
Egressique de Alus, fixere tentoria in Raphidim, ubi populo defuit aqua ad bibendum.
15 Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
Profectique de Raphidim, castrametati sunt in deserto Sinai.
16 Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
Sed et de solitudine Sinai egressi, venerunt ad sepulchra concupiscentiæ.
17 Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
Profectique de sepulchris concupiscentiæ, castrametati sunt in Haseroth.
18 Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
Et de Haseroth venerunt in Rethma.
19 Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
Profectique de Rethma, castrametati sunt in Remmomphares.
20 Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
Unde egressi venerunt in Lebna.
21 Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
De Lebna castrametati sunt in Ressa.
22 Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
Egressique de Ressa, venerunt in Ceelatha.
23 Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
Unde profecti castrametati sunt in monte Sepher.
24 Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
Egressi de monte Sepher, venerunt in Arada.
25 Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
Inde proficiscentes, castrametati sunt in Maceloth.
26 Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
Profectique de Maceloth, venerunt in Thahath.
27 Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
De Thahath castrametati sunt in Thare,
28 Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
Unde egressi, fixere tentoria in Methca.
29 Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
Et de Methca castrametati sunt in Hesmona.
30 Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
Profectique de Hesmona, venerunt in Moseroth.
31 Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
Et de Moseroth castrametati sunt in Beneiaacan.
32 Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
Profectique de Beneiaacan, venerunt in montem Gadgad.
33 Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
Unde profecti, castrametati sunt in Ietebatha.
34 Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
Et de Ietebatha venerunt in Hebrona.
35 Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
Egressique de Hebrona, castrametati sunt in Asiongaber.
36 Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
Inde profecti, venerunt in desertum Sin, hæc est Cades.
37 Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
Egressique de Cades, castrametati sunt in monte Hor, in extremis finibus Terræ Edom.
38 Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
Ascenditque Aaron sacerdos in montem Hor iubente Domino: et ibi mortuus est anno quadragesimo egressionis filiorum Israel ex Ægypto, mense quinto, prima die mensis,
39 Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
cum esset annorum centum viginti trium.
40 Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
Audivitque Chananæus rex Arad, qui habitabat ad meridiem, in Terram Chanaan venisse filios Israel.
41 Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
Et profecti de monte Hor, castrametati sunt in Salmona.
42 Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
Unde egressi, venerunt in Phunon.
43 Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
Profectique de Phunon, castrametati sunt in Oboth.
44 Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
Et de Oboth, venerunt in Iieabarim, quæ est in finibus Moabitarum.
45 Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
Profectique de Iieabarim, fixere tentoria in Dibongad.
46 Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
Unde egressi, castrametati sunt in Helmondeblathaim.
47 Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
Egressique de Helmondeblathaim, venerunt ad montes Abarim contra Nabo.
48 Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
Profectique de montibus Abarim, transierunt ad campestria Moab, supra Iordanem contra Iericho.
49 Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
Ibique castrametati sunt de Bethsimoth usque ad Abelsatim in planioribus locis Moabitarum,
50 Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
ubi locutus est Dominus ad Moysen:
51 “Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
Præcipe filiis Israel, et dic ad eos: Quando transieritis Iordanem, intrantes Terram Chanaan,
52 ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
disperdite cunctos habitatores Terræ illius: confringite titulos, et statuas comminuite, atque omnia excelsa vastate,
53 Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
mundantes terram, et habitantes in ea. Ego enim dedi vobis illam in possessionem,
54 Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
quam dividetis vobis sorte. Pluribus dabitis latiorem, et paucis angustiorem. Singulis ut sors ceciderit, ita tribuetur hereditas. Per tribus et familias possessio dividetur.
55 Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
Sin autem nolueritis interficere habitatores Terræ: qui remanserint, erunt vobis quasi clavi in oculis, et lanceæ in lateribus, et adversabuntur vobis in Terra habitationis vestræ:
56 Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”
et quidquid illis cogitaveram facere, vobis faciam.

< Hesabu 33 >