< Hesabu 32 >

1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
Çok sayıda hayvanı olan Rubenliler'le Gadlılar Yazer ve Gilat topraklarının hayvanlar için uygun bir yer olduğunu gördüler.
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
Musa'yla Kâhin Elazar'a ve topluluğun önderlerine giderek, “RAB'bin yardımıyla İsrail halkının ele geçirdiği Atarot, Divon, Yazer, Nimra, Heşbon, Elale, Sevam, Nevo, Beon kentlerini içeren bölge hayvanlar için uygun bir yer” dediler, “Kullarınızın da hayvanları var.
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
Bizden hoşnut kaldıysanız, bu ülkeyi mülk olarak bize verin ki, Şeria Irmağı'nın karşı yakasına geçmek zorunda kalmayalım.”
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
Musa, “İsrailli kardeşleriniz savaşa giderken siz burada mı kalacaksınız?” diye karşılık verdi,
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
“RAB'bin kendilerine vereceği ülkeye giden İsrailliler'in neden cesaretini kırıyorsunuz?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Ülkeyi araştırsınlar diye Kadeş-Barnea'dan gönderdiğim babalarınız da aynı şeyi yaptılar.
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
Eşkol Vadisi'ne kadar gidip ülkeyi gördükten sonra, RAB'bin kendilerine vereceği ülkeye gitmemeleri için İsrailliler'in gözünü korkuttular.
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
O gün RAB öfkelenerek şöyle ant içti:
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
‘Madem bütün yürekleriyle ardımca yürümediler, Mısır'dan çıkanlardan yirmi ve daha yukarı yaştakilerin hiçbiri İbrahim'e, İshak'a, Yakup'a ant içerek söz verdiğim ülkeyi görmeyecek.
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
Kenaz soyundan Yefunne oğlu Kalev'le Nun oğlu Yeşu'dan başkası orayı görmeyecek. Çünkü onlar bütün yürekleriyle ardımca yürüdüler.’
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
İsrailliler'e öfkelenen RAB, gözünde kötülük yapan o kuşak büsbütün yok oluncaya dek kırk yıl onları çölde dolaştırdı.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
“İşte, ey günahkârlar soyu, babalarınızın yerine siz geçtiniz ve RAB'bin İsrail'e daha çok öfkelenmesine neden oluyorsunuz.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
Eğer O'nun ardınca yürümekten vazgeçerseniz, bütün bu halkı yine çölde bırakacak; siz de bu halkın yok olmasına neden olacaksınız.”
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
Gadlılar'la Rubenliler Musa'ya yaklaşıp, “Burada hayvanlarımız için ağıllar yapmamıza, çocuklarımız için yeniden kentler kurmamıza izin ver” dediler,
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
“Kendimiz de hemen silahlanıp İsrailliler'i kendilerinin olacak ülkeye götürünceye dek onlara öncülük edeceğiz. Ülke halkı yüzünden çocuklarımız surlu kentlerde yaşayacak.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
Her İsrailli mülküne kavuşmadan evlerimize dönmeyeceğiz.
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
Şeria Irmağı'nın karşı yakasında onlarla birlikte mülk almayacağız, çünkü bizim payımız Şeria Irmağı'nın doğu yakasına düştü.”
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
Musa şöyle yanıtladı: “Bu söylediklerinizi yapar, RAB'bin önünde savaşa gitmek üzere silahlanıp
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
RAB düşmanlarını kovuncaya dek hepiniz O'nun önünde Şeria Irmağı'nın karşı yakasına silahlı olarak geçerseniz,
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
ülke ele geçirildiğinde dönebilir, RAB'be ve İsrail'e karşı yükümlülüğünüzden özgür olursunuz. RAB'bin önünde bu topraklar sizin olacaktır.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
“Ama söylediklerinizi yapmazsanız, RAB'be karşı günah işlemiş olursunuz; günahınızın cezasını çekeceğinizi bilmelisiniz.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Çocuklarınız için yeniden kentler kurun, davarlarınız için ağıllar yapın. Yeter ki, verdiğiniz sözü yerine getirin.”
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
Gadlılar'la Rubenliler, “Efendimiz, bize buyurduğun gibi yapacağız” diye yanıtladılar,
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
“Çoluk çocuğumuz, sığırlarımızla öbür hayvanlarımız burada, Gilat kentlerinde kalacak.
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
Ama buyurduğun gibi, silahlanmış olan herkes RAB'bin önünde savaşmak üzere karşı yakaya geçecek.”
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
Musa Gadlılar'la Rubenliler hakkında Kâhin Elazar'a, Nun oğlu Yeşu'ya ve İsrail oymaklarının aile başlarına buyruk verdi.
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
Şöyle dedi: “Gadlılar'la Rubenliler'den silahlanmış olan herkes RAB'bin önünde sizinle birlikte Şeria Irmağı'nın karşı yakasına geçerse, ülkeyi de ele geçirirseniz, Gilat bölgesini miras olarak onlara vereceksiniz.
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
Ama silahlanmış olarak sizinle ırmağın karşı yakasına geçmezlerse, Kenan ülkesinde sizinle miras alacaklar.”
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
Gadlılar'la Rubenliler, “RAB'bin bize buyurduğunu yapacağız” dediler,
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
“Silahlanmış olarak RAB'bin önünde Kenan ülkesine gideceğiz. Ama alacağımız mülk Şeria Irmağı'nın doğu yakasında olacak.”
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
Böylece Musa Gadlılar'la Rubenliler'e ve Yusuf oğlu Manaşşe oymağının yarısına Amorlular'ın Kralı Sihon'un ülkesiyle Başan Kralı Og'un ülkesini ve çevrelerindeki topraklarla kentleri verdi.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
Gadlılar surlu Divon, Atarot, Aroer, Atrot-Şofan, Yazer, Yogboha, Beytnimra ve Beytharan kentlerini yeniden kurdular, davarları için ağıllar yaptılar.
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
Rubenliler Heşbon, Elale, Kiryatayim, Nevo, Baal-Meon –bu son iki ad değiştirildi– ve Sivma kentlerini yeniden kurdular. Kurdukları kentlere yeni adlar verdiler.
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Manaşşe oğlu Makir'in soyundan gelenler gidip Gilat'ı ele geçirerek, orada yaşayan Amorlular'ı kovdular.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
Böylece Musa Gilat'ı Manaşşe oğlu Makir'in soyundan gelenlere verdi; onlar da oraya yerleştiler.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
Manaşşe soyundan Yair gidip Amorlular'ın yerleşim birimlerini ele geçirdi ve bunlara Havvot-Yair adını verdi.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
Novah da Kenat'la çevresindeki köyleri ele geçirerek oraya kendi adını verdi.

< Hesabu 32 >