< Hesabu 32 >

1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
Rubens barn och Gads barn hade ganska mycken boskap; och de sågo det landet Jaeser och Gilead, att det var beqvämt rum till att föda boskap.
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
Så kommo de, och talade till Mose, och till Presten Eleazar, och till Förstarna i menighetene:
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
Det landet Ataroth, Dibon, Jaeser, Nimra, Hesbon, Eleale, Sebam, Nebo och Beon,
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
Som Herren slagit hade för Israels menighet, är beqvämt till boskap, och vi dine tjenare hafve boskap;
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
Och sade ytterligare: Hafve vi funnit nåde för dig, så gif dinom tjenarom detta landet till eget; och så fare vi intet öfver Jordanen.
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
Mose sade till dem: Skulle edra bröder draga i strid, och I skullen blifva här?
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
Hvi omvänden I Israels barnas hjerta, att de icke skola draga utöfver, uti det land, som Herren dem gifva skall?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Alltså gjorde ock edra fäder, då jag sände dem ifrå KadesBarnea, till att skåda landet;
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
Och då de voro komne ditupp, allt intill den bäcken Escol, och sågo landet, omvände de Israels barnas hjerta, så att de icke ville in uti landet, som Herren dem gifva ville.
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
Och Herrans vrede förgrymmade sig på den tiden, och han svor, och sade:
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
Detta folket, som utur Egypten draget är, ifrå tjugu år och deröfver, skola ju icke se det landet, som jag Abraham, Isaac och Jacob svorit hafver; derföre, att de mig icke troliga efterföljt hafva;
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
Undantagnom Caleb, Jephunne son, den Kenisiten, och Josua, Nuns son; ty de hafva Herranom troliga efterföljt.
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
Så förgrymmade sig Herrans vrede öfver Israel, och lät fara dem hit och dit i öknene i fyratio år, intilldess en ände vardt på allt det slägtet, som syndat hade emot Herran.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
Och si, I ären inträdde uti edra fäders stad, att syndarena skola vara desto flere, och att I också Herrans vrede och grymhet ännu föröka skullen emot Israel.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
Förty om I vänden eder ifrå honom, så varder han ock ännu länger låtandes eder blifva i öknene, och så förderfven I allt detta folket.
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
Då gingo de fram, och sade: Vi vilje allenast bygga här fägårdar för vår boskap, och städer för vår barn;
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
Men vi vilje väpna oss, och gå framför Israels barn, intilldess vi före dem till deras rum; vår barn skola blifva uti de fasta städer för landsens inbyggares skull.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
Vi vilje icke vända hemåt, intilldess Israels barn intaga hvar sitt arf;
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
Ty vi vilje intet ärfva med dem på hinsidan Jordan; utan vårt arfvegods må vara på denna sidone Jordan österut.
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
Mose sade till dem: När I det göra viljen, att I rusten eder till strid för Herranom;
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
Så drager öfver Jordan för Herranom, hvilken som helst ibland eder väpnader är, tilldess I utdrifven hans fiendar ifrå hans ansigte;
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
Och landet blifver undergifvet för Herranom; sedan skolen I vända om, och oskyldige vara för Herranom, och för Israel; och skolen så hafva detta landet till eget för Herranom.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
Men om I det icke göra viljen, si, så varden I syndande emot Herran, och varden edra synder förnimmande, då de begripa eder.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Så bygger nu städer för edor barn, och fägårdar för edor boskap; och görer som I sagt hafven.
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
Gads barn och Rubens barn sade till Mose: Dine tjenare skola göra såsom min herre budit hafver.
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
Vår barn, hustrur, håfvor, och all vår boskap skola blifva uti Gileads städer.
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
Men vi dine tjenare vilje alle väpnade draga i stridena för Herranom, såsom min herre sagt hafver.
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
Då böd Mose för deras skull Prestenom Eleazar, och Josua, Nuns son, och de öfversta fäderna i Israels barnas slägter;
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
Och sade till dem: Om Gads barn och Rubens barn draga öfver Jordan med eder, alle väpnade till strid för Herranom, och landet blifver eder allt undergifvet; så gifver dem det landet Gilead till eget;
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
Men draga de icke med eder väpnade, så skola de ärfva med eder i Canaans lande.
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
Gads barn och Rubens barn svarade, och sade: Såsom Herren talat hafver till dina tjenare, så vilje vi göra.
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
Vi vilje draga väpnade för Herranom in uti Canaans land, och besitta vårt arfvegods på desso sidone Jordan.
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
Så gaf Mose Gads barnom, och Rubens barnom, och den halfva slägtene Manasse, Josephs sons, Sihons rike, de Amoreers Konungs, och Ogs rike, Konungens i Basan, landet och städerna i alla gränsor, deromkring.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
Då byggde Gads barn Dibon, Ataroth, Aroer,
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
Atroth, Sophan, Jaeser, Jogbeha,
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
Bethnimra och Betharan, bevarada städer och fägårdar.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
Rubens barn byggde Hesbon, Eleale, Kiriathaim,
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
Nebo, BaalMeon; och förvände namnen; och Sibma; och gåfvo de städer namn, som de byggde.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Och Machirs barn, Manasse sons, drogo till Gilead, och vunno den, och fördrefvo de Amoreer, som derinne voro.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
Då gaf Mose Machir, Manasse sone, Gilead; och han bodde deruti.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
Men Jair, Manasse son, drog bort, och vann deras byar, och kallade dem HavothJair.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
Nobah drog åstad, och vann Kenath med dess döttrar, och kallade dem Nobah efter sitt namn.

< Hesabu 32 >