< Hesabu 32 >

1 Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo.
Forsothe the sones of Ruben and of Gad hadden many beestis, and catel with out noumbre was to hem, in werk beestis. And whanne thei hadden seyn Jazer and Galaad, couenable londis to beestis to be fed,
2 Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema,
thei camen to Moyses and Eleazar, preest, and to the princes of the multitude, and seiden,
3 “Hii ndiyo orodha ya maeneo ambayo tumeyatembelea: Diboni, Jazeri, Nimraha, Heshibonni, Ellealehi, Sebamu, Nebo, na Beoni.
Astaroth, and Dibon, and Jacer, and Nemra, Esebon, and Eleale, and Sabam,
4 Haya ni maeneo ambayo BWANA aliyachukua mbele ya watu wa Israeli, na maeneo mazuri kwa ajili ya mifugo. Sisi watumishi wako tuna mifugo mingi sana.
and Nebo, and Beon, the lond which the Lord smoot in the siyt of the sones of Israel, is of moost plenteuous cuntrey to the pasture of beestis; and we thi seruauntis han ful many beestis;
5 Wakasema kuwa, “Kama tutapata kibali mbele ya macho yako, tunaomba ardhi hii tupewe, sisi watumishi wako, kuwa urithi. Usituvushe ng'ambo ya Yorodani.”
and we preyen, if we han founde grace bifor thee, that thou yyue to vs thi seruauntis that cuntrey in to possessioun, and make not vs to passe Jordan.
6 Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa?
To whiche Moises answeride, Whether youre britheren schulen go to batel, and ye schulen sitte here?
7 Kwa nini kuwafish moyo watu wa Israeli wasivuke kwenda kwenye nchi ambayo BWANA amewapa?
Whi peruerten ye the soulis of Israel, that thei doren not passe in to the place, which the Lord schal yyue to hem?
8 Baba zenu walifanya hivyo nilipowatuma kutoka Kadeshi Banea kwenda kuipeleleza ile nchi.
Whether youre fadris diden not so, whanne Y sente fro Cades Barne to aspie the lond,
9 Walienda mpaka kwenye bonde la Eskoli. Waliiona ile ardhi kisha wakawafisha moyo watu wa Israeli kwa hiyo wakagoma kuingia kwenye nchi ambayo BWANA alikuwa amewapa.
and whanne thei camen to the valey of Clustre, whanne al the cuntrey was cumpassid, thei peruertiden the herte of the sones of Israel, that thei entriden not in to the coostis, whiche the Lord yaf to hem.
10 Siku hiyo hasira ya BWANA iliwaka. Akaapa akisema,
And the Lord was wrooth, and swoor,
11 'Kwa hakika hakuna mtu aliyetoka Misri, kuanzia wa umri wa miaka ishirini na zaidi ambao wataiona nchi ambao niliwaapia Ibrahimu, Isaka, na Yakobo, kwa sababu hawakunifuata mimi kwa ukamilifu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni.
seiynge, Thes men that stieden fro Egipt, fro twenti yeer and aboue, schulen not se the lond which Y bihiyte vndur an ooth to Abraham, Isaac, and Jacob, and nolden sue me,
12 Ni Kalebu na Joshua tu ndio walionifuata kwa ukamilifu.'
outakun Caleph, Cenezei, the sone of Jephone, and Josue, the sone of Nun; these tweyne filliden my wille.
13 Kwa hiyo hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israei. Akawafanya wazunguke zunguke jangwani kwa miaka arobaini mpaka kile kizazi kilichofanya maovu mbele za macho yake kilipoteketea.
And the Lord was wrooth ayens Israel, and ledde hym aboute the deseert bi fourti yeer, til al the generacioun was wastid, that hadde do yuel in the `siyt of the Lord.
14 Tazama, mmetokea katika nafasi za baba zenu, kama watu wengine wenye dhambi zaidi, ili kuongeza hasira ya BWANA kwa Israeli.
And Moyses seide, Lo! ye encressyngis, and nurreis, `ether nurschid children, of synful men, han ryse for youre fadris, that ye schulden encreesse the strong veniaunce of the Lord ayens Israel.
15 Kama hamtamfuata, ataiacha Israeli jangwani na mtakuwa mmewateketeza watu hawa wote.
That if ye nylen sue the Lord, in `the wildirnesse he schal forsake the puple, and ye schulen be cause of the deeth of alle men.
16 Kwa hiyo wakaja karibu na Musa wakamwambia, “Turuhusu tujenga hapa uzio kwa ajili ya ng'ombe zetu na miji hapa kwa ajili ya familia zetu.
And thei neiyiden nyy, and seiden, We schulen make foldis of scheep, and the stablis of beestis, and we schulen make strengthid citees to oure litle children.
17 Hata hivyo, sisi wenyewe tutajipanga kijeshi kwenda na jeshi la Israeli mpaka tumewaongoza kupata maeneo yao. Lakini familia zetu zitakuwa kwenye miji ya maboma kwa ssbabu ya watu wengine ambao bado wanaishi katika nchi hii.
Forsothe we vs silf schulen be armed `to defence, and schulen be gird `with armeris to asailyng, and schulen go to batel bifor the sones of Israel, til we bryngen hem in to her places; oure litle children and what euer thing we moun haue, schulen be in strengthid cytees, for the tresouns of the dwelleris.
18 Hatutarudi kwenye familia zetu mpaka kila mmoja watu wa Israeli apate urithi wake.
We schulen not turne ayen in to oure housis, til the sones of Israel welden her eritage;
19 Sisi hatutachukua urithi wa ardhi pamoja nao kule ng'ambo ya Yorodani, kwa sababu urithi wetu uko hapa upande wa mashariki mwa Yorodani.”
and we schulen not axe ony thing ouer Jordan, for we han now oure possessioun in the eest coost therof.
20 Kwa hiyo Musa akawajibu, “Kama mtafanya mnachokisema, kama mtajipanga wenyewe mbele za BWANA kwenda vitani,
To whiche Moises seide, If ye doen that, that ye biheten, be ye maad redi, and go ye to batel bifor the Lord;
21 basi kila mmoja wa wanajeshi wenu lazima avuke Yorodani mbele za BWANA, mpaka atakapowafukuza maadui zake kutoka mbele zake
and ech man fiytere be armed, and passe Jordan, til the Lord distrye hise enemyes,
22 na nchi itawaliwe na Israeli mbele zake. Kisha mtaweza kurudi. Hamtakuwa na hatia mbele za BWANA na mbele ya Israeli. Hii nchi itakuwa miliki yenu mbele za BWANA.
and al the lond be maad suget to hym; thanne ye schulen be giltles anentis God, and anentis Israel, and ye schulen holde the cuntreys, whiche ye wolen, bifor the Lord.
23 Bali kama hamtafnya hivyo, tazama, mtakuwa mmefanya dhambi mbele ya BWANA. Mwe na hakika kuwa dhambi yenu itaonekana
But if ye doon not that, that ye seien, it is not doute to ony man, that ne ye synnen ayens God; and wite ye, that youre synne schal take you.
24 wazi. Jengeni miji kwa ajili ya familia zenu na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; kisha fanyeni kile mlichokisema.”
Therfor bilde ye citees to youre litle children, and foldis and stablis to scheep, and to beestis; and fille ye that, that ye bihiyten.
25 Wale wana wa Gadi na Reubeni wakamwambia Musa, wakisema, “Watumishi wako wtafanya kama vile wewe, bwana wetu, unavyotuamuru.
And the sones of Gad and of Ruben seiden to Moises, We ben thi seruauntis; we schulen do that, that oure lord comaundith.
26 Watoto wetu, wake zetu, makundi yetu, na wanyama wetu wote watakaa huko kwenye miji ya Gileadi.
We schulen leeue oure litle children, and wymmen, and scheep, and beestis in the citees of Galaad;
27 Hata hivyo, sisi watumishi wako, tutavuka kwenda ng'ambo mbele za BWANA kupigana, kila mtu ambaye yuko tayari kwa vita, kama vile wewe, bwana wetu, unavyosema.”
forsothe alle we thi seruauntis schulen go redi to batel, as thou, lord, spekist.
28 Kwa hiyo Musa akawapa maelekezo yayowahusu kwa Eliazari kuhani, kwa Joshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa koo kufuata jamaa zao katika makabila ya wana wa Israeli.
Therfor Moyses comaundide to Eleazar, preest, and to Josue, the sone of Nun, and to the princes of meynees, bi the lynagis of Israel, and seide to hem,
29 Musa akawaambia, “Kama uzao wa Reubeni na Gadi watavuka ng'ambo ya Yorodani pamoja nanyi, kila mwanamume anayetakiwa kuwa vitani mbele za BWANA, na kama nchi mtaitawala mbele zenu, ndipo mtakapowapa eneo la Gileadi kuwa miliki yao.
If the sones of Gad, and the sones of Ruben goen alle armed with you, to batel bifor the Lord, and the lond be maad suget to you, yyue ye to hem Galaad in to possessioun;
30 Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa na silaha zao, basi mtawapa urithi wao katika nchi ya Kanaani.”
but if thei nylen passe with you in to the lond of Chanaan, take thei places to dwelle among you.
31 Kwas hiyo wana wa uzao wa Gadi na wa Reubeni wakamjibu wakisema, Kama vile BWANA alivyosema nasi, sisi watumwa wako, hiki ndicho tutakachokifanya.
And the sones of Gad and the sones of Ruben answeriden, As the Lord spak to hise seruauntis, so we schulen do;
32 Tutavuka tukiwa na silaha zetu mbele za BWANA kuingia katika nchi ya Kanaani, lakini urithi wetu utabaki utabaki upande huu wa Yorodani.”
we schulen go armed bifor the Lord, in to the lond of Chanaan, and we knowlechen, that we han take now possessioun ouer Jordan.
33 Kwa hiyo uzao wa Gadi na Reubeni, na pia nusu ya kabila la Manase mwana wa Yusufu, Musa akawapa ufalme wa Sihoni, mfalme wa Waamori, na wa Ogi, mafalme wa Bashani, Aliwapa hiyo nchi, na kuwagawia miji yake yote pamoja na mipaka yake, miji yote ya nchi inayowazunguka.
And so Moises yaf to the sones of Gad and of Ruben, and to half the lynage of Manasses, sone of Joseph, the rewme of Seon, kyng of Ammorey, and the rewme of Og, kyng of Basan, and `the lond of hem, with her citees, bi cumpas.
34 Wale wa uzao wa Gadi wakaijenga Diboni,
Therfor the sones of Gad bildiden Dibon, and Astaroth, and Aroer,
35 Atarothi, Aroeri, Atrothi, Jazeri, Jogbehaha, Bethi Nimraha,
and Roth-Sophan, and Jazer, and Jebaa,
36 na Bethi Harani kuwa miji iliyo na maboma na mazizi ya kondoo wao.
and Beeth-Nemra, and Betharan, strengid citees; and foldis to her beestis.
37 Wale wa uzao wa Reubeni wakaijenga Heshiboni. Elealehi, Kiriathaimu,
Forsothe the sones of Ruben bildiden Esebon, and Eleale, and Cariathiarym, and Nabo,
38 Nebo, Baali Meoni - baadaye waliyabadili majina yao, na Sibimaha.
and Balmeon, whanne the names weren turned, and thei bildiden Sabama; and puttiden names to the citees, whiche thei hadden bildid.
39 Wale wa uzao wa Machiri mwana wa Manase walienda Gileadi na kuutwaa kutoka kwa Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Forsothe the sones of Machir, sone of Manasses, yeden in to Galaad, and distrieden it, and killiden Ammorei, enhabitere therof.
40 Kisha Musa akaitoa Gileadi kwa Machiri mwana wa Manase, na watu wake wakaishi humo.
Therfor Moises yaf the lond of Galaad to Machir, sone of Manasses, which Machir dwellide ther ynne.
41 Jairi mwana wa Manase alienda kuiteka miji yake na kuiita Havothi Jairi.
Forsothe Jair, the sone of Manasses, yede, and occupiede the townes therof, whiche he clepide Anochiair, that is, the townes of Jair.
42 Nobaha alienda kuitieka Kenathi na vijiji vyake, na akauita kwa jina lake Nobaha.
Also Nobe yede, and took Canath, with hise townes, and clepide it, bi his name, Nobe.

< Hesabu 32 >