< Hesabu 31 >

1 BWANA alinena na Musa na kumwambia,
Yavé habló a Moisés:
2 “Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanya Waisraeli. Baada ya kufanya hivyo utakufa na kukusanyika na watu wako.”
Toma venganza completa de los hijos de Israel contra los madianitas. Después serás reunido a tu pueblo.
3 Kwa hiyo Musa akawaambia watu. Akasema, “andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita ili kwamba wakawapige Wamidiani na kubeba kiapo cha BWANA.
Entonces Moisés habló al pueblo: Armen a algunos hombres de entre ustedes para la guerra, y vayan contra Madián para ejecutar la venganza de Yavé contra Madián.
4 Kwa kila kabila la Israeli watatuma askari elfu moja kwa ajili ya vita.”
Enviarán a la guerra 1.000 de cada tribu, de todas las tribus de los hijos de Israel.
5 Kwa hiyo kati ya wanaume maelfu elfu wa Israeli, wanaume elfu moja walitolewa kwa ajili ya vita, jumla ya wanaume elfu kumi na mbili.
Así fueron dados de los millares de Israel 1.000 de cada tribu, 12.000 en pie de guerra.
6 Kisha Musa akawatuma kwenda vitani, elfu moja toka kila kabila pamoja na Finehasi mwana wa Eliazari kuhanai, wakiwa na vitu kutoka mahali patakatifu wakiwa na matarumbeta kwa ajili ya ishara za sauti.
Moisés los envió a la guerra, 1.000 de cada tribu. Finees, hijo del sacerdote Eleazar, fue con ellos, con los objetos sagrados y con las trompetas en su mano para la alarma.
7 Wakapigana na Midiani, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Wakamwua kila mwanaume.
Como Yavé ordenó a Moisés, hicieron guerra contra Madián y mataron a todos los varones.
8 Wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliowaua ni: Evi, Rekimu, Zuri, Huri, na Reba, hawa walaikuwa ndio waflme watano wa Midiani. pia walimwua Balaamu mwana wa Beori, kwa upanga.
Entre el resto de los muertos, mataron también a los reyes de Madián: Evi, Requem, Zur, Hur y Reba, cinco reyes de Madián. También mataron a espada a Balaam, hijo de Beor.
9 Jeshi la Israeli likawachukua mateka wanawake wa Midiani, watoto wao, mifugo yao yote, kondoo wao na bidhaa zao zote. walivichukua hivi kama mateka.
Los hijos de Israel tomaron cautivas a las mujeres de los madianitas, a sus pequeños, todo su ganado y todos sus rebaños. Arrebataron toda su riqueza.
10 Waliichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote.
Incendiaron también todas sus ciudades, aldeas y campamentos.
11 Walichukua vitu vyote na wafungwa, watu na wanyama.
Tomaron todo el despojo y todo el botín, tanto de personas como de animales.
12 Wakawaleta mateka, nyara, na wakakamata vitu wakavileta kwa Musa, na Eliazari kuhani, na kwa jamii ya watu wa Israeli. Wakavileta hivi vitu kambini katika uwanda wa Moabu, kule Yorodani karibu na Yeriko.
Llevaron a los cautivos, el botín y el despojo a Moisés, al sacerdote Eleazar y a la congregación de los hijos de Israel, al campamento en las llanuras de Moab que están junto al Jordán, frente a Jericó.
13 Musa, Eliazari kuhani, pamoja na viongozi wa watu wakaenda kukutana nao nje ya kambi.
Entonces Moisés, el sacerdote Eleazar y todos los jefes de la congregación salieron a recibirlos en las afueras del campamento.
14 Lakini Musa alikuwa na hasira dhidi ya viongozi wa jeshi, Wale majemedari wa maelfu na maakida wa mamia, waliotoka kupigana.
Moisés se enojó contra los oficiales del ejército, los jefes de miles y jefes de cientos que regresaron del servicio en la guerra.
15 Musa akawaambia, “Je, mmeawaacha wanawake wote kuishi?
Moisés les preguntó: ¿Dejaron con vida a todas las mujeres?
16 Tazama, wanawake hawa ndio waliosababisha watu wa Israeli, kwa kupitia ushauri wa Balaamu, kufanya dhambi dhidi ya BWANA huko Peori, wakati ile tauni iliposambaa kwa watu wa Mungu.
¡Miren! Ellas fueron las que, por consejo de Balaam, indujeron a los hijos de Israel a apostatar de Yavé en el asunto de Peor, por lo cual hubo mortandad en la congregación de Yavé.
17 Sasa basi, ueni kila mwanaume kuanzia wadogo, na ueni kila mwanamke aliyelala na mwanamume.
Ahora, pues, maten a todos los varones entre los niños de ellas y maten a toda mujer que tuvo contacto carnal con varón.
18 Lakini chukueni wale mabinti wadogo ambao hawajalala na mwanamume.
Pero dejen con vida a todas las jóvenes que no tuvieron contacto carnal con varón.
19 Mtaweka kambi nje na kambi za Israeli kwa muda wa siku saba. Ninyi wote ambao mmeua watu au ambao mmegusa maiti yeyote mtajitakasa wenyewe katika siku ya tatu na katika siku ya saba - ninyi na mateka wenu.
En cuanto a ustedes, permanezcan fuera del campamento durante siete días. Todos los que mataron a una persona, y los que tocaron un cadáver, se purificarán en el tercero y el séptimo día, tanto ustedes como sus prisioneros.
20 Na mtayatakasa mavazi yenu yote, na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama, na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao.”
Purifiquen también toda ropa, todo objeto de piel, toda obra de pelo de cabra y todo utensilio de madera.
21 Eliazarai kuahani akawaambia wale wanajeshi waliokuwa wameenda vitani, “Hii ni amri ya sheria ambayo BWANA alimpa Musa:
El sacerdote Eleazar dijo a los hombres del ejército que llegaron de la guerra: Este es el estatuto de la Ley que Yavé mandó a Moisés:
22 Zile dhahabu, fedha, vyuma, bati, risasi,
Solo el oro, la plata, el bronce, el hierro, el estaño y el plomo,
23 na kila kitu knaweza kuhhimili moto, mtakiweka katka moto, navyo vitakuwa safi. Nakisha mtavitakasa vitu hivyo na maji ya farakano. Na vitu vyote ambavyo haviwezi kupita katika moto, mtavitakasa kwa maji hayo.
todo lo que resiste el fuego, lo harán pasar por fuego y será puro. Sin embargo será purificado con las aguas para limpiar la impureza. Todo lo que no resista el fuego, lo harán pasar por el agua.
24 Na mtazifua nguao zenu katika siku ya saba, ndipo mtakapokuwa safi. Baada ya hapo mnaweza kurudi kwenye kambi za Israeli.”
El día séptimo lavarán sus ropas y quedarán puros. Después podrán entrar en el campamento.
25 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
También Yavé habló a Moisés:
26 “Vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara, wote watu na wanyama. Wewe, Eliazari kuhani, na viongozi wa watu kufuata koo
Tú, el sacerdote Eleazar y los jefes de las casas paternas de la congregación hagan el recuento del botín que se capturó, tanto de personas como de animales.
27 watavigawa hivi vitu katika mkundi mawili. Mvigawe kwa wanajeshi walioenda kupigana na kwa watu wote.
Dividirás por mitad el botín entre los combatientes que fueron a la guerra y toda la congregación.
28 Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani. Hii kodi itakuwa moja kati ya mia tano, katika watu, ng'ombe, punda, kondoo, au mbuzi.
Como tributo de los guerreros que salieron a la batalla, toma tú un tributo para Yavé, que será de uno por cada 500, tanto de las personas como del ganado vacuno, los asnos, y las ovejas.
29 Uichukue hii kodi kutoka katika nusu yao na umpe Eliazari kuhani kwa ajili ya sadaka itakayotolewa kwangu.
Toma la mitad de ello y la darás al sacerdote Eleazar como ofrenda alzada para Yavé.
30 Pia kutoka katika nusu ya watu wa Israeli, utachukua moja kati ya hamsini -kutoka vitu, ng'ombe, punda, na mbuzi. Uvitoe hivi kwa Walawi wanaotumika katika masikani yangu.”
Y de la mitad que corresponde a los hijos de Israel tomarás uno de cada 50, tanto de personas como del ganado vacuno, los asnos, las ovejas y todo animal, y los entregarás a los levitas encargados del servicio del Tabernáculo de Yavé.
31 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakafanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
Moisés y el sacerdote Eleazar hicieron como Yavé ordenó a Moisés.
32 Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
El resto del botín que quedó como despojo de los guerreros fue: 675.000 ovejas,
33 maksai elfu sabini na mbili,
72.000 cabezas de ganado vacuno,
34 punda elfu sitini na moja,
y 71.000 asnos.
35 na wanawake elfu thelathini na mbili ambao walikuwa hawajalala na mwanamume yeyote.
En cuanto a personas, de mujeres que no tuvieron contacto carnal con varón, fueron en total 32.000.
36 Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
La mitad o porción de los que salieron a la guerra, fue: 336.500 ovejas,
37 BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
y el tributo de ovejas para Yavé fue de 675.
38 Maksai walikuwa elfu thelathini na sita ambayo kodi ya BWANA ilikuwa sabini na mbili.
Ganado vacuno: 36.000, y su tributo para Yavé, 72.
39 Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
Asnos: 30.500, y su tributo para Yavé, 61.
40 Watu walikuwa wanawake elfu kumi na sita ambao kodi ya BWANA ilikuwa thelathini na mbili.
Personas: 16.000, y su tributo para Yavé, 32 personas.
41 Musa aliichukua ile kodi ambayo ilitakiwa kuwekwa sadaka kwa BWANA. Akampatia Eliazari kuhani, kama BWANA alivyomwamuru Musa.
Entonces Moisés entregó el tributo al sacerdote Eleazar como ofrenda alzada a Yavé, como Yavé ordenó a Moisés.
42 Ile nusu ya watu wa Israeli ambayo Musa alikuwa ameichukua toka kwa wanawjeshi waliokuwa wameenda vitani -
En cuanto a la mitad correspondiente a los hijos de Israel, que Moisés separó de la de los guerreros,
43 ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
esa mitad de la congregación fue: 336.500 ovejas,
44 maksai elfu thelathini na sita,
ganado vacuno: 36.000,
45 punda 30, 500,
asnos: 30.500,
46 na wanawake elfu kumi na sita.
y personas: 16.000.
47 Kutoka kwenye nusu ya watu wa Israeli, Musa alichukua moja katika hamsini, wote watu na wanyama. Aliwapa Walawi ambao huitumikia masikani ya BWANA, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
De la mitad que correspondía a los hijos de Israel, Moisés tomó uno de cada 50, así de las personas como de los animales, y los entregó a los levitas que tenían la custodia del Tabernáculo de Yavé, como Yavé ordenó a Moisés.
48 Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa.
Entonces los jefes de las unidades del ejército, comandantes de miles y comandantes de cientos acudieron a Moisés,
49 Wakamwambia, “watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.
y le dijeron: Tus esclavos contaron los hombres de combate que están bajo nuestro mando, y nadie de nosotros falta.
50 Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA.”
Así presentamos una ofrenda ante Yavé, cada uno lo que ganó en objetos de oro: brazaletes, pulseras, anillos, pendientes y collares, para hacer sacrificio que apacigua por nosotros delante de Yavé.
51 Musa na Eliazari kuhani akapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.
Moisés y el sacerdote Eleazar recibieron de ellos el oro y toda clase de objetos labrados.
52 Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
Todo el oro de la ofrenda alzada que los jefes de miles y los de cientos hicieron elevar ante Yavé, fue de 184 kilogramos
53 Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake.
que los hombres del ejército saquearon, cada uno para él.
54 Musa na Eliazari kuhani wakazichukuazile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia. Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.
Moisés y el sacerdote Eleazar tomaron el oro de los jefes de miles y de los jefes de cientos, y lo llevaron al Tabernáculo de Reunión como memorial de los hijos de Israel delante de Yavé.

< Hesabu 31 >