< Hesabu 29 >

1 Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
A hla rhih dongkah hlasae a hnin khat vaengah nangmih ham hmuencim kah tingtunnah om saeh. Nangmih ham tamlung khohnin la a om dongah thohtatnah kah bitat boeih tah saii boeh.
2 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
BOEIPA taengah hmuehmuei botui la saelhung ca vaito pumat, tutal pumat, tu kumkhat ca a hmabuet pumrhih neh hmueihhlutnah saii uh.
3 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
Amih kah khocang tah situi neh a thoek vaidam saeh lamtah vaito pumat dongah doh thum, tutal pumat dongah doh nit saeh.
4 na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
Tuca pumrhih ham khaw tuca pumat dongah doh at saeh.
5 Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Nangmih ham aka dawth la maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
6 Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
Hlasae kah hmueihhlutnah neh a khocang voel ah, sainoek hmueihhlutnah neh a khocang khaw, a tuisi khaw a laitloeknah bangla BOEIPA taengah hmaihlutnah hmuehmuei botui la om saeh.
7 Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
A hla rhih dongkah a hnin rha vaengah nangmih ham a cim tingtunnah om. Te vaengah na hinglu te phaep uh lamtah bitat boeih te saii uh boeh.
8 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
BOEIPA taengah hmueihhlutnah te hmuehmuei botui kuen uh lamtah saelhung vaito ca pumat, tutal pumat, tu kum khat ca a hmabuet pumrhih te namamih ham om saeh.
9 Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
Situi neh a thoek a khocang vaidam he vaito pumat dongah doh thum, tutal pumat dongah doh nit saeh.
10 na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
Tuca pumrhih ham khaw tu pumat dongah doh at, doh at saeh.
11 Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Maae ca pumat te boirhaem la om saeh. Tholh dawthnah boirhaem voel ah sainoek hmueihhlutnah neh a khocang khaw a tuisi khaw om saeh.
12 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
Hla rhih dongkah hnin hlai nga vaengah nangmih ham hmuencim kah tingtunnah om saeh. Thohtatnah bitat boeih tah saii uh boel lamtah BOEIPA ham hnin rhih khuiah khotue te lam uh.
13 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
BOEIPA taengah hmuehmuei botui hmaihlutnah ham hmueihhlutnah a khuen uh vaengkah, saelhung ca vaito pum hlai thum khaw, tutal rhoi khaw, tu kum khat ca hlai li te khaw hmabuet la om saeh.
14 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
Situi neh a thoek a khocang vaidam khaw, vaito pum hlai thum vaengah vaito pumat dongah doh thum, tutal pumnit vaengah tutal pumat dongah doh nit saeh.
15 na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
Tuca hlai li vaengah tuca pumat dongah doh at doh at saeh.
16 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
Maae ca pumat te boirhaem la om saeh. Sainoek hmueihhlutnah voel ah a khocang neh a tuisi om saeh.
17 Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
A hnin bae dongah saelhung ca vaitotal pum hlai nit, tutal pumnit, tu kum khat ca a hmabuet pum hlai li saeh.
18 Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
19 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
Sainoek hmueihhlutnah, a khocang neh a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
20 Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
A hnin thum dongah vaito pum hlai khat, tutal pumnit, tu kum at ca a hmabuet pum hlai li saeh.
21 Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
22 Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Sainoek hmueihhlutnah neh a khocang, a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
23 Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
A hnin li dongah vaito pumrha, tutal pumnit, tu kum at ca a hmabuet pum hlai li saeh.
24 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
25 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
Sainoek hmueihhlutnah, a khocang neh a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
26 Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
A hnin nga dongah vaito pumko, tutal pumnit, tu kum at ca a hmabuet pum hlai li saeh.
27 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
28 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
Sainoek hmueihhlutnah, a khocang neh a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
29 Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
A hnin rhuk dongah vaito pumrhet, tutal pumnit, tu kum at ca a hmabuet pum hlai li saeh.
30 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
31 Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Sainoek hmueihhlutnah, a khocang neh a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
32 Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
A hnin rhih dongah vaito pumrhih, tutal pumnit, tu kum at ca a hmabuet pum hlai li saeh.
33 Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te a laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
34 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
Sainoek hmueihhlutnah, a khocang neh a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
35 Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
A hnin rhet dongah tah nangmih ham pahong la om vetih thohtatnah bitat boeih tah saii uh boeh.
36 Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Hmueihhlutnah dongah vaitotal pumat, tutal pumat, tu kum khat ca a hmabuet pumrhih te BOEIPA taengah hmaihlutnah hmuehmuei botui la khuen uh.
37 Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
A khocang neh a tuisi te laitloeknah bangla amah tarhing ah vaitotal rhoek ham khaw, tutal rhoek ham khaw, tuca rhoek ham khaw om pah saeh.
38 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Sainoek hmueihhlutnah, a khocang neh a tuisi voel ah maae ca pumat te boirhaem la om saeh.
39 Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
Na olcaeng neh na kothoh lamkah a voel ah, na hmueihhlutnah neh na khocang ham khaw, na tuisi neh na rhoepnah ham khaw nangmih kah khoning vaengah BOEIPA ham saii uh,” a ti nah.
40 Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.
Te dongah BOEIPA loh Moses taengah a cungkuem a uen bangla Moses loh Israel ca rhoek taengah a thui pah.

< Hesabu 29 >