< Hesabu 28 >

1 BWANA akanena na Musa akamwambia,
Och HERREN talade till Mose och sade:
2 “Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
Bjud Israels barn och säg till dem: Mina offer, det som är min spis av mina eldsoffer, en välbehaglig lukt för mig, dem skolen I akta på, så att I offren dem åt mig på bestämd tid.
3 Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
Och säg till dem: Detta är vad I skolen offra åt HERREN såsom eldsoffer: två årsgamla felfria lamm till brännoffer för var dag beständigt.
4 Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
Det ena lammet skall du offra om morgonen, och det andra lammet skall du offra vid aftontiden,
5 Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
och såsom spisoffer en tiondedels efa fint mjöl, begjutet med en fjärdedels hin olja av stötta oliver.
6 Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
Detta är det dagliga brännoffret, som offrades på Sinai berg, till en välbehaglig lukt, ett eldsoffer åt HERREN.
7 Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
Och såsom drickoffer därtill skall du offra en fjärdedels hin, till det första lammet; i helgedomen skall drickoffer av stark dryck utgjutas åt HERREN.
8 Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
Det andra lammet skall du offra vid aftontiden; med likadant spisoffer och drickoffer som om morgonen skall du offra det: ett eldsoffer till en välbehaglig lukt för HERREN.
9 Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
Men på sabbatsdagen skall du offra två årsgamla felfria lamm, så ock två tiondedels efa fint mjöl, begjutet med olja, såsom spisoffer, samt tillhörande drickoffer.
10 Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
Detta är sabbatsbrännoffret, som skall offras var sabbat, jämte det dagliga brännoffret med tillhörande drickoffer.
11 Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Och på edra nymånadsdagar skolen I offra till brännoffer åt HERREN två ungtjurar och en vädur och sju årsgamla felfria lamm,
12 Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
så ock tre tiondedels efa fint mjöl, begjutet med olja, såsom spisoffer till var tjur, två tiondedels efa fint mjöl, begjutet med olja, såsom spisoffer till väduren,
13 Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
och en tiondedels efa fint mjöl begjutet med olja, såsom spisoffer till vart lamm: ett brännoffer till en välbehaglig lukt, ett eldsoffer åt HERREN.
14 Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
Och de tillhörande drickoffren skola utgöras av en halv hin vin till var tjur och en tredjedels hin till väduren och en fjärdedels hin till vart lamm. Detta är nymånadsbrännoffret, som skall offras i var och en av årets månader.
15 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
Tillika skolen I offra en bock till syndoffer åt HERREN; den skall offras jämte det dagliga brännoffret med tillhörande drickoffer.
16 Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
Och i första månaden, på fjortonde dagen i månaden, är HERRENS påsk.
17 Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
Och på femtonde dagen i samma månad är högtid; då skall man äta osyrat bröd, i sju dagar.
18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
På den första dagen skall man hålla en helig sammankomst; ingen arbetssyssla skolen I då göra.
19 Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
Och såsom eldsoffer, såsom brännoffer åt HERREN, skolen I offra två ungtjurar och en vädur och sju årsgamla lamm; felfria skola de vara.
20 Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
Och såsom spisoffer därtill skolen I offra fint mjöl, begjutet med olja; tre tiondedels efa skolen I offra till var ungtjur och två tiondedels efa till väduren;
21 Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
en tiondedels efa skall du offra till vart och ett av de sju lammen;
22 na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
tillika skolen I offra en syndoffersbock till att bringa försoning för eder.
23 Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
Förutom morgonens brännoffer, som utgör det dagliga brännoffret, skolen I offra detta.
24 Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
Likadana offer skolen I offra var dag i sju dagar: en eldsoffersspis, till en välbehaglig lukt för HERREN. Jämte det dagliga brännoffret skall detta offras, med tillhörande drickoffer.
25 Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
Och på den sjunde dagen skolen I hålla en helig sammankomst; ingen arbetssyssla skolen I då göra.
26 Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
Och på förstlingsdagen, då I bären fram ett offer av den nya grödan åt HERREN, vid eder veckohögtid, skolen I hålla en helig sammankomst; ingen arbetssyssla skolen I då göra.
27 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
Såsom brännoffer till en välbehaglig lukt för HERREN skolen I då offra två ungtjurar, en vädur, sju årsgamla lamm,
28 Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
och såsom spisoffer därtill fint mjöl, begjutet med olja: tre tiondedels efa till var tjur, två tiondedels efa till väduren,
29 Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
en tiondedels efa till vart och ett av de sju lammen;
30 na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
tillika skolen I offra en bock till att bringa försoning för eder.
31 Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”
Förutom det dagliga brännoffret med tillhörande spisoffer skolen I offra detta -- felfria skola djuren vara -- och därjämte tillhörande drickoffer.

< Hesabu 28 >