< Hesabu 28 >

1 BWANA akanena na Musa akamwambia,
Господ говори още на Моисея, казвайки:
2 “Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
Заповядай на израилтяните, като им кажеш: Внимавайте да Ми принасяте на определеното им време Моите приноси, хляба Ми за благоуханна чрез огън жертва на Мене.
3 Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
И кажи им: Ето приносът чрез огън, който ще принасяте Господу: две едногодишни агнета на ден, без недостатък, за всегдашно всеизгаряне.
4 Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
Едно агне да принасяш заран, а другото агне да принасяш вечер;
5 Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
а за хлебен принос една десета от ефа чисто брашно, смесено с четвърт ин първоток дървено масло.
6 Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
Това е всегдашно всеизгаряне, определено на Синайската планина, за благоуханна жертва чрез огън Господу.
7 Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
И възлиянието му да бъде четвърт ин за едното агне; в светилището да възливаш силно питие за възлияние Господу.
8 Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
А другото агне да принасяш привечер: както утринния хлебен принос, и както възлиянието му, така да го принасяш за благоуханна жертва чрез огън Господу.
9 Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
А в съботен ден да принасяте две две едногодишни агнета, без недостатък, и две десети от ефа чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос с възлиянието му.
10 Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
Това е всеизгарянето за всяка събота, освен всегдашното всеизгаряне с възлиянието му.
11 Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
В новолунията си да принасяте за всеизгаряне Господу два юнеца, един овен, седем едногодишни агнета без недостатък;
12 Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
и за всеки юнец три десети от ефа чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос; и за единия овен две десети от ефа чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос;
13 Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
и за всяко агне по една десета от ефа чисто брашно, смесено с дървено масло за хлебен принос. Това е всеизгаряне, за благоуханна жертва чрез огън Господу.
14 Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
И възлиянието им да бъде вино, половин ин за юнеца, една трета от ин за овена и четвърт ин за агнето. Това е всеизгарянето за един месец през месеците на годината.
15 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
И освен всегдашното всеизгаряне да се принася Господу един козел в принос за грях, с възлиянието му.
16 Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
На четиринадесетия ден от първия месец е Господната пасха.
17 Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
А на петнадесетия ден от тоя месец е празник; седем дена да се яде безквасен хляб.
18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
На първия ден да има свето събрание, и да не работите никаква слугинска работа;
19 Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
а да принесете жертва чрез огън, за всеизгаряне Господу: два юнеца, един овен и седем едногодишни агнета, които да бъдат без недостатък.
20 Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
А хлебният им принос да бъде от чисто брашно, смесено с дървено масло; три десети от ефа да принесете за юнеца; две десети за овена;
21 Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
и по една десета от ефа да принесеш за всяко от седемте агнета;
22 na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
и един козел в принос за грях, за да се извърши умилостивение за вас.
23 Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
Тия да принесете в прибавка на утринното всеизгаряне, което е всегдашно всеизгаряне.
24 Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
Така да принасяте храната всеки ден през седемте дена за благоуханна жертва чрез огън Господу: това да се принася с възлиянието му, в прибавка на всегдашното всеизгаряне.
25 Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
А на седмия ден да имате свето събрание и да не работите никаква слугинска работа.
26 Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
Също и в деня на първите плодове, когато принасяте нов хлебен принос Господу през празника ви на седмиците, да имате своето събрание, и да не работите никаква слугинска работа.
27 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
И за благоухание Господу да принесете във всеизгаряне два юнеца, един овен и седем едногодишни агнета.
28 Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
А хлебният им принос да бъде от чисто брашно, смесено с дървено масло, - три десети от ефа за всеки юнец, две десети за единия овен,
29 Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
и по една десета за всяко от седемте агнета;
30 na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
и един козел, за да се извърши умилостивение за вас.
31 Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”
Тия да принесете (без недостатък да бъдат) с възлиянието им, в прибавка на всегдашното всеизгаряне с хлебния му принос.

< Hesabu 28 >