< Hesabu 24 >

1 Balaamu alipooa kuwa ilimpendeza BWANA kubariki Israeli, hakwenda, kama hapo awali, kwa kutumia uganga, badala yake akatazama jangwani.
Israel yoethen paek te BOEIPA mikhmuh ah hoeikhang tila Balaam loh a hmuh dongah lung te doe ham voei vai khaw cet pawh. Te dongah a maelhmai te khosoek la a khueh.
2 Akayainua macho yake na kumwona Isreli akiwa kwenye kambi, kila mmoja kwa kabila yake, na Roho wa Mungu akamjia.
Balaam loh a mik a huel vaengah Israel te amah koca la kho a sak tih Pathen Mueihla a soah a om te a hmuh.
3 Akapokea huu unabii na kusema, “Balaamu mwana wa Beori anataka kusema, yeye ambaye macho yake yemefunuliwa sana.
Te vaengah a thuidoeknah te a poh tih Beor capa Balaam olphong neh mikdai aka then hlang kah olphong te a thui.
4 Huongea na kusikia maneno ya Mungu. Huona maono toka kwa Mwenyezi, ambaye mbele zake humwinamia na macho yake yakiwa yamefumbuliwa.
Pathen ol aka ya kah olphong tah Tlungthang mikhlam aka tla te a hmuh tih a mik a dai.
5 Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli!
Jakob nang kah dap neh Israel nang kah dungtlungim tah metlam a hoeikhang.
6 Wamesambaa kama bonde, kama bustani zilizo pembezoni mwa mto, Kama miti ya mishubiri iliyopandwa na BWANA, ni kama mfano wa mielezi pembezoni mwa maji.
Soklong bangla langdai, tuiva kah dum bangla, BOEIPA kah a phung thingul bangla, tui taengkah lamphai bangla,
7 Maji yanatiririka katika ndoo zao, na mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri. Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi, na ufalme wao utaheshimiwa.
A tuiduen lamloh tui sih tih a tiingan khaw tui yet dongah om. A manghai Agag lakah a pomsang vetih a ram a phueih ni.
8 Mungu anamtoa Misri, na nguvu kama za nyati. Atawameza mataifa wanaopigana nao. Ataivunja mifupa yao katika vipande vipande. atawapiga kwa mishale yake.
Pathen loh anih te Egypt lamloh amah taengah cung ki bangla a loh. A rhal namtom te a ngaeh coeng dongah a rhuh te a cilh vetih a thaltang neh a phop ni.
9 Ananyatia kama simba mume, na kamaa simba jike. Ni nani atakayejaribu kumsumbua? Kila mmoja anayembariki na abarikiwe; na kila mmoja anayemlaani na alaaniwe.”
Sathueng neh sathuengnu bangla koisu tih yalh phoeiah tah anih aka haeng te unim? Nang loh yoethen na paek te a yoethen tih nang loh thae na phoei khaw thaephoei a yook.
10 Hasira za Balaki zikawaka dhidi ya Balaamu naye akaipiga mikono yake kwa pamoja. Balaki akamwambia Balaamu, “Nilkuita ili uwalaani maadui zangu, Lakini tazama, umewabariki mara tatu.
Te vaengah Balak kah thintoek te Balaam taengah sai tih a kut te a paeng. Balak loh Balaam te, “Ka thunkha rhoek te tap ham ni nang kang khue dae he rhoek kah yoethen la voei thum yoethen na paek coeng he.
11 Kwa hiyo ondoka uende nyumbani uniache sasa hivi. Nilisema ningekupa zawadi kubwa sana, lakini BWANA amekuzuilia kupata zawadi.”
Te dongah namah hmuen la nang te yong laeh. Nang te kan thangpom rhoe kan thangpom eh ka ti coeng dae BOEIPA loh nang te thangpomnah lamkah n'hloh coeng ne,” a ti nah.
12 Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, “Niliwaambia wale wajumbe ulionitumia,
Te dongah Balaam loh Balak te, “Kai taengla na puencawn nan tueih taengah khaw ka thui moenih a?
13 'Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, sitafanya zaidi ya maneno ya BWANA kwa lolote zuri au baya, au kwa chochote ambacho ningetaka kufanya. Ninaweza kusema kile tu ambacho BWANA ananiambia kusema,' Je, sikuwaambia haya?
Kai he Balak loh cak neh sui a im kah a bae la m'pae cakhaw BOEIPA olka te poe hamla ka coeng moenih. Then cakhaw thae cakhaw ngai ham om. Ka lungbuei lamlong pataeng BOEIPA kah a thui te ni ka thui eh ka ti.
14 Kwa hiyo sasa, tazama, nitarudi kwa watu wangu. Lakini kwanza nikuonye kile ambacho hawa watu watawafanyia watu wako katika siku zijazo.”
Kai tah ka pilnam taengla ka cet pawn ni he. Halo lamtah hmailong tue ah he pilnam loh na pilnam soah a saii ham te nang kang uen eh,” a ti nah.
15 Balaamu alianza unabii huu. Akisema, “Balaamu mwana wa Beori anasema, Mtu yule aliyefumbuliwa macho yake.
Te phoeiah a thuidoeknah a dangrhoek tih Beor capa Balaam kah olphong neh mik aka dai hlang kah olphong te a thui.
16 Huu ni unabii wa mtu alisikiaye neno la Mungu, aliye na maarifa toka kwake Yeye aliye juu, aliye na maono kutoka kwa Mwenyezi, Yeye ambaye humpigia magoti macho yakiwa yamefumbuliwa.
“Pathen kah olthui aka ya tih Khohni mingnah aka ming, tlungthang mikhlam aka hmu tih a bakop doela mik aka dai kah olphong loh,
17 Ninamwona, lakini hayuko hapa sasa. Ninamtazama, lakini siyo karibu. Nyota itatokea katika Yakobo, na fimbp ya enzi itatokea katika Israeli. Naye atawapigapiga viongozi wa Moabu na kuwaharibu wa uzao wa Sethi
Amah te ka hmuh dae tahae ah moenih, amah te ka mae dae yoei pawh. Jakob lamkah aisi thoeng vetih Israel lamloh mancai thoo ni. Moab baengki a phop pah vetih Seth koca te boeih a phuet ni.
18 Ndipo Edomu atakapokuwa miliki ya Israeli, na Seiri pia itakuwa milki yao, maadui wa Israeli, ambao Israeli atawashinda kwa nguvu zake.
Edom kah a pang om vetih a thunkha Seir kah a pang om cakhaw Israel loh thadueng neh a saii ni.
19 Kutoka kwa Yakobo atatoka mfalme ambaye utawala wake naye atawaangamiza waliosalia katika mji.”
Jakob lamloh a taemrhai vetih khopuei kah rhaengnaeng te a milh sak ni.
20 Kisha Balaamu akamtazama Amaleki na akaanza kutoa unabii wake. Alisema, “Amaleki alikuwa mkuu katika mataifa, lakini mwisho wake utakuwa uharibifu.”
Amalek te a hmuh vaengah a thuidoeknah a poh tih, ‘Amalek tah namtom kah a tongnah la om dae a hmailong tah pocinah la om’.
21 Kisha Balaamu akawatazama Wakeni na akaanza kutoa unabii wake. Akasema, “Mahali unapoishi pana usalama, na viiota vyake viko kwenye miamba.
Keni te a hmuh vaengah a thuidoeknah te a poh tih, ‘Na ngolhmuen khangmai tih thaelpang soah bu na khueh.’
22 Lakini pamoja na hayo, Kaini ataharibiwa na Ashuru atakapowachukua mateka.”
Tedae hatah Assyria loh nang n'sol duela Kain te hlup hamla om bitni,” a ti nah.
23 Kisha Balaamu akanza unabii wake wa mwisho. Akasema, “Ole wake atakayesalia Mungu atakapoyafanya haya?
A thuidoeknah a poh tih, “Anunae Pathen loh te a saii vaengah unim aka hing ve?
24 Merikebu zitakuja toka pwani ya Kittimu; Zitaivamia Ashuru na kuiharibu Eberi, lakini wao pia wataishia kwenye uharibifu.”
Kittim lihmoi lamkah timbaw rhoek neh Assyria khaw phaep uh ni. Eber khaw a phaep uh ni. Tedae amah khaw pocinah ham ni,” a ti nah.
25 Kisha Balaamu akainuka na kuondoka. Akarudi nyumbani kwake, na Balaki naye akaondoka.
Te phoeiah Balaam te thoo tih aka cet te amah hmuen la mael. Te dongah Balak khaw amah longpuei la cet.

< Hesabu 24 >