< Hesabu 22 >

1 Watu wa Israeli wakasafiri mpaka wakaweka kambi kwenye uwanda wa Moabu karibu na Yeriko, kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule.
Tad Israēla bērni cēlās un apmetās Moaba klajumos, viņpus Jardānes, Jērikum pretī.
2 Balaki mwana wa Zippori aliona yote ambayo Israeli aliwafanyia Waamori. Moabu aliogopa sana hao watu kwa sababu walikuwa wengi sana,
Kad nu Balaks, Cipora dēls, visu redzēja, ko Israēls bija darījis Amoriešiem,
3 na Moabu alIwahofia wana wa Israeli.
Tad Moabs ļoti bijās no tiem ļaudīm, jo to bija daudz, un Moabam bija bail no Israēla bērniem.
4 Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani, “Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho na maksai hula nyasi za kondeni.” Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu.
Tāpēc Moabs sacīja uz Midijaniešu vecajiem: nu šī draudze visu apēdīs, kas mums visapkārt, itin kā vērsis apēd zāli virs zemes. Bet Balaks, Cipora dēls, bija tanī laikā Moabiešu ķēniņš.
5 Akatuma wajumbe kwenda kwa Balamu mwana wa Beori, kule Petho ambayo iko karibu na mto Frati, katika nchi ya taifa lake na watu wake. Akamwita na kumwambia, “Tazama, Kuna taifa ambalo wamekuja hapa tokea Misiri. Wanafunika uso wa dunia na sasa wananifuatia mimi.
Un tas sūtīja vēstnešus pie Bileāma, Beora dēla, uz Petoru, kas pie tās lielupes, viņa ļaužu bērnu zemē, viņu aicināt, un sacīja: redzi, tur ir ļaudis izgājuši no Ēģiptes zemes, redzi, tie apklāj zemes virsu un ir apmetušies man pretī.
6 Tafadhali naomba uje unilaanie hili taifa, kwa sababu wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwavamia na kuwafukuza watoke katika nchi yangu. Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa.”
Un nu nāc jel un nolādi man šos ļaudis, - jo tie ir stiprāki nekā es, - ka es tos varētu apkaut un izdzīt no zemes; jo es zinu, ka ko tu svētī, tas ir svētīts, un ko tu nolādi, tas ir nolādēts.
7 Kwa hiyo wazee wa Moabu na wale wa Midiani wakaondoka, pamoja nao wakachukua malipo ya uganga. Wakafika kwa Balaamu wakamwambia maneno ya Balaki.
Tad Moabiešu vecaji un Midijaniešu vecaji gāja, un zīlēšanas alga bija viņu rokā, un tie nāca pie Bileāma un runāja uz viņu Balaka vārdus.
8 Balaamu akawaambia, “Bakini hapa usiku wa leo. Kesho nitawaletea atakachoniambia BWANA.” Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakabaki na Balaamu kwa usiku huo.
Tad tas uz viņiem sacīja: paliekat šeit par nakti, tad es jums atsacīšu, kā Tas Kungs uz mani runās; un Moaba virsnieki palika pie Bileāma.
9 Mungu akaja kwa Balaamu na kumwambia, “Ni akina nani hawa waliokuja kwako?”
Un Dievs nāca pie Bileāma un sacīja: kas tie tādi ļaudis, kas pie tevis?
10 Balaamu akamjibu Mungu, “Balaki mwana wa Zippori, Mfalme wa Moabu amewatuma kwangu. Alisema,
Tad Bileāms sacīja uz Dievu: Balaks, Cipora dēls, Moabiešu ķēniņš, pie manis sūtījis
11 'Tazama hawa watu waliotoka Misri wanafunika uso wa nchi yangu. Sasa naomba uje unilaanie hawa watu. Labada nitaweza kuwa kuwashinda na kuwafukuza.'”
(Sacīdams): Redzi, ļaudis no Ēģiptes zemes ir izgājuši un apklāj zemes virsu, nāc nu, nolādi man tos, ka es pret tiem varētu karot un tos izdzīt.
12 Mungu akamjiu Balaam, “Usiambatane na hao wanaume. Na usiwalaani hawa wana wa Israeli kwa sababu wamebarikiwa.”
Tad Dievs sacīja uz Bileāmu: tev nebūs iet ar viņiem, tev nebūs šos ļaudis nolādēt, jo tie ir svētīti.
13 Balaamu akaamka asubuhi na kuwaambia wale viongozi wa Balaki, “Rudini nchini kwenu kwa sababu BWANA amenikataza kuambatana nanyi.”
Tad Bileāms cēlās rītā agri un sacīja uz Balaka lielkungiem: ejat uz savu zemi, jo Tas Kungs aizliedz un neļauj Man iet ar jums.
14 Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakaondoka na kurudi kwa Balaki. Wakamwambia, “Balaamu amekataa kuambatana nasi.”
Tad Moaba virsnieki cēlās un nāca pie Balaka un sacīja: Bileāms ir liedzies, mums iet līdz.
15 Balaki akatuma viongozi wengine waliokuwa wanaheshimiwa zaidi kuliko kundi lile la awali.
Un Balaks atkal sūtīja vēl vairāk un jo cienīgus lielkungus.
16 Wakaja kwa Balaamu na kumwambia, “Balaki mwana wa Zippori anasema hivi, 'Tafadhali hebu kitu chochote kisikuzuie kuja kwangu,
Tie nāca pie Bileāma un uz to sacīja: tā saka Balaks, Cipora dēls: lūdzams, neliedzies nākt pie manis.
17 kwa sababu nitakulipa malipo mazuri sana na kukupa heshima kubwa, nami nitakufanyia chochote utakachoniambia. Tafadhali sana uje unilaanie hawa watu.'”
Jo es tevi augsti godināšu un visu, ko tu man sacīsi, to es darīšu: tad nāc jel, nolād man šos ļaudis.
18 Balaamu akawajibu watu wa Balaki akawaambia, “Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA, Mungu wangu na kufanya pungufu au zaidi ya kile anachoniambia.
Tad Bileāms atbildēja un sacīja uz Balaka kalpiem: kaut man Balaks savu namu dotu pilnu zelta un sudraba, tomēr es nevarētu pārkāpt Tā Kunga, sava Dieva, vārdu, darīt vai mazu vai lielu lietu.
19 Sasa basi, tafadhali subirini hapa usiku wa leo pia, ili kwamba nipate kujifunza kitu zaidi ambacho BWANA ananiambia.”
Un nu paliekat jel arī šo nakti pie manis, tad es redzēšu, ko Tas Kungs atkal ar mani runās.
20 BWANA akaja kwa Balaamu usiku ule na kumwambia, “kwa kuwa hawa watu wamekuja kukuita, inuka uende nao. Lakini utafanya tu kile nitakachokuambia kufanya.”
Tad Dievs nāca pie Bileāma naktī un uz to sacīja: ja tie vīri nākuši tevi aicināt, tad celies, ej viņiem līdz, bet tikai to tev būs darīt, ko Es uz tevi runāšu.
21 Balaamu akainuka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na viongozi wa Moabu.
Tad Bileāms cēlās rītā agri un apsedloja savu ēzelieni un gāja tiem Moaba virsniekiem līdz.
22 Lakini kwa sababu alienda, hasira za Mungu zikawaka. Malaika wa BWANA akasimama barabarani kama adui wa Balaamu, aliyekuwa akimpanda yule punda. Watumishi wawili wa Balaamu walikuwa pamoja naye.
Bet Dieva bardzība iedegās, tāpēc ka viņš gāja, un Tā Kunga eņģelis nostājās uz ceļa viņam par pretinieku; un viņš jāja uz savas ēzelienes, un viņa divi puiši viņam līdz.
23 Yule punda alimwona yule malaika wa BWANA akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Yule punda akageuka na kwenda shambani. Balaamu akampiga yule punda ili arudi barabarani.
Un tā ēzeliene ieraudzīja Tā Kunga eņģeli uz ceļa stāvam, pliku zobenu rokā, un tā ēzeliene atkāpās no ceļa un gāja uz tīrumu; tad Bileāms sita to ēzelieni, viņu griezdams uz ceļu.
24 Sasa malaika wa BWANA akasimama kwenye njia nyembamba katikati ya mashamba ya mizabibu, na kushoto kwake kulikuwa na ukuta.
Bet Tā Kunga eņģelis nostājās ceļa šaurumā vīna dārzu starpā, kur abējās pusēs bija mūris.
25 Yule punda akamwona yule malaika wa BWANA tena. Akasogea zaidi ukutani na kuubana mguu wa Balaamu ukutani. Balaamu akampiga tena yule punda.
Kad nu tā ēzeliene Tā Kunga eņģeli ieraudzīja, tad tā spiedās pie mūra un piespieda Bileāma kāju pie mūra; tāpēc viņš to atkal sita.
26 Yule malaika wa BWANA akasogea mbele zaidi kwenye eneo jingine jembamba zaidi ambalo haikuwezekana kugeuka upande mwingine.
Un Tā Kunga eņģelis gāja tālāki un nostājās kādā šaurā vietā, kur nebija kur atkāpties, ne pa labo, ne pa kreiso roku.
27 Yule Punda akamwona tena yule malaika wa BWANA, akalala chini ya Balaamu. Hasira za Balaamu zikawaka, akampiga yule punda kwa fimbo yake.
Kad nu tā ēzeliene Tā Kunga eņģeli ieraudzīja, tad tā pakrita uz ceļiem apakš Bileāma, un Bileāma dusmas iedegās un viņš to ēzelieni sita ar koku.
28 Kisha BWANA akafungua kinywa cha punda na akaongea. Akamwambia Balaamu, “Nimekukosea nini kiasi kwamba umenipiga mara tatu?”
Un Tas Kungs atvēra muti tai ēzelienei un tā sacīja uz Bileāmu: ko es tev esmu darījusi, ka tu man nu trīs reizes esi sitis?
29 Balaamu akamjibu yule punda, “Ni kwa sababu umenitendea kwa ujinga. Natamani kama ningekuwa na upanga mkononi mwangu, kama ningekuwa nao, sasa hivi ningekuwa nimekuua.”
Un Bileāms sacīja uz to ēzelieni: tāpēc ka tu mani esi kaitinājusi! Kaut zobens būtu manā rokā, es tevi tagad nokautu!
30 Yule punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa? Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?” Balaamu akasema “hapana.”
Tad tā ēzeliene sacīja uz Bileāmu: vai neesmu tava ēzeliene, uz kā tu esi jājis līdz šai dienai? Vai tas bijis man ieradums tev tā darīt? Viņš sacīja: nē.
31 Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Balaamu akainamisha kichwa chake chini.
Tad Tas Kungs Bileāmam atvēra acis, ka viņš Tā Kunga eņģeļi ieraudzīja uz ceļa stāvam, pliku zobenu rokā; tāpēc viņš klanījās un nometās uz savu vaigu.
32 Yule malaika wa BWANA akamwambia, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu? Tazama, Nimekuja kama adui yako kwa sababu matendo yako kwangu yamekuwa maovu.
Tad Tā Kunga eņģelis uz viņu sacīja: kāpēc tu savu ēzelieni nu trīs reiz sitis? Raugi, es esmu izgājis tev par pretinieku, jo tavs ceļš manā priekšā ir ļauns.
33 Yule punda aliniona na akageuka kutoka kwangu mara tatu. Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu, hakika ningekuwa nimekua na yeye kumwacha hai.
Bet tā ēzeliene mani redzējusi un nu trīs reiz no manis atkāpusies, un ja viņa nebūtu atkāpusies, tiešām es tevi būtu nokāvis un viņu pametis dzīvu.
34 Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, nimetenda dhambi. Sikujua kuwa ulisimama kinyume na mimi barabarani. Kwa hiyo sasa, kama haikupendezi, Nitageuka.”
Tad Bileāms sacīja uz Tā Kunga eņģeli: es esmu grēkojis, jo es nezināju, tevi uz ceļa man pretī stāvam, un nu, ja tev nepatīk, tad es iešu atpakaļ.
35 Lakini yule malaika wa BWANA akamwambia Balaamu, “endelea na wale watu. Lakini utasema maneno nitakayokwambia tu.”Kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale vioingozi wa Balaki.
Tad Tā Kunga eņģelis sacīja uz Bileāmu: ej tiem vīriem līdz; tomēr to vien, ko es uz tevi runāšu, to tev būs runāt. Tā Bileāms gāja Balaka lielkungiem līdz.
36 Balaki aliposikia kuwa Balaamu alikuwa amekuja, alienda kukutana naye kule mjini Moabu pale Amoni, ambao uko mpakani.
Kad nu Balaks dzirdēja Bileāmu nākam, tad viņš tam izgāja pretī līdz tai Moabiešu pilsētai, kas ir Arnonas robežās, - pašā robežu malā.
37 Balaki akamwambia Balaamu, “Je, mimi sikutuma watu kukuita? Basi kwa nini hukuja kwangu? Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimike?”
Un Balaks sacīja uz Bileāmu: vai es neesmu sūtīdams pie tevis sūtījis, tevi aicināt? Kāpēc tu neesi pie manis nācis? vai tad es nespēju tevi godināt?
38 Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, “Tazama, mimi nimekuja kwako. Je mimi sina mamlaka ya kusema chochote? Mimi ninaweza kusema maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu.”
Tad Bileāms sacīja uz Balaku: redzi, es pie tevis esmu atnācis, bet vai es kautko varu runāt kā vien to vārdu, ko Dievs liks manā mutē? - To es runāšu.
39 Balaamu akaenda na Balaki, na Wakafika Kiriathi Huzothi.
Un Bileāms gāja Balakam līdz un tie nonāca Kiriat Hucotā.
40 Kisha Balaki akatoa sadaka ya maksai na kondoo na kumpatia Balaamu baadhi ya hiyo nyama na wale viongozi waliokuwa pamoja naye.
Un Balaks upurēja lielus un sīkus lopus un sūtīja Bileāmam un tiem lielkungiem, kas pie viņa bija.
41 Kesho yake asubuhi, Balaki akampeleka Balaamu mpaka juu mahali pa Baali. Kule juu Balaamu aliweza kuona sehemu tu ya kambi za Waisraeli.
Un no rīta Balaks ņēma Bileāmu un to veda uz Baāla kalniem, un no turienes šis redzēja vienu galu no tiem ļaudīm.

< Hesabu 22 >