< Hesabu 21 >

1 Aradi mfalme wa Wakanaani, aliyekuwa akiishi Negebu, aliposikia kuwa Israeli alikuwa akisafiri kwa kupitia barabara kuelekea Atharimu, akapigana dhidi ya Israeli na kujitwalia baadhi ya mateka.
Un tas Kanaānietis, Arada ķēniņš, kas dzīvoja pret dienvidiem, dzirdēja Israēli nākam pa izlūku ceļu, un kāvās pret Israēli un aizveda kādus no viņiem sagūstītus.
2 Israeli akaapa mbele ya BWANA akasema, “Kama utatupa ushindi dhidi ya hawa watu, ndipo tutakapoingamiza kabisa miji yao,”
Tad Israēls Tam Kungam apsolīja solījumu sacīdams: ja Tu šos ļaudis dosi manā rokā, tad es viņu pilsētas izdeldēšu.
3 BWANA akaisikia sautiya Israeli na kuwapa ushindi dhidi ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao. Mahali pale paliitwa Horima.
Un Tas Kungs klausīja Israēla bērnu balsij un nodeva tos Kanaāniešus, un tie šos izdeldēja ar viņu pilsētām un nosauca tās vietas vārdu Horma (izdeldēšana).
4 Wakasafiri kutoka Mlima Hori kwa barabara kuelekea bahari ya shamu wakiizunguka nchi ya Edomu. Watu walikufa moyo kwa njia hiyo.
Tad tie aizgāja no Hora kalna pa niedru jūras ceļu, ka ietu apkārt Edomiešu zemei.
5 Watu wakamnung'unikia Mungu na Musa: “Kwa nini umetutoa Misiri ili tufa katika jangwa hili? Hapa hakuna mikate, wala maji, na chakula hiki dhaifu kimetukinai.”
Un tiem ļaudīm apnika ceļā, un tie ļaudis runāja pret Dievu un pret Mozu: kāpēc jūs mūs esat izveduši no Ēģiptes zemes, ka tuksnesī mirstam? - Jo šeit nav ne maizes, ne ūdens, un mūsu dvēselei šī blēņu maize riebj.
6 Basi Mungu akatuma nyoka wa sumu kati yao. Wale nyoka wakawauma wale watu; watu wengi walikufa.
Tad Tas Kungs sūtīja dedzīgas čūskas ļaužu starpā; tās tos koda un tur nomira daudz ļaužu no Israēla.
7 Watu wakaenda kwa Musa wakamwambia, “Tumetenda dhambi kwa sababu tumemnung'unikia Mungu na wewe. Mwombe Mungu atuondolee hawa nyoka.” Kwa hiyo Musa akawaombea watu.
Tad tie ļaudis nāca pie Mozus un sacīja: mēs esam grēkojuši, runādami pret To Kungu un pret tevi; lūdz To Kungu, lai Viņš atņem tās čūskas no mums. Tad Mozus lūdza par tiem ļaudīm.
8 BWANA akamwambia Musa, “Tengeneza nyoka na umweke kwenye nguzo. Na itakuwa kila anayeumwa, akimwangalia huyo nyoka atapona,”
Un Tas Kungs sacīja uz Mozu: taisi sev vienu čūsku un uzcel to par zīmi, un notiks, ikviens, kas ir kosts un to uzlūkos, tas dzīvos.
9 Kwa hiyo Musa akatengeneza nyoka wa shaba naye akamweka juu ya nguzo. Na kila mtu alipoumwa na nyoka na kumwangalia huyo nyoka alipona.
Un Mozus taisīja vara čūsku un to uzcēla par zīmi, un notikās, ja čūska kādu bija kodusi, tad tas uzlūkoja to vara čūsku un palika dzīvs.
10 Kisha watu wa Israeli wakasafiri na kisha kuweka kambi Obothi.
Tad Israēla bērni aizgāja un apmetās Obotā.
11 Kisha wakasafiri kutoka pale na kuweka kambi Iye Abarimu katika jangwa linalokabili Moabu kuelekea upande wa mashariki.
Pēc tie aizgāja no Obota un apmetās pie Abaru kalniem tuksnesī, kas ir pret Moabu, pret rītiem.
12 Kutoka pale wakasafiri na kuweka kambi katika bonde la Zeredi.
No turienes tie aizgāja un apmetās pie Zaredas upes.
13 Kutoka pale walisafiri na kuweka kambi kwenye upande mwingine wa mto Amoni, ambao ukubwa wake unaanzia kwenye mpaka wa Waamori. Mto wa Amoni ndio unaootengeneza mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
No turienes tie aizgāja un apmetās šaipus Arnonas, kas ir tuksnesī un iztek no Amoriešu robežām; jo Arnona ir Moaba robeža, starp Moabu un Amoriešiem.
14 Ndiyo maana imeandikwa katika gombo la Kitabu cha BWANA, “Wahebu katika Sufa, na bonde la Amoni,
Tāpēc top sacīts Tā Kunga karu grāmatā: (tas Kungs karoja) pret Vahēbu viesulī un pret Arnonas upēm,
15 mtelemko wa bonde linaloelekea katika mji wa Ari na kuelekea kwenye mpaka wa Moabu,”
Un to strautu ieleju, kas griežas uz Ar pilsētu un iet gar Moaba robežām.
16 Kutoka pale wakasafiri mpaka Beeri, hapo ndipo palipo na kisima ambacho Bwana alimwambia Musa, “Wakusanye watu kwa ajili yangu ili uwape maji,”
Un no turienes tie aizgāja uz Beēru. Šī ir tā aka, par ko Tas Kungs Mozum sacīja: sapulcini tos ļaudis, tad Es tiem došu ūdeni.
17 Ndipo Israeli waipoimba wimbo huu: “enyi visima, yajazeni maji. Imbeni juu ya kisima hiki.
Tad Israēls dziedāja šo dziesmu: Verdi, aka, uzdziediet viņai!
18 Kisima ambacho viongozi wetu walichimba, kisima ambacho wenye hekima walichimba kwa fimbo ya kifalme na kwa fimbo ya kutembelea.” Kisha kutoka jangwani walitembea mpaka Matanaha.
Tu aka, ko virsnieki rakuši, ko ļaužu cienīgie izrakuši ar scepteri, ar saviem zižļiem. Pēc tie aizgāja no tuksneša uz Matanu.
19 Kutoka Matanaha walisafiri mpaka Nathalieli, na kutoka Nathalieli mpaka Bamothi,
Un no Matanas uz Naāliēli, un no Naāliēles uz Bamotu,
20 na kutoka Bamothi hadi kwenye bonde la Moabu. Hapo ndipo kilele cha Mlima Piska kinapoonekana jangwani.
Un no Bamotas uz to ieleju, kas ir Moaba laukā, pie tā augstā Pizgas kalna, kas stiepjas pret tuksnesi.
21 Kisha Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori akisema,
Tad Israēls sūtīja vēstnešus pie Sihona, Amoriešu ķēniņa, un sacīja.
22 Tunaomba tupite katika nchi yako. hatutapita katika shamba au kwenye shamba la mizabibu. Hatutakunywa maji ya visima vyako. Tutapita katika njia kuu ya mfalme mpaka tutakapopita mpaka wako.”
Ļauj man iet caur tavu zemi; mēs negriezīsimies druvās nedz vīna dārzos, mēs nedzersim ūdeni no akām; pa lielceļu iesim, tiekams būsim cauri izgājuši caur tavām robežām.
23 Lakini mfalme Sihoni hakumruhusu Israeli kupita kwenye mpaka wao. Badala yake, Sihoni akakusanya jeshi lake lote na kumvamia Isreli huko jangwani. Akaja kwa Jahazi, ambapo alipigana dhidi ya Israeli.
Bet Sihons Israēlim neļāva iet caur savām robežām, un Sihons sapulcēja visus savus ļaudis un izgāja Israēlim pretī uz tuksnesi, un nāca uz Jācu un karoja pret Israēli.
24 Israeli akalivamia jeshi la Sihoni na nchi ya upanga na kuchukua nchi yao kutoka Amon mpaka mto Jabboki, hadi kufikia nchi ya watu wa Amoni. Sasa mpaka wa watu wa Amoni ulikuwa umefungwa.
Bet Israēls viņu apkāva ar zobena asmeni un uzņēma viņa zemi no Arnonas līdz Jabokai, līdz Amona bērniem; (jo Amona bērnu robežas bija stipras).
25 Israeli akachukua miji yote ya Waamori na akaishi ndani yake, pamoja na Heshiboni na vijiji vyake wote.
Tā Israēls uzņēma visas šīs pilsētas, un Israēls dzīvoja visās Amoriešu pilsētās, Hešbonā un visos viņu ciemos.
26 Heshiboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye hapo awali alipigana dhidi ya mfalme wa kwanza wa Moabu. Sihoni alikuwa ameteka ardhi yake yote toka mipaka yake mpaka mto wa Amoni.
Jo Hešbona bija Sihona, Amoriešu ķēniņa, pilsēta, un šis bija karojis pret Moabiešu iepriekšējo ķēniņu un bija paņēmis visu viņa zemi no viņa rokām līdz Arnonai.
27 Hiyo ndiyo sababu wala ambao huongea kwa Mitahali husema, “Njoni Heshboni. Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena.
Tāpēc dziesminieki saka: nāciet Hešbonā, uztaisīt un apstiprināt Sihona pilsētu.
28 Moto uliwaka toka Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni ambao uliiteketeza Ari ya Moabu, na wenyeji wa miji ya juu ya Amoni.
Jo uguns ir izgājis no Hešbonas un liesma no Sihona pilsētas; tā ir aprijusi Aru Moabā un Arnonas kalnu kungus.
29 Ole wako, Moabu! umepotea, enyi watu wa Chemoshi. Amewafanya watu wake kuwa wakimbizi na binti zake kuwa wafungwa wa Sihoni mfalme wa Waamori.
Vai tev, Moab! Kamosa ļaudis, jūs ejat bojā! Viņa dēli spiesti bēgt un viņa meitas cietumā vestas no Sihona, Amoriešu ķēniņa.
30 Lakini tumempiga Sihoni. Tumeiangsmiza Heshibon mpaka Diboni. Tumewaharibu wote mpaka Nofa, ambayo inafika mpaka Madeba.”
Un viņa spožums ir iznīcis no Hešbonas līdz Dibonai, mēs to esam izdeldējuši līdz Nofai, kas stiepjas līdz Medbai.
31 Kwa hiyo Israeli akaanza kuishi katika nchi ya Waamori,
Tā Israēls dzīvoja Amoriešu zemē.
32 Kisha Musa akatuma watu kwenda kuingalia Yaziri. Waliviteka vijiji vyake na kuwafukuza Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Un Mozus sūtīja izlūkot Jaēzeru, un tie uzvarēja viņas valstis un izdzina tos Amoriešus, kas tur bija.
33 Kisha wakageuka na kuelekea njia inayoelekea Bashani. Ogu mfalme wa Bashani akatofautiana nao, yeye na Jeshi lake lote, ili apigane nao kule Ederei.
Un tie griezās un gāja uz augšu pa Basanas ceļu, un Ogs, Basanas ķēniņš, viņiem izgāja pretī, viņš un visi viņa ļaudis, kauties pie Edrejas.
34 Kisha BWANA akasema na Musa, “Msimwogope, kwa sababu nimewapeni ushindi dhidi yake, Jeshi lake lote na nchi yake. Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akiishi Heshiboni.”
Tad Tas Kungs sacīja uz Mozu: nebīsties no viņa, jo viņu un visus viņa ļaudis un visu viņa zemi Es esmu devis tavā rokā, un tev būs tam darīt, itin kā tu esi darījis Sihonam, Amoriešu ķēniņam, kas dzīvoja Hešbonā.
35 Kwa hiyo wakamuua, na wanawe, na jeshi lake lote, mpaka wote wakaishi na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai. Kisha wakaichukua nchi yake.
Un tie viņu apkāva un viņa dēlus un visus viņa ļaudis, tā ka neviens neatlikās, un uzņēma viņa zemi.

< Hesabu 21 >