< Hesabu 2 >

1 BWANA akasema na Musa na Haruni tena. Akamwambia,
Locutusque est Dominus ad Moysen et Aaron, dicens:
2 Kila mtu atapanga kulingana na mahali pake, pamoja na mabango ya baba zao. Watapanga kuzunguka hema ya kukutania kila upande.
Singuli per turmas, signa, atque vexilla, et domos cognationum suarum castrametabuntur filii Israel, per gyrum tabernaculi fœderis.
3 Wale watakaopanga mashariki mwa hema ya kukutania, mahali ambapo juu huonekana wakati wa jua kuchomoza, ni makambi ya Yuda nao watakuwa katika kundi lao. Nashoni mwana wa Aminadabu ni kiongozi wa watu wa Yuda.
Ad Orientem Iudas figet tentoria per turmas exercitus sui: eritque princeps filiorum eius Nahasson filius Aminadab.
4 Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
Et omnis de stirpe eius summa pugnantium, septuaginta quattuor millia sexcenti.
5 Kabila la Isakari litapanga mbele ya Yuda. Nethaneli mwana wa Zuari ataliongoza jeshi la Isakari.
Iuxta eum castrametati sunt de tribu Issachar, quorum princeps fuit Nathanael filius Suar.
6 Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
Et omnis numerus pugnatorum eius quinquaginta quattuor millia quadringenti.
7 Kabila la Zabuloni litapanga mbele ya Isakari. Eliabu mwana wa Heloni ndiye atakayeliongoza jeshi la Zabuloni.
In tribu Zabulon princeps fuit Eliab filius Helon.
8 Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
Omnis de stirpe eius exercitus pugnatorum, quinquaginta septem millia quadringenti.
9 Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
Universi qui in castris Iudæ annumerati sunt, fuerunt centum octoginta sex millia quadringenti: et per turmas suas primi egredientur.
10 Upande wa kusini kutakuwa na kambi ya Reubeni katika kundi lao. Kiongozi wa kundi la Reubeni ni Elizuri mwana wa Shedeuri.
In castris filiorum Ruben ad meridianam plagam erit princeps Elisur filius Sedeur:
11 Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
et cunctus exercitus pugnatorum eius qui numerati sunt, quadraginta sex millia quingenti.
12 Simeoni atapanga mbele ya Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Zurishadai.
Iuxta eum castrametati sunt de tribu Simeon: quorum princeps fuit Salamiel filius Surisaddai.
13 Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
Et cunctus exercitus pugnatorum eius, qui numerati sunt, quinquaginta novem millia trecenti.
14 Kabila la Gadi litafuatia. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deuli.
In tribu Gad princeps fuit Eliasaph filius Duel.
15 Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
Et cunctus exercitus pugnatorum eius, qui numerati sunt, quadraginta quinque millia sexcenti quinquaginta.
16 Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
Omnes qui recensiti sunt in castris Ruben, centum quinquaginta millia et mille quadringenti quinquaginta per turmas suas: in secundo loco proficiscentur.
17 Kifuatacho, ni hema la kukutania kuondoka kambini pamoja na Walawi likiwa katikati ya kambi zote. Lazima waondoke hapo kambini kwa mpangilio huo kama walivyoingia kwenye kambi. Kila mwanamume lazima awe mahali pake kwa kufuata bango lake.
Levabitur autem tabernaculum testimonii per officia Levitarum et turmas eorum. Quomodo erigetur, ita et deponetur. Singuli per loca et ordines suos proficiscentur.
18 Migawanyiko ya kambi y Efraimu kufuata mahali pake. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.
Ad occidentalem plagam erunt castra filiorum Ephraim, quorum princeps fuit Elisama filius Ammiud.
19 Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
Cunctus exercitus pugnatorum eius, qui numerati sunt, quadraginta millia quingenti.
20 Baada ya hao lilifuata kabila la Manase. Kiongozi wa Manase ni Gamaliel mwana wa Pedazuri.
Et cum eis tribus filiorum Manasse, quorum princeps fuit Gamaliel filius Phadassur.
21 Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200.
Cunctusque exercitus pugnatorum eius, qui numerati sunt, triginta duo millia ducenti.
22 Kabila litakalofuata ni la Benjamini. Kiongozi wa Benjamini n Abidani mwana wa Gidioni.
In tribu filiorum Beniamin princeps fuit Abidan filius Gedeonis.
23 Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
Et cunctus exercitus pugnatorum eius, qui recensiti sunt, triginta quinque millia quadringenti.
24 Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka.
Omnes qui numerati sunt in castris Ephraim, centum octo millia centum per turmas suas: tertii proficiscentur.
25 Upande wa kaskazini kutakuwa na kambi ya kikosi cha Dani. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.
Ad Aquilonis partem castrametati sunt filii Dan: quorum princeps fuit Ahiezer filius Ammisaddai.
26 Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
Cunctus exercitus pugnatorum eius, qui numerati sunt, sexaginta duo millia septingenti.
27 Watu wa kabila ya Asheri watapanga mbele ya Dani. Kiongozi wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okirani.
Iuxta eum fixere tentoria de tribu Aser: quorum princeps fuit Phegiel filius Ochran.
28 Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
Cunctus exercitus pugnatorum eius, qui numerati sunt, quadraginta millia et mille quingenti.
29 Kabila la Naftali ndilo litakalofuatia. Kiongozi wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.
De tribu filiorum Nephthali princeps fuit Ahira filius Enan.
30 Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
Cunctus exercitus pugnatorum eius, quinquaginta tria millia quadringenti.
31 Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
Omnes, qui numerati sunt in castris Dan, fuerunt centum quinquaginta septem millia sexcenti: et novissimi proficiscentur.
32 Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
Hic numerus filiorum Israel, per domos cognationum suarum et turmas divisi exercitus, sexcenta tria millia quingenti quinquaginta.
33 Lakini Musa na Haruni hawakujumuisha Walawi kwenye Hesabu ya Waisrael. Ilikuwa kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa.
Levitæ autem non sunt numerati inter filios Israel: sic enim præceperat Dominus Moysi.
34 Watu wa Israel walifanya yote ambayo BWANA alimwagiza Musa. Walipanga kwa kufuata mabango yao. Walisafiri kutoka kambini kwa kufuata jamaa zao, kwa mpangilio wa familia za koo zao.
Feceruntque filii Israel iuxta omnia quæ mandaverat Dominus. Castrametati sunt per turmas suas, et profecti per familias ac domos patrum suorum.

< Hesabu 2 >