< Hesabu 2 >

1 BWANA akasema na Musa na Haruni tena. Akamwambia,
Ra Anumzamo'a Mosesene Aroninena anage huno zanasami'ne,
2 Kila mtu atapanga kulingana na mahali pake, pamoja na mabango ya baba zao. Watapanga kuzunguka hema ya kukutania kila upande.
Israeli vahe'mo'za nagate nagate rure rure hu'za nona negi'za, nezmageho krauefa (flag) avame'za zamente rentetere nehu'za, atrumahu Seli mono noni'amofona ante ogantute'za seli no kumazmia antegahaze.
3 Wale watakaopanga mashariki mwa hema ya kukutania, mahali ambapo juu huonekana wakati wa jua kuchomoza, ni makambi ya Yuda nao watakuwa katika kundi lao. Nashoni mwana wa Aminadabu ni kiongozi wa watu wa Yuda.
Hanki zage hanati kaziga Juda naga kuma menigeno, sondia vahe'zmine Juda ne'mofavre nagapinti Aminadab nemofo Nasoni kegava huzamantegahie.
4 Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
Hagi sondia kevu'ane, ana miko zamagima kre tru'ma hu'nazana 74 tausen, 600'a vahere.
5 Kabila la Isakari litapanga mbele ya Yuda. Nethaneli mwana wa Zuari ataliongoza jeshi la Isakari.
Agri asoparema kisazana Isaka agehe'ze, Isaka nagate'ma kegava hu'neana, Zuar nemofo Netanieli'e.
6 Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
Hagi sondia kevu'ane, ana miko zamagima kre tru hu'nazana 54 tausen 400'a vahere.
7 Kabila la Zabuloni litapanga mbele ya Isakari. Eliabu mwana wa Heloni ndiye atakayeliongoza jeshi la Zabuloni.
Anantera Zebuluni agehe'ze, Zebuluni ne'mofavrefinti Heloni nemofo Eliabu kva mani'ne.
8 Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
Hagi sondia vahe'ane, ana miko zamagima kre tru hu'nazana 57 tausen, 400'a vahere.
9 Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
Juda nagapima agrane mani'nazana ana mika 186 tausen, 400'a sondia vahere. Kama vunaku'ma hnageno'a, zamagra vugota hugahaze.
10 Upande wa kusini kutakuwa na kambi ya Reubeni katika kundi lao. Kiongozi wa kundi la Reubeni ni Elizuri mwana wa Shedeuri.
Henkamu sauti kaziga Ruben naga'mo'za krauefazamia ante'za kumara ante'za manigahaze. Rubeni nagama kvama huzmantesiana Sedeur nemofo Elizuri'e.
11 Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
Hagi sondia vahe'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 46 tausen, 500'a vahere.
12 Simeoni atapanga mbele ya Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Zurishadai.
Hanki asoparegama mani'nazana Simeon agehe'ze, Simeon naga'ma kegava huzmantesiana, Surisadai nemofo Selumieli'e.
13 Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
Hagi sondia kevu'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 59 tausen 300'a vahere.
14 Kabila la Gadi litafuatia. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deuli.
Anantera Gati agehe'ze, Gati nagama kegava huzmantesiana, Deuel nemofo Eleasafi'e.
15 Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
Hagi sondia kevu'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 45 tausen, 650'a vahere.
16 Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
Rubeni agorga kuma ante'za agrane mani'nazana ana maka'a 151 tausen, 450'a sondia vahere. Juda naga'mokizmi zamefi zamagra vugahaze.
17 Kifuatacho, ni hema la kukutania kuondoka kambini pamoja na Walawi likiwa katikati ya kambi zote. Lazima waondoke hapo kambini kwa mpangilio huo kama walivyoingia kwenye kambi. Kila mwanamume lazima awe mahali pake kwa kufuata bango lake.
Hanki Livae vahe'mo'za kuma ante'za mani'nare atruhu seli mono nona amu'nompi kofi'za vugahaze, kuma ante'za mani'naza avamente avamente nevu'za mago mago'mo'za kumazmimofo krauefa amefiga eri'za vutere hugahaze.
18 Migawanyiko ya kambi y Efraimu kufuata mahali pake. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.
Zage fre kaziga Efraemi krauefane, sondia vahe'zmine, kuma megahie. Ana agu'afi Efraemi ne'mofavremo Amihuti nemofo Elisama kvazmia manigahie.
19 Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
Hagi sondia kevu'ane ana miko zamagima kre tru hu'nazana 40 tausen, 500'a vahere.
20 Baada ya hao lilifuata kabila la Manase. Kiongozi wa Manase ni Gamaliel mwana wa Pedazuri.
Efraemi naga asoparema kuma ante'sazana, Manase agehe'ze. Manase nagama kegava huzmantesiana, Pedasuri nemofo Gamalieli'e.
21 Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200.
Hagi ana miko sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 32 tausen, 200'a vahere.
22 Kabila litakalofuata ni la Benjamini. Kiongozi wa Benjamini n Abidani mwana wa Gidioni.
Anante'ma esnazana Benjamen agehe'ze, Benjamen nagama kegavama huzmantesiana, Gideoni nemofo Abidani'e.
23 Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
Hagi ana miko sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 35tausen, 400'a vahere.
24 Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka.
Hagi anante'ma esnazana Efraemi nagare. Hagi ana miko sondia vahe zamagima kre'nazana 108tausen, 100'a vahere. Ama ana naga'mo'za nampa trire kevu hu'za vugahaze.
25 Upande wa kaskazini kutakuwa na kambi ya kikosi cha Dani. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.
Anagamu noti kazigama kumama ante'za krauefa zaminema manisazana, Dani naga sondia vahe'mo'za kumara ante'za manigahaze. Dani nagatema kegava haniana, Amisadai nemofo Ahieza kvazmia manigahie.
26 Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
Hagi ana mika sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 62tausen, 700'a vahere.
27 Watu wa kabila ya Asheri watapanga mbele ya Dani. Kiongozi wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okirani.
Dani asopare kumama antesazana Aseli agehe'ze, Aseli nagama kegava huzmantesiana, Okran nemofo Pagieli'e.
28 Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
Hagi sondia vahe ana miko zamagima kre tru hu'nazana 41 tausen, 500'a vahere.
29 Kabila la Naftali ndilo litakalofuatia. Kiongozi wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.
Anante'ma esazana Naftali agehe'ze. Naftali nagama kegava huzmantesiana, Enan nemofo Ahira'e.
30 Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
Hagi ana maka sondia vahe zamagima kre tru hu'nazana 53 tausen, 400'a vahere.
31 Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
Dani naga'ma mani'neregama kumama ante'za mani'naza vahe'ma zamagima kre'neana, ana maka 157tausen, 600'a vahere. Zamagra atuparega henka krauefa zamine vugahaze.
32 Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
Ama'i Israeli vahe'ma nagate nagate, kumate kumate eri magoma hu'za hampri'nazana, ana maka vahera 603 tausen, 550'a vahere.
33 Lakini Musa na Haruni hawakujumuisha Walawi kwenye Hesabu ya Waisrael. Ilikuwa kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa.
Ana hianagi, Ra Anumzamo Mosesema asmi'nea kasegere amage ante'za, Livae nagara Israeli vahepina eri mago hu'za ohampri'naze.
34 Watu wa Israel walifanya yote ambayo BWANA alimwagiza Musa. Walipanga kwa kufuata mabango yao. Walisafiri kutoka kambini kwa kufuata jamaa zao, kwa mpangilio wa familia za koo zao.
Israeli vahe'mo'za Ra Anumzamo Mosesema asmi'nea maka kasegere amage ante'za, kevure kevure krauefana (flag) nezamageho avame'za renente'za, seli nonkuma antetere hu'za nagate nagate eri zogiza vutere hu'naze.

< Hesabu 2 >