< Hesabu 13 >

1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
RAB Musa'ya, “İsrail halkına vereceğim Kenan ülkesini araştırmak için bazı adamlar gönder” dedi, “Ataların her oymağından bir önder gönder.”
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
Musa RAB'bin buyruğu uyarınca Paran Çölü'nden adamları gönderdi. Hepsi İsrail halkının önderlerindendi.
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
Adları şöyleydi: Ruben oymağından Zakkur oğlu Şammua;
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
Şimon oymağından Hori oğlu Şafat;
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
Yahuda oymağından Yefunne oğlu Kalev;
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
İssakar oymağından Yusuf oğlu Yigal;
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
Efrayim oymağından Nun oğlu Hoşea;
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
Benyamin oymağından Rafu oğlu Palti;
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
Zevulun oymağından Sodi oğlu Gaddiel;
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
Yusuf oymağından –Manaşşe oymağından– Susi oğlu Gaddi;
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
Dan oymağından Gemalli oğlu Ammiel;
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
Aşer oymağından Mikael oğlu Setur;
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
Naftali oymağından Vofsi oğlu Nahbi;
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
Gad oymağından Maki oğlu Geuel.
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
Ülkeyi araştırmak üzere Musa'nın gönderdiği adamlar bunlardı. Musa Nun oğlu Hoşea'ya Yeşu adını verdi.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
Musa, Kenan ülkesini araştırmak üzere onları gönderirken, “Negev'e, dağlık bölgeye gidin” dedi,
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
“Nasıl bir ülke olduğunu, orada yaşayan halkın güçlü mü zayıf mı, çok mu az mı olduğunu öğrenin.
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
Yaşadıkları ülke iyi mi kötü mü, kentleri nasıl, surlu mu değil mi anlayın.
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
Toprak nasıl? Verimli mi, kıraç mı? Çevre ağaçlık mı, değil mi? Elinizden geleni yapıp orada yetişen meyvelerden getirin.” Mevsim üzümün olgunlaşmaya başladığı zamandı.
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
Böylece adamlar yola çıkıp ülkeyi Zin Çölü'nden Levo-Hamat'a doğru Rehov'a dek araştırdılar.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
Negev'den geçip Anakoğulları'ndan Ahiman, Şeşay ve Talmay'ın yaşadığı Hevron'a vardılar. –Hevron Mısır'daki Soan Kenti'nden yedi yıl önce kurulmuştu.–
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
Eşkol Vadisi'ne varınca, üzerinde bir salkım üzüm olan bir asma dalı kestiler. Adamlardan ikisi dalı bir sırıkta taşıdılar. Yanlarına nar, incir de aldılar.
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
İsrailliler'in kestiği üzüm salkımından dolayı oraya Eşkol Vadisi adı verildi.
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
Kırk gün dolaştıktan sonra adamlar ülkeyi araştırmaktan döndüler.
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
Paran Çölü'ndeki Kadeş'e, Musa'yla Harun'un ve İsrail topluluğunun yanına geldiler. Onlara ve bütün topluluğa gördüklerini anlatıp ülkenin ürünlerini gösterdiler.
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
Musa'ya, “Bizi gönderdiğin ülkeye gittik” dediler, “Gerçekten süt ve bal akıyor orada! İşte ülkenin ürünleri!
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Ancak orada yaşayan halk güçlü, kentler de surlu ve çok büyük. Orada Anak soyundan gelen insanları bile gördük.
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
Amalekliler Negev'de; Hititler, Yevuslular ve Amorlular dağlık bölgede; Kenanlılar da denizin yanında ve Şeria Irmağı'nın kıyısında yaşıyor.”
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
Kalev, Musa'nın önünde halkı susturup, “Oraya gidip ülkeyi ele geçirelim. Kesinlikle buna yetecek gücümüz var” dedi.
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
Ne var ki, kendisiyle oraya giden adamlar, “Bu halka saldıramayız, onlar bizden daha güçlü” dediler.
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
Araştırdıkları ülke hakkında İsrailliler arasında kötü haber yayarak, “Boydan boya araştırdığımız ülke, içinde yaşayanları yiyip bitiren bir ülkedir” dediler, “Üstelik orada gördüğümüz herkes uzun boyluydu.
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
Nefiller'i, Nefiller'in soyundan gelen Anaklılar'ı gördük. Onların yanında kendimizi çekirge gibi hissettik, onlara da öyle göründük.”

< Hesabu 13 >