< Hesabu 13 >

1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
I PAN powiedział do Mojżesza:
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
Wyślij mężczyzn, aby wyszpiegowali ziemię Kanaan, którą daję synom Izraela. Z każdego pokolenia [ich ojców] wyślecie po jednym mężczyźnie; tych, którzy są wśród nich wodzami.
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
Wysłał ich więc Mojżesz z pustyni Paran, zgodnie z rozkazem PANA. Wszyscy ci mężczyźni byli naczelnikami wśród synów Izraela.
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
A oto są ich imiona: z pokolenia Rubena – Szamua, syn Zakkura.
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
Z pokolenia Symeona – Szafat, syn Choriego.
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
Z pokolenia Judy – Kaleb, syn Jefunnego.
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
Z pokolenia Issachara – Jigal, syn Józefa.
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
Z pokolenia Efraima – Ozeasz, syn Nuna.
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
Z pokolenia Beniamina – Palti, syn Rafua.
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
Z pokolenia Zebulona – Gaddiel, syn Sodiego.
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
Z pokolenia Józefa, to jest z potomstwa Manassesa – Gaddi, syn Susiego.
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
Z pokolenia Dana – Ammiel, syn Gemalliego.
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
Z pokolenia Aszera – Setur, syn Mikaela.
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
Z pokolenia Neftalego – Nachbi, syn Wafsiego.
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
Z pokolenia Gada – Geuel, syn Makiego.
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
To są imiona mężczyzn, których Mojżesz wysłał, aby wyszpiegowali ziemię. A Ozeaszowi, synowi Nuna, nadał imię Jozue.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
A gdy Mojżesz wysłał ich, aby wyszpiegowali ziemię Kanaan, powiedział do nich: Idźcie w tę stronę, na południe, i wejdźcie na górę;
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
I obejrzyjcie ziemię, jaka ona jest, oraz lud, który w niej mieszka, czy jest silny, czy słaby, czy jest ich mało, czy wielu.
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
I jaka [jest] ziemia, w której mieszkają: czy jest dobra, czy zła. I jakie są miasta, w których mieszkają: czy to są obozowiska, czy warownie.
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
I jaka jest ziemia: czy urodzajna, czy jałowa; czy są na niej drzewa, czy nie. Bądźcie odważni i przynieście nam z owocu tamtej ziemi. A był to czas dojrzewania winogron.
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
Poszli więc i wyszpiegowali ziemię, od pustyni Syn aż do Rechob, którędy wchodzi się do Chamat.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
A kierując się na południe, dotarli do Hebronu, gdzie byli Achiman, Szeszaj i Talmaj, synowie Anaka; a Hebron zbudowano siedem lat przed Soan w Egipcie.
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
Potem przybyli do potoku Eszkol i ucięli tam gałąź z jedną kiścią winogron, i nieśli ją we dwóch na drążku; [wzięli] też jabłka granatu i figi.
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
I nazwano to miejsce potokiem Eszkol od winogrona, które synowie Izraela tam ucięli.
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
I po czterdziestu dniach wrócili z wyszpiegowania ziemi.
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
A kiedy wrócili, przyszli do Mojżesza, Aarona i całego zgromadzenia synów Izraela na pustynię Paran, do Kadesz; zdali sprawę im oraz całemu zgromadzeniu, pokazali im też owoce tej ziemi.
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
I opowiedzieli mu: Przyszliśmy do ziemi, do której nas wysłałeś. Ona rzeczywiście opływa mlekiem i miodem, a to są jej owoce;
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Tylko że lud, który mieszka w tej ziemi, jest silny, a miasta są obwarowane i bardzo wielkie; widzieliśmy tam również synów Anaka.
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
Amalekici mieszkają w południowej części ziemi, a Chetyci, Jebusyci, Amoryci mieszkają w górach; Kananejczycy zaś mieszkają nad morzem i nad brzegiem Jordanu.
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
Wtedy Kaleb uspokajał lud szemrzący przeciw Mojżeszowi i mówił: Pójdźmy i posiądźmy ziemię, bo zdołamy ją podbić.
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
Lecz mężczyźni, którzy z nim poszli, powiedzieli: Nie możemy wyruszyć przeciw tamtemu ludowi, bo jest silniejszy od nas.
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
I rozpuścili wśród synów Izraela złą wieść o ziemi, którą wyszpiegowali, mówiąc: Ziemia, przez którą przeszliśmy, aby ją zbadać, jest ziemią, która pożera swoich mieszkańców, a wszyscy ludzie, których w niej widzieliśmy, to ludzie wysokiego wzrostu.
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
Tam też widzieliśmy olbrzymów, synów Anaka, pochodzących od olbrzymów. [Przy nich] wydaliśmy się sobie jak szarańcza, takimi też byliśmy w ich oczach.

< Hesabu 13 >