< Hesabu 13 >

1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
LEUM GOD El fahk nu sel Moses,
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
“Sulela kais sie mwet kol ke sruf singoul luo ah, ac supwalosla in som kalngeyuk ke luman acn Canaan, su nga ac fah sang nu sin mwet Israel.”
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
Ke ma inge Moses el oru oana, ac supwala mwet kol liki acn mwesis lun Paran, fal nu ke sap lun LEUM GOD, oana ma takla ten inge:
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
Sruf Mwet Kol Reuben Shammua wen natul Zaccur Simeon Shaphat wen natul Hori Judah Caleb wen natul Jephunneh Issachar Igal wen natul Joseph Ephraim Hoshea wen natul Nun Benjamin Palti wen natul Raphu Zebulun Gaddiel wen natul Sodi Manasseh Gaddi wen natul Susi Dan Ammiel wen natul Gemalli Asher Sethur wen natul Michael Naphtali Nahbi wen natul Vophsi Gad Geuel wen natul Machi Pa inge mwet kalngeyuk su Moses el supwala in tuni ouiyen acn sac. El ekulla inel Hoshea wen natul Nun nu ke Joshua.
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
Pacl se Moses el supwalos in som, el fahk nu selos, “Utyak ke inkanek nu epang, ac fahla nu layen eir lun acn Canaan, na fanyak nu in acn oasr eol we.
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
Som ac liye lah acn we acn fuka se, ac liye lah pus ku pu mwet we. Liye pac lah mwet we elos mwet ku ku munas.
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
Kowos in liye lah acn sac wo ku koluk, ac acn mwet uh muta we lah nien na aktuktuk, ku siti ma kuhlusyukyak ke pot ku.
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
Liye pac lah fohkon acn we wo, ac pus sak we. Ac ke kowos foloko, kowos in esam in use kutu fokinsak we.” (Pacl se inge grape uh mutawauk in mwesrla.)
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
Ke ma inge mwet ah utyak nu epang ac tuni acn uh, mutawauk yen mwesis lun Zin, layen eir lac na nwe Rehab, su oan apkuran nu Innek In Utyak Nu Hamath, layen epang.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
Elos utyak meet nu layen eir ac tuku nu Hebron. (Siti se inge musaiyukyak yac itkosr meet liki Zoan in acn Egypt.) In acn Hebron elos liye sou lulap tolu lun Ahiman, Sheshai, ac Talmai, ma ke sou lun mwet na lulap pisa pangpang mwet Anak.
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
Elos tuku nu Infahlfal Eshcol, ac pakela lah se su ungin grape na toasr se oan kac. Ke sripen arulana toasr, enenu mwet luo in polongya us ke soko srenenu. Elos oayapa us kutu pomegranate ac fig. (
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
Elos sang inen acn sac Infahlfal Eshcol ke sripen ungin grape se mwet Israel pakela we.)
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
Tukun elos forfor ac oru kalngeyuk lalos in acn sac ke len angngaul, na elos folokla
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
nu yorol Moses, Aaron, ac sruf nukewa lun Israel in acn Kadesh ke yen mwesis lun Paran. Elos srumun ma elos liye ac sang nu sin mwet uh fokinsak ma elos us tuku.
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
Elos fahk nu sel Moses, “Kut som tuni facl sac ac konauk lah acn na mut ac kasrup fohk we. Pa inge kutu fokinsak we.
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Tusruktu mwet ma muta we mwet na fokoko, ac siti selos uh arulana yohk ac potiyukyak ku. Sayen ma inge, kut tuh liye kutu koht we, ma ke fwilin tulik natul Anak.
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
Mwet Amalek elos muta layen eir ke acn we. Mwet Hit, mwet Jebus, ac mwet Amor muta fineol uh, ac mwet Canaan muta sisken Meoa Mediterranean ac sisken Infacl Jordan.”
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
Caleb el akmisyela mwet su lainul Moses, ac fahk, “Kut som ingena ac eisla acn we. Kut ku in kutangulosla.”
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
A mwet ma welul Caleb som elos fahk, “Mo, kut tia ku in lainulos, mweyen mwet we uh arulana ku liki kut.”
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
Ouinge elos srumunelik kas sutuu ke acn se elos kalngeyuk we inmasrlon mwet Israel. Elos fahk mu, “Fokin acn we tia fal in sang kite mwet we. Mwet nukewa kut liye we mwet na loeska,
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
ac kut liye pac kutu mwet na lulap pisa we, pangpang Nephilim, su papa matu tumun mwet Anak. Ke kut liyalos kut oana koht srisrik sohksok uh nu selos.”

< Hesabu 13 >