< Hesabu 1 >

1 Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
Och HERREN talade till Mose i Sinais öken, i uppenbarelsetältet, på första dagen i andra månaden av det andra året efter deras uttåg ur Egyptens land; han sade:
2 'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
"Räknen antalet av Israels barn, deras hela menighet, efter deras släkter och efter deras familjer, vart namn räknat särskilt, allt mankön, var person för sig;
3 kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
alla stridbara män i Israel, de män som äro tjugu år gamla eller därutöver, dem skolen I inmönstra efter deras häravdelningar, du och Aron.
4 Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
I skolen därvid taga till eder en man av var stam, den som är huvudman för sin stams familjer.
5 Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
Och dessa äro namnen på de män som skola biträda eder: av Ruben: Elisur, Sedeurs son;
6 kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
av Simeon: Selumiel, Surisaddais son;
7 Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
av Juda: Naheson, Amminadabs son;
8 Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
av Isaskar: Netanel, Suars son;
9 kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
av Sebulon: Eliab, Helons son;
10 kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
av Josefs barn: av Efraim: Elisama, Ammihuds son; av Manasse: Gamliel, Pedasurs son;
11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
av Benjamin: Abidan, Gideonis son;
12 Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
av Dan: Ahieser, Ammisaddais son;
13 kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
av Aser: Pagiel, Okrans son;
14 kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
av Gad: Eljasaf, Deguels son;
15 na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
av Naftali: Ahira, Enans son."
16 Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
Dessa voro ombud för menigheten, hövdingar för sina fädernestammar, huvudmän för Israels ätter.
17 Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
Och Mose och Aron togo till sig dessa namngivna män;
18 na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
och sedan de hade församlat hela menigheten på första dagen i andra månaden, blev folket infört i förteckningen efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, var person för sig,
19 Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
allt såsom HERREN hade bjudit Mose; och han mönstrade dem i Sinais öken.
20 Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
Och avkomlingarna av Rubens, Israels förstföddes, söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, var person för sig, alla av mankön som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
21 Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
så många av Rubens stam som inmönstrades, utgjorde fyrtiosex tusen fem hundra.
22 Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Simeons söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, så många som inmönstrades, vart namn räknat särskilt, var person för sig, alla av mankön som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
23 Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
så många av Simeons stam som inmönstrades, utgjorde femtionio tusen tre hundra.
24 Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Gads söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
25 Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
så många av Gads stam som inmönstrades, utgjorde fyrtiofem tusen sex hundra femtio.
26 Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Judas söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
27 walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
så många av Juda stam som inmönstrades, utgjorde sjuttiofyra tusen sex hundra.
28 Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Isaskars söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
29 Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
så många av Isaskars stam son inmönstrades, utgjorde femtiofyra tusen fyra hundra.
30 Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Sebulons söner upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
31 Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
så många av Sebulons stam som inmönstrades, utgjorde femtiosju tusen fyra hundra.
32 Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Josefs söner: Avkomlingarna av Efraims söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
33 Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
så många av Efraims stam som inmönstrades; utgjorde fyrtio tusen fem hundra.
34 Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
Avkomlingarna av Manasses söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
35 Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
så många av Manasse stam som inmönstrades, utgjorde trettiotvå tusen två hundra.
36 Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Benjamins söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
37 Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
så många av Benjamins stam som inmönstrades, utgjorde trettiofem tusen fyra hundra.
38 Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Dans söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
39 Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
så många av Dans stam som inmönstrades, utgjorde sextiotvå tusen sju hundra.
40 Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
Avkomlingarna av Asers söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
41 Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
så många av Asers stam som inmönstrades, utgjorde fyrtioett tusen fem hundra.
42 Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Avkomlingarna av Naftalis söner, upptecknade efter sina släkter och efter sina familjer, vart namn räknat särskilt, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män,
43 Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
så många av Naftali stam som inmönstrades, utgjorde femtiotre tusen fyra hundra.
44 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
Dessa voro de inmönstrade, de som blevo inmönstrade av Mose och Aron och Israels hövdingar, tolv män, som företrädde var och en sin stamfamilj.
45 Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
Och alla de av Israels barn som inmönstrades, efter deras familjer, de som voro tjugu år gamla eller därutöver, alla stridbara män i Israel,
46 Walihesabu wanaume 603, 550.
alla dessa inmönstrade utgjorde sex hundra tre tusen fem hundra femtio.
47 Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
Men leviterna i sin fädernestam blevo icke inmönstrade med de övriga.
48 Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
Ty HERREN talade till Mose och sade:
49 “usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
Levi stam allenast skall du icke inmönstra, och du skall icke räkna antalet av dem med de övriga israeliterna;
50 Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
utan du skall förordna leviterna att förestå vittnesbördets tabernakel med alla dess redskap och alla dess tillbehör. De skola bära tabernaklet och alla dess redskap och göra tjänst därvid; och runt omkring tabernaklet skola de hava sitt läger.
51 Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
När tabernaklet skall bryta upp, skola leviterna nedtaga det, och när tabernaklet skall slås upp, skola leviterna uppsätta det; men om någon främmande kommer därvid, skall han dödas.
52 Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
De övriga israeliterna skola lägra sig var och en i sitt läger, och var och en under sitt baner, efter sina häravdelningar;
53 Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
men leviterna skola lägra sig runt omkring vittnesbördets tabernakel, för att icke förtörnelse må komma över Israels barns menighet; och leviterna skola iakttaga vad som är att iakttaga vid vittnesbördets tabernakel.
54 Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.
Och Israels barn gjorde så; de gjorde i alla stycken såsom HERREN hade bjudit Mose.

< Hesabu 1 >