< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Cuando el muro quedó reconstruido y coloqué las hojas de las puertas, los porteros, los cantores y los levitas se encargaron de sus funciones.
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
Entonces puse al frente de Jerusalén a mi hermano Hanani, y a Hananías, jefe de la ciudadela, pues éste era un hombre fiel y temía a ʼElohim más que muchos.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
Les dije: Las puertas de Jerusalén no serán abiertas hasta que caliente el sol. Aunque los porteros estén presentes, las puertas permanecerán cerradas y trancadas. Sean designados vigías de entre los habitantes de Jerusalén, cada cual en su vigilia, y cada uno frente a su propia casa.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Porque la ciudad era espaciosa y grande, pero la gente que vivía allí era poca, y las casas aún no estaban reconstruidas.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
Mi ʼElohim puso en mi corazón reunir a los notables, los jefes y el pueblo, para que fueran reconocidos por genealogía, pues yo encontré el rollo de la genealogía de los que subieron primero, donde hallé escrito:
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
Estos son hijos de la provincia que subieron del cautiverio de los que fueron deportados, a quienes Nabucodonosor, rey de Babilonia, se llevó, y que regresaron a Jerusalén y Judá, cada uno a su ciudad,
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
quienes vinieron con Zorobabel, Jesuá, Nehemías, Azarías, Raamías, Nahamani, Mardoqueo, Bilsán, Misperet, Bigvay, Nehum, Baana. El número de los varones del pueblo de Israel fue:
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
Hijos de Paros: 2.171;
9 Wana wa Shefatia, 372.
hijos de Sefatías: 372;
10 Wana wa Ara, 652.
hijos de Ara: 652;
11 Wana wa Pahath Moabu,
hijos de Pahat-moab, de los hijos de Jesuá y Joab: 2.818;
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
hijos de Elam: 1.254;
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
hijos de Zatu: 845;
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
hijos de Zacay: 760;
15 Wana wa Binnui, 648.
hijos de Binúi: 648;
16 Wana wa Bebai, 628.
hijos de Bebay: 628;
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
hijos de Azgad: 2.322;
18 Wana wa Adonikamu, 667.
hijos de Adonicam: 667;
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
hijos de Bigvay: 2.077;
20 Wana wa Adini, 655.
hijos de Adín: 655;
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
hijos de Ater, de Ezequías: 98;
22 Wana wa Hashumu, 328.
hijos de Hasum: 328;
23 Wana wa Besai, 324.
hijos de Bezay: 324;
24 Wana wa Harifu, 112.
hijos de Harif: 112;
25 Wana wa Gibeoni, 95.
hijos de Gabaón: 95;
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
varones de Belén y de Netofa: 188;
27 Watu wa Anathothi, 128.
varones de Anatot: 128;
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
varones de Bet-azmavet: 42;
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot: 743;
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
varones de Ramá y de Geba: 621;
31 Watu wa Mikmasi, 122.
varones de Micmás: 122;
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
varones de Bet-ʼEl y de Hai: 123;
33 Watu wa Nebo, 52.
varones del otro Nebo: 52;
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
varones del otro Elam: 1.254;
35 Watu wa Harimu, 320.
hijos de Harim: 320;
36 Watu wa Yeriko, 345.
hijos de Jericó: 345;
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
hijos de Lod, Hadid y Ono: 721;
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
hijos de Senaa: 3.930.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
Los sacerdotes: hijos de Jedaía, de la casa de Jesuá: 973;
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
hijos de Imer: 1.502;
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
hijos de Pasur: 1.247;
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
hijos de Harim: 1.017.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
Los levitas, hijos de Jesuá, de Cadmiel, de los hijos de Hodavías: 74.
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
Los cantores, hijos de Asaf: 148.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
Los porteros, hijos de Salum, hijos de Ater, hijos de Talmón, hijos de Acub, hijos de Hatita, hijos de Sobay: 138.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Los servidores, hijos de Ziha, hijos de Hasufa, hijos de Tabaot,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
hijos de Queros, hijos de Siaha, hijos de Padón,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
hijos de Lebana, hijos de Hagaba, hijos de Salmai,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
hijos de Hanán, hijos de Gidel, hijos de Gahar,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
hijos de Reaía, hijos de Rezín, hijos de Necoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
hijos de Gazam, hijos de Uza, hijos de Paseah,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
hijos de Besai, hijos de Mehunim, hijos de Nefisesim,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
hijos de Bacbuc, hijos de Hacufa, hijos de Harhur,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
hijos de Bazlut, hijos de Mehída, hijos de Harsa,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
hijos de Barcos, hijos de Sísara, hijos de Tema,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
hijos de Nezía, hijos de Hatifa,
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
hijos de los esclavos de Salomón, hijos de Sotay, hijos de Soferet, hijos de Perida,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
hijos de Jaala, hijos de Darcón, hijos de Gidel,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
hijos de Sefatías, hijos de Hatil, hijos de Poqueret-hazebaim, hijos de Amón:
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Todos los servidores y los hijos de los esclavos de Salomón eran 392.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Y éstos son los que subieron de Telmela, Telharsa, Querub, Adón e Imer, y no pudieron indicar sus casas paternas, ni su linaje, ni si eran de Israel o no:
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
Los hijos de Delaía, los hijos de Tobías, los hijos de Necoda: 642.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Y de los sacerdotes: los hijos de Habaía, los hijos de Cos, los hijos de Barzilay, el cual tomó esposa de las hijas de Barzilay galaadita, con el nombre del cual fue llamado.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
Éstos buscaron su registro genealógico pero no fue hallado, por lo cual fueron excluidos del sacerdocio por estar impuros.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
Y el gobernador les dijo que no comieran de las cosas santas hasta que se levantara sacerdote con Urim y Tumim.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Toda la congregación reunida era de 42.360,
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
aparte de sus esclavos y sus esclavas, que eran 6.336; y entre ellos había 245 cantores y cantoras.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
Sus caballos eran 736, y sus mulas 245.
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
Sus camellos eran 435, y sus asnos 6.730.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Algunos jefes de las casas paternas aportaron para la obra. El gobernador dio al tesoro 8 kilogramos de oro, 50 tazones y 530 túnicas sacerdotales.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
Algunos jefes de las casas paternas ofrendaron 160 kilogramos de oro y 1.210 kilogramos de plata para el tesoro de la obra.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
El resto del pueblo dio 160 kilogramos de oro, 1.100 kilogramos de plata y 67 túnicas sacerdotales.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
Los sacerdotes y levitas, los porteros y cantores, algunos del pueblo, los servidores y todo Israel vivieron nuevamente en sus ciudades. Cuando llegó el mes séptimo los hijos de Israel estaban en sus ciudades.

< Nehemia 7 >