< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Kad nu mūris bija uztaisīts, tad es iecēlu durvis, un vārtu sargi un dziedātāji un leviti tapa iecelti,
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
Un es pavēlēju savam brālim Hananum un Hananijam, Jeruzālemes pils virsniekam, (jo tas bija uzticams vīrs un dievbijīgs pār daudziem),
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
Un uz tiem sacīju: Lai Jeruzālemes vārti netop atdarīti, pirms saule nesilda, un tiem vēl klāt esot durvis lai atkal aizslēdz un aizšauj. Un Jeruzālemes iedzīvotājus ieceļat par sargiem, ikkatru uz savu vakti un ikkatru savam namam pretim.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Bet pilsēta bija plata un liela un ļaužu tur bija maz un nami nebija uzcelti,
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
Tad mans Dievs man iedeva sirdī, sapulcināt virsniekus un priekšniekus un tos ļaudis, lai sarakstītu radu rakstus. Un es atradu vienu radu rakstu grāmatu par tiem, kas pirmie bija pārnākuši, un es atradu, ka tur tā bija rakstīts:
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
Šie ir tie valsts bērni, kas bija pārnākuši no tā cietuma, kur NebukadNecars, Bābeles ķēniņš, tos bija aizvedis, un kas ir griezušies atpakaļ uz Jeruzālemi un uz Jūdu, ikviens savā pilsētā;
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Kas nākuši ar Zerubabeli, ar Ješuū, Nehemiju, Azariju, Raāmiju, Naēmanu, Mordohaju, Bilšanu, Mizperetu, Biģevaju, Neūmu, Baēnu. Šis ir Israēla vīru skaits.
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
Pareūs bērni bija divtūkstoš simt septiņdesmit divi;
9 Wana wa Shefatia, 372.
Zeroatijas bērni: trīssimt septiņdesmit divi;
10 Wana wa Ara, 652.
Arus bērni: sešsimt piecdesmit divi;
11 Wana wa Pahath Moabu,
PaātMoaba bērni, no Ješuūs un Joaba bērniem: divtūkstoš astoņsimt astoņpadsmit;
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
Elama bērni: tūkstoš divsimt piecdesmit četri;
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
Zatus bērni: astoņsimt četrdesmit pieci;
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
Zakajus bērni: septiņsimt sešdesmit;
15 Wana wa Binnui, 648.
Banus bērni: sešsimt četrdesmit astoņi;
16 Wana wa Bebai, 628.
Bebajus bērni: sešsimt divdesmit astoņi;
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
Azgada bērni: divtūkstoš trīssimt divdesmit divi;
18 Wana wa Adonikamu, 667.
Adonikama bērni: sešsimt sešdesmit septiņi;
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
Biģevajus bērni: divtūkstoš sešdesmit septiņi;
20 Wana wa Adini, 655.
Adina bērni: sešsimt piecdesmit pieci;
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
Atera bērni no Hizkijas (nama): deviņdesmit astoņi;
22 Wana wa Hashumu, 328.
Hašuma bērni: trīssimt divdesmit astoņi;
23 Wana wa Besai, 324.
Becajus bērni: trīssimt divdesmit četri;
24 Wana wa Harifu, 112.
Ariva bērni: simts divpadsmit;
25 Wana wa Gibeoni, 95.
Gibeona bērni: deviņdesmit pieci;
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
Bētlemes un Netofas vīri: simts astoņdesmit astoņi;
27 Watu wa Anathothi, 128.
Anatotas vīri: simts divdesmit astoņi;
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
BetAsmavetas vīri: četrdesmit divi;
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
KiriatJearimas, Kaviras un Beērotas vīri: septiņsimt četrdesmit trīs;
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
Rāmas un Gabas vīri: sešsimt divdesmit viens;
31 Watu wa Mikmasi, 122.
Mikmasas vīri: simts divdesmit divi;
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
Bēteles un Ajas vīri: simts divdesmit trīs;
33 Watu wa Nebo, 52.
Otra Nebus vīri: piecdesmit divi;
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
Otra Elama bērni: tūkstoš divsimt piecdesmit četri;
35 Watu wa Harimu, 320.
Harima bērni: trīssimt divdesmit;
36 Watu wa Yeriko, 345.
Jērikus bērni: trīssimt četrdesmit pieci;
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
Lodas, Adidas un Onus bērni: septiņsimt divdesmit viens;
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
Zenaūs bērni: trīstūkstoš deviņsimt trīsdesmit.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
Priesteri: Jedajas bērni, no Ješuūs nama: deviņsimt septiņdesmit trīs;
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
Imera bērni: tūkstoš piecdesmit divi;
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
Pašhura bērni: tūkstoš divsimt četrdesmit septiņi;
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
Harima bērni: tūkstoš septiņpadsmit.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
Leviti: Ješuūs bērni no Kadmiēļa, no Odavijas bērniem: septiņdesmit četri.
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
Dziedātāji, - Asafa bērni: simts četrdesmit astoņi.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
Vārtu sargi: Šaluma bērni, Atera bērni, Talmona bērni, Akuba bērni, Atita bērni, Zobaja bērni: simts trīsdesmit astoņi.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Dieva nama kalpotāji: Cikus bērni, Azuva bērni, Tabaota bērni,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
Ķerus bērni, Ziūs bērni, Padona bērni,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
Lebana bērni, Agaba bērni, Zalmajus bērni,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
Anana bērni, Ģideļa bērni, Gaāra bērni.
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
Reajus bērni, Recina bērni, Nekoda bērni,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
Gazama bērni, Uzus bērni, Paseūs bērni,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
Besajus bērni, Meūnima bērni, Nevusima bērni,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
Bakbuka bērni, Akuva bērni, Arura bērni,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
Baceluta bērni, Mekida bērni, Arsas bērni,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
Barkus bērni, Sisera bērni, Tamus bērni,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
Necius bērni, Ativus bērni,
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
Salamana kalpu bērni, Sotajus bērni, Sofereta bērni, Pridus bērni,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
Jaēlus bērni, Darkona bērni, Ģideļa bērni,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
Šefatijas bērni, Atila bērni, Poķereta bērni no Cebaīm, Amona bērni,
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Dieva nama kalpotāju un Salamana kalpu bērnu bija pavisam trīssimt deviņdesmit divi.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Un šie pārnāca līdz no TelMelakas, TelArzus, Ķeruba, Adona, Imera. Bet tie sava tēva namu un savu dzimumu nevarēja pierādīt, vai tie bija no Israēla.
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
Delajas bērni, Tobijas bērni, Nekoda bērni: sešsimt četrdesmit divi.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Un no priesteriem: Abajus bērni, Akoca bērni, Barzilajus bērni, kas no Barzilajus, tā Gileādieša, meitām sievu bija ņēmis, un pēc viņa vārda bija nosaukts.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
Šie savus radu rakstus meklēja bet neatrada; tāpēc tie no priestera amata tapa atmesti.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
Un zemes soģis uz tiem sacīja: lai neēd no tā vissvētākā, tiekams priesteris celtos ar urim un tumim.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Visa šī draudze bija kopā: četrdesmit divi tūkstoši trīssimt sešdesmit,
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
Bez kalpiem un kalponēm, - šo bija septiņtūkstoš trīssimt trīsdesmit septiņi. Un tiem bija divsimt četrdesmit pieci dziedātāji un dziedātājas.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
Viņu zirgu bija septiņsimt trīsdesmit seši, viņu zirgēzeļu divsimt četrdesmit pieci,
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
Kamieļu četrsimt trīsdesmit pieci, ēzeļu seštūkstoš septiņsimt divdesmit.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Un no cilts virsniekiem šie deva ko pie tā darba: zemes soģis piemeta pie tās mantas tūkstoš zelta gabalus, piecdesmit bļodas un piecsimt trīsdesmit priesteru svārkus.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
Un no cilts virsniekiem piemeta pie tās mantas uz to darbu divdesmit tūkstoš zelta gabalus un divtūkstoš divsimt mārciņas sudraba.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
Un ko tie citi ļaudis meta, tas bija divdesmit tūkstoš zelta gabali un divtūkstoš mārciņas sudraba un sešdesmit septiņi priesteru svārki.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
Un priesteri un leviti un vārtu sargi un dziedātāji un tie ļaudis un tie Dieva nama kalpotāji un viss Israēls dzīvoja savās pilsētās.

< Nehemia 7 >