< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Postquam autem ædificatus est murus, et posui valvas, et recensui ianitores, et cantores, et Levitas:
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
præcepi Hanani fratri meo, et Hananiæ principi domus de Ierusalem (ipse enim quasi vir verax et timens Deum plus ceteris videbatur)
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
et dixi eis: Non aperiantur portæ Ierusalem usque ad calorem solis. Cumque adhuc assisterent, clausæ portæ sunt, et oppilatæ: et posui custodes de habitatoribus Ierusalem, singulos per vices suas, et unumquemque contra domum suam.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Civitas autem erat lata nimis et grandis, et populus parvus in medio eius, et non erant domus ædificatæ.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
Deus autem dedit in corde meo, et congregavi optimates, et magistratus, et vulgus, ut recenserem eos: et inveni librum census eorum, qui ascenderant primum, et inventum est scriptum in eo.
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
Isti filii provinciæ, qui ascenderunt de captivitate migrantium, quos transtulerat Nabuchodonosor rex Babylonis, et reversi sunt in Ierusalem, et in Iudæam, unusquisque in civitatem suam.
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Qui venerunt cum Zorobabel, Iosue, Nehemias, Azarias, Raamias, Nahamani, Mardochæus, Belsam, Mespharath, Begoai, Nahum, Baana. Numerus virorum populi Israel:
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
Filii Pharos, duo millia centum septuaginta duo:
9 Wana wa Shefatia, 372.
Filii Saphatia, trecenti septuaginta duo:
10 Wana wa Ara, 652.
Filii Area, sexcenti quinquaginta duo:
11 Wana wa Pahath Moabu,
Filii Phahathmoab filiorum Iosue et Ioab, duo millia octingenti decem et octo:
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
Filii Ælam, mille ducenti quinquagintaquattuor:
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
Filii Zethua, octingenti quadragintaquinque:
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
Filii Zachai, septingenti sexaginta:
15 Wana wa Binnui, 648.
Filii Bannui, sexcenti quadragintaocto:
16 Wana wa Bebai, 628.
Filii Bebai, sexcenti vigintiocto:
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
Filii Azgad, duo millia trecenti vigintiduo:
18 Wana wa Adonikamu, 667.
Filii Adonicam, sexcenti sexagintaseptem:
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
Filii Beguai, duo millia sexagintaseptem:
20 Wana wa Adini, 655.
Filii Adin, sexcenti quinquagintaquinque:
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
Filii Ater, filii Hezeciæ, nonagintaocto:
22 Wana wa Hashumu, 328.
Filii Hasem, trecenti vigintiocto:
23 Wana wa Besai, 324.
Filii Besai, trecenti vigintiquattuor:
24 Wana wa Harifu, 112.
Filii Hareph, centum duodecim:
25 Wana wa Gibeoni, 95.
Filii Gabaon, nonagintaquinque:
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
Filii Bethlehem, et Netupha, centum octogintaocto.
27 Watu wa Anathothi, 128.
Viri Anathoth, centum vigintiocto.
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
Viri Bethazmoth, quadragintaduo.
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
Viri Cariathiarim, Cephira, et Beroth, septingenti quadragintatres.
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
Viri Rama et Geba, sexcenti vigintiunus.
31 Watu wa Mikmasi, 122.
Viri Machmas, centum vigintiduo.
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
Viri Bethel et Hai, centum vigintitres.
33 Watu wa Nebo, 52.
Viri Nebo alterius, quinquagintaduo.
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
Viri Ælam alterius, mille ducenti quinquagintaquattuor.
35 Watu wa Harimu, 320.
Filii Harem, trecenti viginti.
36 Watu wa Yeriko, 345.
Filii Iericho, trecenti quadragintaquinque.
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
Filii Lod, Hadid et Ono, septingenti vigintiunus.
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
Filii Senaa, tria millia nongenti triginta.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
Sacerdotes: Filii Idaia in domo Iosue, nongenti septuagintatres.
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
Filii Emmer, mille quinquagintaduo.
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
Filii Phashur, mille ducenti quadragintaseptem.
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
Filii Arem, mille decem et septem. Levitæ:
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
Filii Iosue et Cedmihel filiorum
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
Oduiæ, septuagintaquattuor. Cantores:
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
Filii Asaph, centum quadragintaocto.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
Ianitores: filii Sellum, filii Ater, filii Telmon, filii Accub, filii Hatita, filii Sobai: centum trigintaocto.
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
Nathinæi: filii Soha, filii Hasupha, filii Tebbaoth,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
filii Ceros, filii Siaa, filii Phadon, filii Lebana, filii Hagaba, filii Selmai,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
filii Hanan, filii Geddel, filii Gaher,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
filii Raaia, filii Rasin, filii Necoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
filii Gezem, filii Aza, filii Phasea,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
filii Besai, filii Munim, filii Nephussim,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
filii Bacbuc, filii Hacupha, filii Harhur,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
filii Besloth, filii Mahida, filii Harsa,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
filii Bercos, filii Sisara, filii Thema,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
filii Nasia, filii Hatipha,
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
filii servorum Salomonis, filii Sothai, filii Sophereth, filii Pharida,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
filii Iahala, filii Darcon, filii Ieddel,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
filii Saphatia, filii Hatil, filii Phochereth, qui erat ortus ex Sabaim, filio Amon.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
Omnes Nathinæi, et filii servorum Salomonis, trecenti nonagintaduo.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
Hi sunt autem, qui ascenderunt de Thelmela, Thelharsa, Cherub, Addon, et Emmer: et non potuerunt indicare domum patrum suorum, et semen suum, utrum ex Israel essent.
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
Filii Dalaia, filii Tobia, filii Necoda, sexcenti quadragintaduo.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
Et de Sacerdotibus, filii Habia, filii Accos, filii Berzellai, qui accepit de filiabus Berzellai Galaaditis uxorem: et vocatus est nomine eorum.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
Hi quæsierunt scripturam suam in censu, et non invenerunt: et eiecti sunt de sacerdotio.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
Dixitque Athersatha eis ut non manducarent de Sanctis sanctorum, donec staret Sacerdos doctus et eruditus.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
Omnis multitudo quasi vir unus quadragintaduo millia trecenti sexaginta,
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
absque servis et ancillis eorum, qui erant septem millia trecenti trigintaseptem, et inter eos cantores, et cantatrices, ducenti quadragintaquinque.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
Equi eorum, septingenti trigintasex: muli eorum, ducenti quadragintaquinque:
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
cameli eorum, quadringenti trigintaquinque: asini, sex millia septingenti viginti.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
Nonnulli autem de principibus familiarum dederunt in opus. Athersatha dedit in thesaurum auri drachmas mille, phialas quinquaginta, tunicas sacerdotales quingentas triginta.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
Et de principibus familiarum dederunt in thesaurum operis auri drachmas viginti millia, et argenti mnas duo millia ducentas.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
Et quod dedit reliquus populus, auri drachmas viginti millia, et argenti mnas duo millia, et tunicas sacerdotales sexagintaseptem.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
Habitaverunt autem Sacerdotes, et Levitæ, et ianitores, et cantores, et reliquum vulgus, et Nathinæi, et omnis Israel in civitatibus suis.

< Nehemia 7 >