< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
Now it came to pass, when the wall was built, and I had set up the doors, and the porters and the singers and the Levites were appointed,
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
That I gave my brother Hanani, and Hananiah the ruler of the palace, charge over Jerusalem: for he [was] a faithful man, and feared God above many.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
And I said to them, Let not the gates of Jerusalem be opened until the sun shall be hot; and while they stand by, let them shut the doors, and bar [them]: and appoint watches of the inhabitants of Jerusalem, every one in his watch, and every one [to be] over against his house.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Now the city [was] large and great: but the people in it [were] few, and the houses [were] not built.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
And my God put into my heart to assemble the nobles, and the rulers, and the people, that they might be reckoned by genealogy. And I found a register of the genealogy of them who came up at the first, and found written in it,
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
These [are] the children of the province, that went up out of the captivity, of those that had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away, and came again to Jerusalem and to Judah, every one to his city;
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
Who came with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum, Baanah. The number, [I say], of the men of the people of Israel [was this];
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
The children of Parosh, two thousand a hundred and seventy two.
9 Wana wa Shefatia, 372.
The children of Shephatiah, three hundred and seventy two.
10 Wana wa Ara, 652.
The children of Arah, six hundred and fifty two.
11 Wana wa Pahath Moabu,
The children of Pahath-moab, of the children of Jeshua and Joab, two thousand and eight hundred [and] eighteen.
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
The children of Elam, a thousand two hundred and fifty four.
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
The children of Zattu, eight hundred and forty five.
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
The children of Zaccai, seven hundred and sixty.
15 Wana wa Binnui, 648.
The children of Binnui, six hundred and forty eight.
16 Wana wa Bebai, 628.
The children of Bebai, six hundred and twenty eight.
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
The children of Azgad, two thousand three hundred and twenty two.
18 Wana wa Adonikamu, 667.
The children of Adonikam, six hundred and sixty seven.
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
The children of Bigvai, two thousand and sixty seven.
20 Wana wa Adini, 655.
The children of Adin, six hundred and fifty five.
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
The children of Ater of Hezekiah, ninety eight.
22 Wana wa Hashumu, 328.
The children of Hashum, three hundred and twenty eight.
23 Wana wa Besai, 324.
The children of Bezai, three hundred and twenty four.
24 Wana wa Harifu, 112.
The children of Hariph, a hundred and twelve.
25 Wana wa Gibeoni, 95.
The children of Gibeon, ninety five.
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
The men of Beth-lehem and Netophah, a hundred and eighty eight.
27 Watu wa Anathothi, 128.
The men of Anathoth, a hundred and twenty eight.
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
The men of Beth-azmaveth, forty two.
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
The men of Kirjath-jearim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty three.
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
The men of Ramah and Gaba, six hundred and twenty one.
31 Watu wa Mikmasi, 122.
The men of Michmas, a hundred and twenty two.
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
The men of Beth-el and Ai, a hundred and twenty three.
33 Watu wa Nebo, 52.
The men of the other Nebo, fifty two.
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
The children of the other Elam, a thousand two hundred and fifty four.
35 Watu wa Harimu, 320.
The children of Harim, three hundred and twenty.
36 Watu wa Yeriko, 345.
The children of Jericho, three hundred and forty five.
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred and twenty one.
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
The children of Senaah, three thousand nine hundred and thirty.
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred and seventy three.
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
The children of Immer, a thousand and fifty two.
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
The children of Pashur, a thousand two hundred and forty seven.
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
The children of Harim, a thousand and seventeen.
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
The Levites: the children of Jeshua, of Kadmiel, [and] of the children of Hodevah, seventy four.
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
The singers: the children of Asaph, a hundred and forty eight.
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
The porters: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, a hundred and thirty eight.
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
The Nethinims: the children of Ziha, the children of Hashupha, the children of Tabbaoth,
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
The children of Keros, the children of Sia, the children of Padon,
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
The children of Lebana, the children of Hagaba, the children of Shalmai,
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
The children of Hanan, the children of Giddel, the children of Gahar,
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
The children of Reaiah, the children of Rezin, the children of Nekoda,
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
The children of Gazzam, the children of Uzza, the children of Phaseah,
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
The children of Besai, the children of Meunim, the children of Nephishesim,
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
The children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur,
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
The children of Bazlith, the children of Mehida, the children of Harsha,
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
The children of Barkos, the children of Sisera, the children of Tamah,
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
The children of Neziah, the children of Hatipha.
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
The children of Solomon's servants: the children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Perida,
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
The children of Jaala, the children of Darkon, the children of Giddel,
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
The children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth of Zebaim, the children of Amon.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
All the Nethinims, and the children of Solomon's servants, [were] three hundred and ninety two.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
And these [were] they who went up [also] from Tel-mela, Tel-haresha, Cherub, Addon, and Immer: but they could not show their fathers house, nor their seed, whether they [were] of Israel.
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
The children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred and forty two.
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
And of the priests: the children of Habaiah, the children of Koz, the children of Barzillai, who took [one] of the daughters of Barzillai the Gileadite for a wife, and was called after their name.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
These sought their register [among] those that were reckoned by genealogy, but it was not found: therefore were they, as polluted, put from the priesthood.
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
And the Tirshatha said to them, that they should not eat of the most holy things, till there should stand [up] a priest with Urim and Thummim.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
The whole congregation together [was] forty two thousand three hundred and sixty.
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
Besides their man-servants and their maid-servants, of whom [there were] seven thousand three hundred and thirty seven: and they had two hundred and forty five singing-men and singing-women.
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
Their horses, seven hundred and thirty six: their mules, two hundred and forty five:
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
[Their] camels, four hundred and thirty five: six thousand seven hundred and twenty asses.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
And some of the chief of the fathers gave to the work. The Tirshatha gave to the treasure a thousand drams of gold, fifty basins, five hundred and thirty priests' garments.
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
And [some] of the chief of the fathers gave to the treasure of the work, twenty thousand drams of gold, and two thousand and two hundred pounds of silver.
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
And [that] which the rest of the people gave [was] twenty thousand drams of gold, and two thousand pounds of silver, and sixty seven priests' garments.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
So the priests, and the Levites, and the porters, and the singers, and [some] of the people, and the Nethinims, and all Israel, dwelt in their cities; and when the seventh month came, the children of Israel [were] in their cities.

< Nehemia 7 >