< Nehemia 7 >

1 Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
And it came to pass, when the wall was built, and I had set up the doors, —and the doorkeepers and the singers and the Levites had been appointed,
2 nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
that I gave Hanani my brother, and Hananiah captain of the castle, charge over Jerusalem, for, he, was a truly faithful man, and revered God above many.
3 Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
And I said unto them, Let not the gates of Jerusalem be opened until, hot, be the sun, and, while they are standing by, let them close the doors, and make them fast, —setting watches, of the inhabitants of Jerusalem, every one in his watch, and every one over against his own house.
4 Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
Now, the city, was broad on both hands, and large, but, the people, were few in the midst thereof, —and the houses had not been built.
5 Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
So then my God put it into my heart, and I gathered together the nobles and the deputies and the people, to register their genealogy, —then found I a register roll, of them who came up at the first, and found written therein: —
6 Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
These, are the sons of the province, who came up from among the Captives of the Exile, whom Nebuchadnezzar king of Babylon did exile, —but they came back to Jerusalem and to Judah, every one to his own city;
7 Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
who came in with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Bigvai, Nehum, Baanah, —the number of the men of the people of Israel.
8 Wana wa Paroshi, 2, 172.
The sons of Parosh, two thousand, one hundred, and seventy-two;
9 Wana wa Shefatia, 372.
The sons of Shephatiah, three hundred, and seventy-two;
10 Wana wa Ara, 652.
The sons of Arah, six hundred, and fifty-two;
11 Wana wa Pahath Moabu,
The sons of Pahath-moab, belonging to the sons of Jeshua and Joab, two thousand, eight hundred, and eighteen;
12 kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
The sons of Elam, a thousand, two hundred and fifty-four;
13 Wana wa Elamu, 1, 254.
The sons of Zattu, eight hundred, and forty-five;
14 Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
The sons of Zaccai, seven hundred, and sixty;
15 Wana wa Binnui, 648.
The sons of Binnui, six hundred, and forty-eight;
16 Wana wa Bebai, 628.
The sons of Bebai, six hundred, and twenty-eight;
17 Wana wa Azgadi, 2, 322.
The sons of Azgad, two thousand, three hundred, and twenty-two;
18 Wana wa Adonikamu, 667.
The sons of Adonikam, six hundred, and sixty-seven;
19 Wana wa Bigwai, 2, 067.
The sons of Bigvai, two thousand, and sixty-seven;
20 Wana wa Adini, 655.
The sons of Adin, six hundred, and fifty-five;
21 Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
The sons of Ater, pertaining to Hezekiah, ninety-eight;
22 Wana wa Hashumu, 328.
The sons of Hashum, three hundred, and twenty-eight;
23 Wana wa Besai, 324.
The sons of Bezai, three hundred, and twenty-four;
24 Wana wa Harifu, 112.
The sons of Hariph, a hundred, and twelve;
25 Wana wa Gibeoni, 95.
The sons of Gibeon, ninety-five;
26 Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
The men of Bethlehem, and Netophah, a hundred, and eighty-eight;
27 Watu wa Anathothi, 128.
The men of Anathoth, a hundred, and twenty-eight;
28 Watu wa Beth Azmaweth, 42.
The men of Beth-azmaveth, forty-two;
29 Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
The men of Kiriath-jearim, Chephirah and Beeroth, seven hundred, and forty-three;
30 Watu wa Rama na Geba, 621.
The men of Ramah and Geba, six hundred, and twenty-one;
31 Watu wa Mikmasi, 122.
The men of Mickmas, a hundred, and twenty-two;
32 Watu wa Betheli na Ai, 123.
The men of Bethel and Ai, a hundred and twenty-three;
33 Watu wa Nebo, 52.
The men of the other Nebo, fifty-two;
34 Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
The sons of the other Elam, a thousand, two hundred, and fifty-four;
35 Watu wa Harimu, 320.
The sons of Harim, three hundred, and twenty;
36 Watu wa Yeriko, 345.
The sons of Jericho, three hundred, and forty-five;
37 Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
The sons of Lod, Hadid and One, seven hundred, and twenty-one;
38 Watu wa Senaa, 3, 930.
The sons of Senaah, three thousand, nine hundred, and thirty;
39 makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
The priests, The sons of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred, and seventy-three;
40 Wana wa Imeri, 1, 052.
The sons of Immer, a thousand, and fifty-two;
41 Wana wa Pashuri, 1, 247.
The sons of Pashhur, a thousand, two hundred, and forty-seven;
42 Wana wa Harimu, 1, 017.
The sons of Harim, a thousand, and seventeen;
43 Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
The Levites, The sons of Jeshua, of Kadmiel, of the sons of Hodevah, seventy-four;
44 Waimbaji wana wa Asafu; 148.
The singers, The sons of Asaph, a hundred, and forty-eight;
45 Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
The doorkeepers, The sons of Shallum, the sons of Ater, the sons of Talmon, the sons of Akkub, the sons of Hatita, the sons of Shobai, a hundred, and thirty-eight;
46 Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
The Nethinim, The sons of Ziha, the sons of Hasupha, the sons of Tabbaoth;
47 wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
the sons of Keros, the sons of Sia, the sons of Padon;
48 wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
the sons of Lebana, the sons of Hagaba, the sons of Salmai;
49 wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
the sons of Hanan, the sons of Giddel, the sons of Gahar;
50 Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
the sons of Reaiah, the sons of Rezin, the sons of Nekoda;
51 wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
the sons of Gazzam, the sons of Uzza, the sons of Paseah;
52 wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
the sons of Besai, the sons of Meunim, the sons of Nephushesim;
53 Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
the sons of Bakbuk, the sons of Hakupha, the sons of Harhur;
54 wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
the sons of Bazlith, the sons of Mehida, the sons of Harsha;
55 wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
the sons of Barkos, the sons of Sisera, the sons of Temah;
56 wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
the sons of Neziah, the sons of Hatipha.
57 Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
The Sons of the Servants of Solomon, The sons of Sotai, the sons of Sophereth, the sons of Perida;
58 wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
the sons of Jaala, the sons of Darkon, the sons of Giddel;
59 wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
the sons of Shephatiah, the sons of Hattil, the sons of Pochereth-hazzebaim, the sons of Amon.
60 Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
All the Nethinim, and the Sons of the Servants of Solomon, were three hundred, and ninety-two.
61 Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
And, these, are they who came up from Tel-melah, Tel-harsha, Cherub, Addon, and Immer, —but they could not tell their ancestral house, nor their seed, whether, of Israel, they were:
62 wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
the sons of Delaiah, the sons of Tobiah, the sons of Nekoda, —six hundred and forty-two,
63 Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
And, of the priests, the sons of Hobaiah, the sons of Hakkoz, —the sons of Barzillai, who had taken of the daughters of Barzillai the Gileadite to wife, and was called after their name.
64 Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
These, sought their writing wherein they were registered, but it was not found, —so they were desecrated out of the priesthood;
65 Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
and the governor told them, they must not eat of the most holy things, —until there should stand up a priest, with Lights and Perfections.
66 Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
All the gathered host together, was forty-two thousand, three hundred, and sixty;
67 isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
besides, their men-servants and maid-servants, were these, seven thousand, three hundred, and thirty-seven, —and, to them, pertained, singing-men and singing-women, two hundred, and forty-five:
68 Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
their horses, were seven hundred, and thirty-six, —their mules, two hundred, and forty-five;
69 ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
camels, four hundred, and thirty-five, —asses, six thousand, seven hundred, and twenty.
70 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
And, a portion of the ancestral chiefs, gave unto the work, —the governor, gave unto the treasury, of gold, a thousand darics, tossing bowls, fifty, tunics for priests, five hundred, and thirty;
71 Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
and, some of the ancestral chiefs, gave unto the treasury of the work, of gold, twenty thousand darics, —and, of silver, two thousand and two hundred manehs;
72 Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
and, that which the rest of the people gave, was, of gold, twenty thousand darics, and, of silver, two thousand manehs, —and, tunics for priests, sixty-seven.
73 Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”
So the priests and the Levites and the door-keepers and the singers and some of the people, and the Nethinim and all Israel, took up their abode in their cities. And, when the seventh month arrived, the sons of Israel were in their cities.

< Nehemia 7 >