< Nehemia 4 >

1 Sanbalati alipoposikia tulikuwa tukijenga ukuta, akaghadhabika ndani yake, naye akakasirika sana, akawacheka Wayahudi.
A gdy Sanballat usłyszał, że odbudowujemy mur, rozgniewał się i bardzo się oburzył, i zaczął szydzić z Żydów.
2 Mbele ya ndugu zake na jeshi la Samaria, akasema, “Wayahudi dhaifu hawa wanafanya nini? Je, watajifanyia mji wenyewe? Je, watatoa dhabihu? Je, wataimaliza kazi siku moja? Je! Watawaletea mawe kutoka kwenye kifusi baada ya kuchomwa moto?
I powiedział wobec swoich braci i wojska Samarii: Co ci niedołężni Żydzi wyprawiają? Czy pozwolimy im na to? Czy będą składać ofiary? Czy zdołają to skończyć w jeden dzień? Czy wskrzeszą kamienie z kupy gruzu, które spalono?
3 Tobia Mwamoni alikuwa pamoja naye, naye akasema, 'Ikiwa tu mbweha angepanda juu ya hichi wanachokijenga, angeubomoa ukuta huo wa mawe.”
Ale Tobiasz Ammonita, który stał obok niego, powiedział: Nawet jeśli zbudują, przyjdzie lis i przewróci ich kamienny mur.
4 Tusikilize, Mungu wetu, kwa maana sisi tunatukanwa. Rudisha malalamiko yao juu ya vichwa vyao wenyewe na kuwapa wapate kutekwa katika nchi ambapo wao ni wafungwa.
Wysłuchaj, nasz Boże, bo jesteśmy wzgardzeni, i odwróć ich zhańbienie na ich głowę, i wydaj ich na łup w ziemi niewoli.
5 Usiufunike uovu wao, wala usiondoe dhambi zao mbele yako; kwa sababu wamewachukiza wanaojenga.
Nie zakrywaj ich nieprawości, a niech ich grzech nie będzie wymazany przed tobą. Ciebie bowiem pobudzili do gniewu na oczach budujących.
6 Kwa hiyo tulijenga ukuta na ukuta wote uliunganishwa kwa nusu ya urefu wake, kwa kuwa watu walikuwa na hamu ya kufanya kazi
Lecz my nadal odbudowywaliśmy ten mur i mur został spojony aż do połowy, bo lud miał serce do pracy.
7 Lakini Sanbalati, Tobia, Waarabu, Waamoni, na Waashdodi waliposikia kwamba kazi ya ukarabati wa kuta za Yerusalemu ilikuwa ikiendelea, na kwamba sehemu zilizovunjika katika ukuta zilikuwa zimefungwa, ghadhabu kubwa ikawaka ndani yao.
Gdy Sanballat i Tobiasz, Arabowie, Ammonici i Aszdodyci usłyszeli, że mury Jerozolimy są odbudowywane, że wyłomy zaczęły się wypełniać, bardzo się rozgniewali.
8 Wote walifanya shauri pamoja, na walikuja kupigana dhidi ya Yerusalemu na kusababisha machafuko ndani yake.
I wszyscy sprzysięgli się razem, aby przyjść i walczyć przeciw Jerozolimie, i przeszkadzać w [robocie].
9 Lakini tuliomba kwa Mungu wetu na kuweka walinzi kama ulinzi dhidi yao mchana na usiku kwa sababu ya tishio lao.
My jednak modliliśmy się do naszego Boga i postawiliśmy przeciwko nim straż we dnie i w nocy, ponieważ się ich baliśmy.
10 Kisha watu wa Yuda wakasema, “Nguvu ya wale wanaobeba mizigo inashindwa. Kuna kifusi kikubwa, na hatuwezi kujenga ukuta.”
I Judejczycy powiedzieli: Osłabła siła dźwigających, a gruzu [jeszcze] wiele. Nie będziemy mogli odbudować muru.
11 Na adui zetu wakasema,” Wala hawatajua au kuona mpaka tutakapokuja kati yao na kuwaua, na kuisimamisha kazi.”
Ponadto nasi wrogowie powiedzieli: Zanim się dowiedzą i spostrzegą, przyjdziemy między nich i ich wymordujemy, i wstrzymamy tę pracę.
12 Wakati huo Wayahudi waliokuwa wakiishi karibu nao walitoka pande zote na kuzungumza nasi mara kumi, wakituonya juu ya mipango waliyofanya dhidi yetu.
A gdy Żydzi mieszkający obok nich przyszli, powiedzieli nam dziesięć razy: Ze wszystkich miejsc, z których przyjdziecie do nas, [oni przyjdą na was].
13 Kwa hiyo nikaweka watu katika sehemu za chini za ukuta katika sehemu zilizo wazi. Niliweka kila familia wenye upanga, mikuki, na upinde.
Ustawiłem więc lud w niższych miejscach za murem [i] na wysokich miejscach; ustawiłem [ich] według rodzin z ich mieczami, włóczniami i łukami.
14 Nikatazama, nikasimama, nikawaambia wakuu, na watawala, na watu wengine, “Msiogope. mkumbukeni Bwana, ambaye ni mkuu na wa kushangaza. Wapiganie ndugu zenu, wana zenu, binti zenu, wake zenu na nyumba zenu.
A gdy popatrzyłem, wstałem i powiedziałem do dostojników, przełożonych i pozostałych z ludu: Nie bójcie się ich. Wspomnijcie na PANA, wielkiego i budzącego grozę, i walczcie za swoich braci, za swoich synów i swoje córki, za swoje żony i domy.
15 Ilipokuwa wakati adui zetu waliposikia kwamba mipango yao ilikuwa inayojulikana kwetu, na Mungu alikuwa amebatilisha mipango yao, sote tulirudi ukutani, kila mmoja kwa kazi yake.
I kiedy nasi wrogowie usłyszeli, że nam to oznajmiono, Bóg zniweczył ich radę, a my wszyscy wróciliśmy do muru, każdy do swojej pracy.
16 Kwa hiyo tangu wakati huo nusu ya watumishi wangu walifanya kazi tu juu ya kujenga ukuta, na nusu yao wakaishika mikuki, ngao, pinde, na kuvaa silaha, wakati viongozi walisimama nyuma ya watu wote wa Yuda.
Jednak od tego czasu połowa moich sług pracowała, a druga połowa trzymała włócznie, tarcze, łuki i pancerze. Naczelnicy zaś [stali] za całym domem Judy.
17 Na hivyo wafanyakazi haohao ambao walikuwa wakijenga ukuta na kubeba mizigo walikuwa pia wakilinda nafasi zao. Kila mtu alifanya kazi kwa mkono mmoja, na kwa mkono mwingine alikuwa na silaha yake.
Ci, którzy odbudowywali mur, i ci, którzy dźwigali ciężar, i ci, którzy go nakładali, każdy z nich jedną ręką pracował, a w drugiej trzymał broń.
18 Kila mjenzi alivaa upanga wake ubavuni mwake na ndivyo alivyojenga. Yule aliyepiga tarumbeta akakaa karibu nami.
A z tych, którzy budowali, każdy miał swój miecz przypasany do boku i [tak] budowali. A trębacz [stał] obok mnie.
19 Niliwaambia wakuu na viongozi na watu wengine, “Kazi ni nzuri na ya kina, na tumejitenga kwenye ukuta, mbali na mtu mwingine.
Powiedziałem bowiem do dostojników, przełożonych i pozostałych z ludu: Praca jest wielka i rozległa, a my jesteśmy rozdzieleni na murze, jeden z dala od drugiego.
20 Lazima mkimbilie mahali ambapo mtasikia sauti ya tarumbeta na kusanyika huko. Mungu wetu atatupigania.”
W jakimkolwiek miejscu usłyszycie dźwięk trąby, tam ruszajcie do nas. Nasz Bóg będzie walczył za nas.
21 Kwa hiyo tulifanya kazi hiyo. Nusu yao walikuwa wakichukua mikuki kutoka kupambazuka asubuhi hadi kutokea kwa nyota.
Pracowaliśmy więc przy tym dziele, a druga połowa trzymała włócznie, od pojawienia się zorzy aż do wzejścia gwiazd.
22 Nikawaambia watu wakati huo, “Kila mtu na mtumishi wake waende usiku katikati ya Yerusalemu, ili wawe walinzi wakati wa usiku na mfanyakazi wakati huo.”
W tym czasie powiedziałem też do ludu: Niech każdy nocuje ze swoim sługą w Jerozolimie, aby w nocy [słudzy] trzymali straż, a w dzień pracowali.
23 Basi si mimi, wala ndugu zangu, wala watumishi wangu, wala watu wa walinzi waliokuwa wananifuata, hakuna hata mmoja wetu aliyebadili nguo zake, na kila mmoja wetu alichukua silaha yake, hata kama angeenda kwa ajili ya kuteka maji.
Tak więc ani ja, ani moi bracia, ani moi słudzy, ani straż, która była przy mnie, nie zdejmowaliśmy swoich szat, [zrobiliśmy to] wyłącznie przy obmywaniu.

< Nehemia 4 >