< Nehemia 11 >

1 Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine.
Un tie ļaužu virsnieki dzīvoja Jeruzālemē, bet tie citi ļaudis mesloja, ka pa vienam no desmit būs nākt un dzīvot Jeruzālemē, tai svētā pilsētā, un deviņiem tais citās pilsētās.
2 Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.
Un tie ļaudis svētīja visus, kas ar labu prātu apņēmās Jeruzālemē dzīvot.
3 Hawa ndio viongozi wa mkoa ambao waliishi Yerusalemu. Hata hivyo, katika miji ya Yuda kila mtu aliishi katika nchi yake mwenyewe, ikiwa ni pamoja na Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa hekalu, na wazao wa watumishi wa Sulemani.
Un šie ir tie valsts virsnieki, kas Jeruzālemē dzīvoja. Bet pa Jūda pilsētām dzīvoja ikviens savā iemantotā tiesā, savās pilsētās, Israēlieši, priesteri un leviti un Dieva nama kalpotāji un Salamana kalpu bērni.
4 Katika Yerusalemu waliishi baadhi ya wana wa Yuda na baadhi ya wana wa Benyamini. Watu wa Yuda walikuwa pamoja na Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Peresi.
Un Jeruzālemē dzīvoja no Jūda bērniem un no Benjamina bērniem. No Jūda bērniem: Ataja, Uzijas dēls, tas bija Zaharijas, tas Amarijas, tas Šefatijas, tas Mahalaleēļa dēls, no Pereca bērniem,
5 Na Maaseya, mwana wa Baruki, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zakaria, mwana wa Mshelani, alikuwa mwana wa Baruki.
Un Maāseja, Bāruka dēls, tas bija Kol-Hozus, tas Hazajas, tas Adajas, tas Jojariba, tas Zaharijas, tas Šilonus dēls.
6 Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
Visu Pereca bērnu, kas Jeruzālemē dzīvoja, bija četrsimt sešdesmit astoņi stipri vīri.
7 Hao ndio wana wa Benyamini, Salu, mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseva, mwana wa Ithieli, mwana wa Yehaya.
Un šie ir Benjamina bērni: Sallus, Mešulama dēls, tas bija Joēda, tas Pedajas, tas Kolajas, tas Maāsejas, tas Itiēļa, tas Ješajas dēls.
8 Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928.
Un pēc tā Gabajs un Sallajus, deviņsimt divdesmit astoņi.
9 Yoeli mwana wa Zikri alikuwa mwangalizi wao; na Yuda mwana wa Hasenua alikuwa mkuu wa pili juu ya mji.
Un Joēls, Zihrus dēls, bija uzraugs pār tiem, un Jūda, Senuūs dēls, bija otrs pilsētas valdnieks.
10 Kutoka kwa makuhani Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
Un no priesteriem: Jedaja, Jojariba dēls, Jaķins.
11 Seraya mwana wa Hilikia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayoti, mwana wa Ahitubu, mkuu wa nyumba ya Mungu,
Seraja, Hilķijas dēls, - tas bija Mešulama, tas Cadoka, tas Merajota, tas Ahitoba dēls, - tas bija Dieva nama virsnieks,
12 na wenzake waliofanya kazi ya ukoo, watu 822. na Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amzi, ​​mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya.
Un viņu brāļi, kas to darbu namā darīja, to bija astoņsimt divdesmit divi. Un Adaja, Jeroama dēls, tas bija Pelalijas, tas Amaca, tas Zaharijas, tas Pašhura, tas Malhijas dēls,
13 Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri;
Un viņa brāļi, cilts virsnieki, to bija divsimt četrdesmit divi. Un Amasajus, Azareēļa dēls, - tas bija Akuzajus, tas Mešilamota, tas Imera dēls,
14 na ndugu zao, 128 wapiganaji wenye ujasiri, wenye ujasiri; Waziri wao aliyeongoza alikuwa Zabdieli, mwana wa Hageoli.
Un viņa brāļi, stipri vīri, to bija simts divdesmit astoņi, Un tas uzraugs pār tiem bija Zabdiēls, Ģedolima dēls.
15 Na Walawi Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni,
Un no levitiem: Šemaja, Hašuba dēls, tas bija Azrikama, tas Hašabijas, tas Bunus dēls,
16 na Shabethai, na Yozabadi, ambao walikuwa ni viongozi wa Walawi, waliosimamia kazi za nje ya nyumba ya Mungu.
Un Šabetajus un Jozabads no levitu virsniekiem pār to darbu Dieva nama ārpusē.
17 Alikuwepo Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zakri, mwana wa Asafu, aliyekuwa mkurugenzi aliyeanza shukrani kwa sala, na Bakbukia, wa pili miongoni mwa ndugu zake, na Abda mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
Un Matanija, Mihas dēls, tas bija Zabdus, tas Asafa dēls, tas bija tas pirmais, kas pie Dieva lūgšanas uzņēma to slavas dziesmu. Un Bakbuķijus bija tas otrais no saviem brāļiem, un Abdus, Šamuūs dēls, tas bija Galala, tas Jedutuna dēls.
18 Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284.
Visu levitu tai svētā pilsētā bija divsimt astoņdesmit četri.
19 Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172.
Un vārtu sargi: Akubs, Talmons un viņu brāļi, kas vārtus sargāja; to bija simts septiņdesmit divi.
20 Na wale waliosalia wa Israeli, na makuhani, na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda. Kila mtu aliishi katika milki yake mwenyewe.
Bet tie citi no Israēla, no priesteriem un levitiem, bija pa visām Jūda pilsētām, ikviens savā īpašumā.
21 Wafanyakazi wa hekalu waliishi Ofeli, na Siha na Gishpa walikuwa wakiwaongoza.
Un tie Dieva nama kalpotāji dzīvoja Ofelā, un Cikus un Ģišpus bija pār Dieva nama kalpotājiem.
22 Mtawala mkuu juu ya Walawi waliokuwa wakitumikia Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika, wa wana wa Asafu, ambao walikuwa waimbaji wa kazi katika nyumba ya Mungu.
Un levitu uzraugs Jeruzālemē bija Uzus, Banus dēls, tas bija Hašabijas, tas Matanijas, tas Mihas dēls, no Asafa bērniem, kas bija dziedātāji pie Dieva nama kalpošanas.
23 Walikuwa chini ya maagizo kutoka kwa mfalme na maagizo imara yalitolewa kwa waimbaji kila siku inavyohitajika.
Jo ķēniņa pavēle tiem bija dota un skaidrs nolikums tiem dziedātājiem, kas ikkatrai dienai krīt.
24 Pethahia mwana wa Meshezabeli, mwana wa Zera, mwana wa Yuda, alikuwa upande wa mfalme kwa habari zote za watu.
Un Petahja, Mešezabeēla dēls, no Zerus, Jūda dēla, bērniem, bija pie ķēniņa rokas visās ļaužu lietās.
25 Kuhusu vijiji na mashamba yao, baadhi ya watu wa Yuda wakakaa Kiriath-arba, na vijiji vyake, na Diboni, na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake.
Un pa ciemiem uz saviem tīrumiem dzīvoja no Jūda bērniem KiriatArbā un viņas apgabalā, un Dibonā un viņas apgabalā, un Jekabceēlā un viņas ciemos,
26 Wakaishi katika Yeshua, Molada, Beth-Peleti,
Un Ješuā un Moladā un BePeletā
27 Hazar-Shuali, Beersheba na vijiji vyake.
Un HacarŠualā un Bēršebā un viņas apgabalā,
28 Nao wakakaa Siklagi, na Mekona, na vijiji vyake,
Un Ciklagā un Makonā un viņas apgabalā,
29 Enrimoni, Sora, Yarmuthi,
Un EnRimonā un Caregā un Jeremutā
30 Zanoa, Adulamu, na vijiji vyake, na Lakishi, na mashamba yake, na Azeka, na vijiji vyake. Basi wakakaa kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.
Un Zanoā, Adulamā un viņas ciemos, Laķisā un viņas tīrumos, Azekā un viņas apgabalā. Un tie apmetās no Bēršebas līdz Inoma ielejai.
31 Watu wa Benyamini pia walikuwa wakiishi kutoka Geba, kwenda Mikmashi na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake.
Bet Benjamina bērni no Gabas dzīvoja Mihmasā un Ajā un Bētelē un viņas apgabalā.
32 Waliishi Anathothi, Nobu, Anania,
Anatotā, Nobā, Ananijā,
33 Hazori, Rama, Gitaimu,
Hacorā, Rāmā, Ģitaīmā,
34 Hadidi, Seboimu, Nebalati,
Hadadā, Ceboīmā, Nebalatā,
35 Lodi, na Ono, bonde la wafundi.
Lodā un Onā, tai amatnieku ielejā.
36 Walawi wengine waliishi Yuda wengine Benyamini.
Un no levitiem, kam daļa bija Jūdā, kādi dzīvoja iekš Benjamina.

< Nehemia 11 >