< Nehemia 10 >

1 Wale ambao waliweka majina yao kwenye nyaraka zilizofunikwa walikuwa Nehemia mwana wa Hakalia gavana, na makuhani waliowekwa walikuwa Sedekia,
Now those that set their seal were: Nehemiah the Tirshatha, the son of Hachaliah, and Zedekiah;
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Seraiah, Azariah, Jeremiah;
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pashhur, Amariah, Malchijah;
4 Hamshi, Shekania, Maluki,
Hattush, Shebaniah, Malluch;
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harim, Meremoth, Obadiah;
6 Danieli, Ginethoni, Baruki,
Daniel, Ginnethon, Baruch;
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Meshullam, Abijah, Mijamin;
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa walikuwa makuhani.
Maaziah, Bilgai, Shemaiah. These were the priests.
9 Walawi walikuwa Yeshua mwana wa Azania, Binui wa jamaa ya Henadadi, Kadmieli,
And the Levites: Jeshua the son of Azaniah, Binnui of the sons of Henadad, Kadmiel;
10 na Walawi wenzake, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
and their brethren, Shebaniah, Hodiah, Kelita, Pelaiah, Hanan;
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Mica, Rehob, Hashabiah;
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zaccur, Sherebiah, Shebaniah;
13 Hodiya, Bani na Beninu.
Hodiah, Bani, Beninu.
14 Viongozi wa watu walikuwa Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
The chiefs of the people: Parosh, Pahath-moab, Elam, Zattu, Bani;
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bunni, Azgad, Bebai;
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonijah, Bigvai, Adin;
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Hezekiah, Azzur;
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodiah, Hashum, Bezai;
19 Harifu, Anathothi, Nobai,
Hariph, Anathoth, Nebai;
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpiash, Meshullam, Hezir;
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Meshezabel, Zadok, Jaddua;
22 Pelatia, Hanani, AnaYA,
Pelatiah, Hanan, Anaiah;
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Hoshea, Hananiah, Hasshub;
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Hallohesh, Pilha, Shobek;
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Rehum, Hashabnah, Maaseiah;
26 Ahia, Hanani, Anani,
and Ahiah, Hanan, Anan;
27 Maluki, Harimu na Baana.
Malluch, Harim, Baanah.
28 Na watu wengine waliokuwa makuhani, na Walawi, na walinzi wa malango, na waimbaji, na watumishi wa hekalu, na wote waliokuwa wamejitenga wenyewe na watu wa nchi za jirani, kwa sheria ya Mungu, na wanawake zao, na wana wao, na Binti zao, wote walio na ujuzi na ufahamu,
And the rest of the people, the priests, the Levites, the porters, the singers, the Nethinim, and all they that had separated themselves from the peoples of the lands unto the law of God, their wives, their sons, and their daughters, every one that had knowledge and understanding;
29 walijiunga na ndugu zao, wakuu wao, na kujifunga katika laana na kiapo cha kutembea katika sheria ya Mungu, iliyotolewa na Musa mtumishi wa Mungu, na kuzingatia na kutii amri zote za Bwana Mungu wetu na hukumu zake na sheria zake.
they cleaved to their brethren, their nobles, and entered into a curse, and into an oath, to walk in God's law, which was given by Moses the servant of God, and to observe and do all the commandments of the LORD our Lord, and His ordinances and His statutes;
30 Tuliahidi kuwa hatuwezi kuwapa binti zetu watu wa nchi au kuchukua binti zao kwa wana wetu.
and that we would not give our daughters unto the peoples of the land, nor take their daughters for our sons;
31 Pia tuliahidi kwamba ikiwa watu wa nchi wataleta bidhaa au nafaka yoyote ya kuuza siku ya Sabato, hatuwezi kununua kutoka kwao siku ya Sabato au siku yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba tutaacha mashamba yetu kupumzika, na tutafuta madeni yote yaliyotokana na Wayahudi wengine.
and if the peoples of the land bring ware or any victuals on the sabbath day to sell, that we would not buy of them on the sabbath, or on a holy day; and that we would forego the seventh year, and the exaction of every debt.
32 Tulikubali amri za kutoa shilingi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu wetu,
Also we made ordinances for us, to charge ourselves yearly with the third part of a shekel for the service of the house of our God;
33 kutoa mkate wa uwepo, na sadaka ya nafaka ya kawaida, sadaka za kuteketezwa siku za Sabato, sikukuu mpya za mwezi na sikukuu za kuteketezwa, na sadaka takatifu, na sadaka za dhambi za kufanya upatanisho kwa Israeli, pamoja na kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.
for the showbread, and for the continual meal-offering, and for the continual burnt-offering, of the sabbaths, of the new moons, for the appointed seasons, and for the holy things, and for the sin-offerings to make atonement for Israel, and for all the work of the house of our God.
34 Na makuhani, Walawi, na watu wakapiga kura kwa ajili ya sadaka ya kuni. Kura ilichagua ni nani wa familia zetu ataleta kuni ndani ya nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati zilizowekwa kila mwaka. Kuni hizo zilichomwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika sheria.
And we cast lots, the priests, the Levites, and the people, for the wood-offering, to bring it into the house of our God, according to our fathers' houses, at times appointed, year by year, to burn upon the altar of the LORD our God, as it is written in the Law;
35 Tuliahidi kuleta nyumbani kwa Bwana matunda ya kwanza yaliyotokana na udongo wetu, na matunda ya kwanza ya mti kila mwaka.
and to bring the first-fruits of our land, and the first-fruits of all fruit of all manner of trees, year by year, unto the house of the LORD;
36 Na kama ilivyoandikwa katika sheria, tuliahidi kuleta nyumbani kwa Mungu na kwa makuhani watumikao hapo wazaliwa wa kwanza wa wana wetu ma wanyama wetu.
also the first-born of our sons, and of our cattle, as it is written in the Law, and the firstlings of our herds and of our flocks, to bring to the house of our God, unto the priests that minister in the house of our God;
37 Tutaleta unga wa kwanza na sadaka zetu za nafaka, na matunda ya kila mti, na divai mpya na mafuta tutaleta kwa makuhani, kwenye vyumba vya kuhifadhi vya nyumba ya Mungu wetu. Tutawaletea Walawi sehemu ya kumi kutoka kwenye udongo wetu kwa sababu Walawi hukusanya zaka katika miji yote tunayofanya kazi.
and that we should bring the first of our dough, and our heave-offerings, and the fruit of all manner of trees, the wine and the oil, unto the priests, to the chambers of the house of our God; and the tithes of our land unto the Levites; for they, the Levites, take the tithes in all the cities of our tillage.
38 Kuhani, mzao wa Haruni, lazima awe na Walawi wakati wanapopokea zaka. Walawi wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu kwenye vyumba vya kuhifadhi hazima.
And the priest the son of Aaron shall be with the Levites, when the Levites take tithes; and the Levites shall bring up the tithe of the tithes unto the house of our God, to the chambers, into the treasure-house.
39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Lawi, wataleta sadaka za nafaka, divai mpya, na mafuta katika vyumba vya kuhifadhi ambapo vitu vya patakatifu vinasimamishwa, na mahali pa makuhani watumishi, na walinzi wa mlango, na waimbaji. Hatuwezi kuacha nyumba ya Mungu wetu.
For the children of Israel and the children of Levi shall bring the heave-offering of the corn, of the wine, and of the oil, unto the chambers, where are the vessels of the sanctuary, and the priests that minister, and the porters, and the singers; and we will not forsake the house of our God.

< Nehemia 10 >