< Nahumu 2 >

1 Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
En folkförskingrare drager upp mot dig; bevaka dina fästen. Speja utåt vägen, omgjorda dina länder bruka din kraft, så mycket du förmår.
2 Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
Ty HERREN vill återställa Jakobs höghet såsom Israels höghet, då nu plundrare så hava ödelagt dem och så fördärvat deras vinträd.
3 Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
Hans hjältars sköldar äro färgade röda, stridsmännen gå klädda i scharlakan; vagnarna gnistra av eld, när han gör dem redo till strid; och man skakar lansar av cypressträ.
4 Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
På vägarna storma vagnarna fram, de köra om varandra på fälten; såsom bloss äro de att skåda lika ljungeldar fara de åstad.
5 Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
Han vet nogsamt vilka väldiga kämpar han äger; de störta överända, där de rusa framåt. De hasta mot stadens murar, och stormtaken göras redo.
6 Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
Strömportarna måste öppna sig, och palatset försmälter av ångest.
7 Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
Ja, domen står fast: hon bliver blottad, bortsläpad; hennes tärnor måste sucka likasom duvor och slå sig för sitt bröst.
8 Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
I all sin tid var Nineve lik en vattenrik damm, men nu flyr vattnet bort. "Stannen! Stannen!" -- Nej, ingen vänder sig om.
9 Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
Röven nu silver, röven guld. Här finnas skatter utan ände, överflöd på alla dyrbara håvor.
10 Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
Ödeläggelse och förödelse och förstörelse! Förfärade hjärtan och skälvande knän! Darrande länder allestädes! Allas ansikten hava skiftat färg.
11 Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
Var är nu lejonens kula, den plats där de unga lejonen förtärde sitt rov, där lejonet och lejoninnan hade sin gång, där lejonungen gick omkring, utan att någon skrämde bort den?
12 Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
Var är lejonet som tog rov, så mycket dess ungar ville hava, och dödade åt sina lejoninnor, ja, uppfyllde sina hålor med rov och sina kulor med rövat gods?
13 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”
Se, jag skall vända mig mot dig, säger HERREN Sebaot; dina vagnar skall jag låta gå upp i rök, och dina unga lejon skall svärdet förtära. Jag skall utrota ditt rövade gods från jorden och man skall ej mer höra dina sändebuds röst

< Nahumu 2 >