< Nahumu 2 >

1 Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
Разрушителят възлезе пред лицето ти; Пази крепостта, бди за пътя, Стегни кръста си, уякчи силно мощта си.
2 Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
Понеже Господ възстанови величието Яковово Като величието Израилево; Защото изтърсвачите ги изтърсиха, И повредиха лозовите им пръчки.
3 Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
Щитът на силните му е боядисан червено, Яките мъже са облечени в червеникаво; Колесниците лъщят със стомана В деня, когато се приготовлява, И елховите копия се размахват ужасно.
4 Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
Колесниците буйствуват из улиците, Блъскат се една с друга по площадите; Изгледът им е като факли, Тичат като светкавица.
5 Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
Той си припомнюва за юнаците си; но те се подплъзват в пътя си; Тичат към стените му, и покривалото се приготвя.
6 Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
Речните порти се отварят, И палата се разрушава.
7 Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
Решено е да се плени Ниневия И да се пресели; И слугините й стенят като с гласа на гълъбите, Когато се бият по гърдите.
8 Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
Но макар Ниневия да е била отдавна пълна с мъже като езеро с вода, пак те бягат; Макар да викат - Стойте! стойте! пак никой не погледва назад.
9 Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
Обирайте среброто, обирайте златото; Защото съкровищата й са безгранични, Има богатство от всякакви отбрани вещи.
10 Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
Тя се изпразни, изтърси, и запустя; Сърцето се топи, и колената се удрят едно о друго, Болки има във всеки кръст, А лицата на всички са побледнели.
11 Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
Где е ровът на лъвовете, И мястото гдето младите лъвове се хранеха, Гдето ходеха лъвът, лъвицата и лъвчето, И нямаше кой да ги плаши?
12 Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
Где е лъвът, който разкъсваше доволно за лъвчетата си, Давеше за лъвиците си, И пълнеше пещерите си с плячка, И рововете си с грабеж?
13 “Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”
Ето, Аз съм против тебе, казва Господ на Силите; Ще изгоря колесниците й всред дим, И мечът ще изпояде младите ти лъвове; Ще изтребя плячката ти от земята; И няма да се чуе гласът на пратениците ти.

< Nahumu 2 >